EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,093
Kwenye muziki wa kisasa wa Rhumba hasa kutoka DRC Kuna wanamuziki wawili wanaoshindana kwa ukaribu sana. Je nani kati Yao ni mkali kwa mtazamo wako kati ya Fally Ipupa na Ferre Gola?
Hapa nitataja baadhi ya nyimbo zao ambazo ukiweza kuzisikiliza zinaweza kukupa mwanga wa kuamua kwenye hili
Fally Ipupa kasikilize
Mayday
Marie PM
Associe
Flye
Liputa
Tsho
Sl
Na nyinginezo
Ferre Gola kasikilize
100 kilos
Kamasutra
Jugement
Maboko Pamba
Poison d'avril
Court Circuit
Vita Imana (Remix)
Na nyinginezo
Haya twende na muziki mzuri
Hapa nitataja baadhi ya nyimbo zao ambazo ukiweza kuzisikiliza zinaweza kukupa mwanga wa kuamua kwenye hili
Fally Ipupa kasikilize
Mayday
Marie PM
Associe
Flye
Liputa
Tsho
Sl
Na nyinginezo
Ferre Gola kasikilize
100 kilos
Kamasutra
Jugement
Maboko Pamba
Poison d'avril
Court Circuit
Vita Imana (Remix)
Na nyinginezo
Haya twende na muziki mzuri