Namba 2 ungemtoa joh makiniView attachment 2833005
Umepewa Playlist tatu hapa zina ngoma za
1. Prof. Jay, AY & Chid Benz
2. Fid Q, Mwana FA & Joh Makini
3. Ngwair, Langa & KingZillah, Utasikiliza kundi gani hapo?
Sema hapo Kwa Joh Makini ndo ungemuweka Langa ungeua...View attachment 2833005
Umepewa Playlist tatu hapa zina ngoma za
1. Prof. Jay, AY & Chid Benz
2. Fid Q, Mwana FA & Joh Makini
3. Ngwair, Langa & KingZillah, Utasikiliza kundi gani hapo?
Hahahaha umetisha hasa hapo kwa king n queen ya yesayaMoya namba moya hapo kuna professor anakuambia nikuadiaje? Kisha akatuuliza tukamjibu ndiyoo mzeee ghafla alipomuona mtoto mkali akaona zali la menthali,.
Ghafla tukasikia ilaaaaaaalaaaaa, Kiiiing koooooong uzito wa mdundo wa hindi tangu enzi za pancho ,mashuhuri toka mtoto toka studio joto sahau kuhusu aaac.,tukaulizana nani huyu ndipo sauti ikapaaza ni chidy chidy chidy wamekaa .
Tulipoona mbona yamekua haya tukasikia mdundo kwa jirani your my African queen never seen before tuuu tuuu tuuuu give me so more ...
MAJIBU MSHAPATA