Chorus za HipHop zenye ujumbe na kali za muda wote

Kalamu Nzito

JF-Expert Member
Aug 13, 2015
318
662
“Wanafki nafki watu wa kupakazia Yasowahusu wao kuingilia Maneno yao ni kama ya simba Ukiyasikiliza lazima utaaminia” Mandojo & Domokaya ft Jide

“Hakuonekana na Binti hakuwahi kuasi dini mfuasi wa maadili lakini alikufa kwa ngoma…aliwarudisha waliopotea akawapa tiba mbadala na adui wa zinaa, lakini alikufa kwa ngoma” Mwana FA ft Jide

Ni jukumu letu (Wananchi wote wewe na mimi)
Na maoni yetu(Yawezayo kupunguza umasikini)
Kwa taifa letu (Hivyo yatupasa kua makini ni jinsi gani tutaweza kuongeza kipato nchini) Professor J ft Mwana FA

“Nyakati za Mashaka hizi, na kukosa imani ni rahisi” Nikki Mbishi ft Grace Matata

“Nafasi nilizozichezea yawezekana zisirudi, Lakini naweza zitengeneza nikiongeza juhudi” Young Killer ft Fid Q

“Mimi ni msanii kioo cha jamii, mimi naona mbali, kwa darubini kali” Afande Sele

“Hawajui tulipotoka, watajuaje tunapokwenda, ya kwao yanawashinda yetu hawatoweza” Mwana FA ft Jide

“Machoni kama watu,mioyoni hawana utu, imani imetoweka, mabaya yanaongezeka” AY ft Jide

“Mapenzi ni matamu nahofia kuumizwa moyo, nashindwa kujaribu roho inaniuma sana.” Fid q ft Christian Bella


BONUS

“Asiyefunzwa na Mamaye, mamaye mleteni kwangu namfunza yeye na Mamaye” Mbeya Boy Chuma

“Usitukane mamba kabla hujavuka mto, mimi namtukana halafu navukia upande mwingine, kivuko sio kimoja tu!” Anonymous underground

“Mwenye kipara ana akili so akili sio nywele b’cause unaweza kuwa na nywele na ukashindwa kufikiri” Anonymous underground
 
1. Professor Jay Nang'atuka
Nang'atuka nimeshaikosea jamii
Nikajiita Mungu mtu nikajiita Nabii
Nang'atuka mwenyezi ikumbuke na roho hii
Napiga goti natubu daima nitakutii

2. FA ft Jay Dee Hawajui
Hawajui tulipotoka
Wataijuaje tunapokwenda
Ya kwao yanawshinda yetu hawataweza

3. Niaje nivipi Joh Makini ft Nikki 2
Tupigeni magoti tusali
ama tumuulize nabii bwana mbona haurudi
Au tumpelekee mganga kuku na udi
Niaje ni nivipi mbona haurudi...

4. Ingewezekana D Knob ft Ray C
Ingewezekana mi ningekua wako
Ila ni wewe Tu na mapepe yako
Vile ulivo bomba na tunawabamba
Ila nahisi sitakua pekeyangu

Ingewezekana baby ningekua wako
Ila nahisi ntautesa Moyo wako
Vile ulivo bomba na unawabamba
Mi nahisi sitakua pekeyangu

5. Langa Hip-hop
Nipo tayari kufa Kwa ajili ya hiphop
Napata mzuka napozungumzia hiphop
Au Rege Acha pop naongelea real hiphop
Bougie now don't stop kama unafeel hiphop

6. Solo thang ft Q chief kilio changu
Ndugu zangu ndugu zangu ndugu zangu oooh
Hiki ni kilio changu
Mi mwenzenu mi mwenzenu nina gundu
Basi nunueni kanda zangu
Msinipige majungu
Nipate nini zaidi ya thawabu kwa Mungu?
Nipunguzeni machungu

7. Fid Q Propaganda
Polisi wanasapoti u-ngangstar ili uhalifu uongezeke
Wabana pua kuimba mapenzi je itafanya UKIMWI usepe?
Media zinapromote bifu wanadai zinakuza muziki
Wadau na wasanii wabovu je wakali mtatoka vipi?
Hizi ni propaganda....

8. Sister p ft Ally Choki
Achana nao wenye chuki binafsi....

9. Bonta ft Baraka da Prince Tokomeza Zero
Black haiwezi kua yellow
Swala amzae mbuzi tutadanganya
Tunakaribisha zero
Na four mi kuipata one twajidanganya
Tokomeza Zero zero zero....

10. Ngwair Zawadi
Si ulifurahi pindi nilipokupa gari
Cheni nyumba ya kifahari
Kuna nyingine moja spesho
Nilishakupa H.I.V
 
"Mzawa wetu fanya usawa ukae kwetu , hatufika kama ubaya
ndio uwepo wetu, hakuna dili na chini ni mwendo peku
Yesu bado hajarudi na hatujui kesho yetu" - One the Incredible
 
1. Professor Jay Nang'atuka
Nang'atuka nimeshaikosea jamii
Nikajiita Mungu mtu nikajiita Nabii
Nang'atuka mwenyezi ikumbuke na roho hii
Napiga goti natubu daima nitakutii

2. FA ft Jay Dee Hawajui
Hawajui tulipotoka
Wataijuaje tunapokwenda
Ya kwao yanawshinda yetu hawataweza

3. Niaje nivipi Joh Makini ft Nikki 2
Tupigeni magoti tusali
ama tumuulize nabii bwana mbona haurudi
Au tumpelekee mganga kuku na udi
Niaje ni nivipi mbona haurudi...

4. Ingewezekana D Knob ft Ray C
Ingewezekana mi ningekua wako
Ila ni wewe Tu na mapepe yako
Vile ulivo bomba na tunawabamba
Ila nahisi sitakua pekeyangu

Ingewezekana baby ningekua wako
Ila nahisi ntautesa Moyo wako
Vile ulivo bomba na unawabamba
Mi nahisi sitakua pekeyangu

5. Langa Hip-hop
Nipo tayari kufa Kwa ajili ya hiphop
Napata mzuka napozungumzia hiphop
Au Rege Acha pop naongelea real hiphop
Bougie now don't stop kama unafeel hiphop

6. Solo thang ft Q chief kilio changu
Ndugu zangu ndugu zangu ndugu zangu oooh
Hiki ni kilio changu
Mi mwenzenu mi mwenzenu nina gundu
Basi nunueni kanda zangu
Msinipige majungu
Nipate nini zaidi ya thawabu kwa Mungu?
Nipunguzeni machungu

7. Fid Q Propaganda
Polisi wanasapoti u-ngangstar ili uhalifu uongezeke
Wabana pua kuimba mapenzi je itafanya UKIMWI usepe?
Media zinapromote bifu wanadai zinakuza muziki
Wadau na wasanii wabovu je wakali mtatoka vipi?
Hizi ni propaganda....

8. Sister p ft Ally Choki
Achana nao wenye chuki binafsi....

9. Bonta ft Baraka da Prince Tokomeza Zero
Black haiwezi kua yellow
Swala amzae mbuzi tutadanganya
Tunakaribisha zero
Na four mi kuipata one twajidanganya
Tokomeza Zero zero zero....

10. Ngwair Zawadi
Si ulifurahi pindi nilipokupa gari
Cheni nyumba ya kifahari
Kuna nyingine moja spesho
Nilishakupa H.I.V

Umetisha sana kamanda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom