Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

yeye kutumia hilo neno la nigga kwenye page ya instagram sijui anaona sawa,wakati ndo keshaingia kwa watu ambao asihangae siku moja wakalitumia akiwa uwanjani,meneja wake amuambie a edit,aandike...
0 Reactions
64 Replies
11K Views
Diamond kupitia tuzo za Bingwa zinazotolewa nchini Kenya ameibuka kifua mbele akimuacha Balozi asijue la kufanya zaidi ya kutoa macho kijana akichukua tuzo ya Tanzanian Artist of the Year...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
  • Closed
4 Reactions
104 Replies
24K Views
Mwimbaji maarufu David Bowie amefariki leo baada ya kusumbuliwa na cancer kwa miezi 18.. Atakumbukwa kwa mengi. Alikuwa mume wa Iman kwa wanaomjua..
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Jamaa nilidhani kashapotea mazima maana kwa mda mrefu hajasikika, ila kwa huu wimbo mpya alioutoa unaitwa 'Mama Kijacho' naamini utamrudisha, audio nzuri, video iko simple inaendana na maudhui...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Ukitembelea page za Mastaa mbalimbali kwenye social media,,, kwa bongo na nje / intenational celebrities... Wengi huwa hawa reply comments za mashabiki.... Swali mi najiulizaga ni kwamba huwa...
0 Reactions
119 Replies
9K Views
Nimekuwa nikiona wasanii wengi wa filamu, mitindo na muziki wakijitokeza kushiriki shughuli mbalimbali za kijamii kama vile kusaidia watoto waishio kwenye mazingira magumu, kuhamasisha siasa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
“NIMEKUCHAGUA wewe, uwe wanguu… Wangu wa maisha, wa kufa na kuzikana, sijali maneno ya watu, wasememayo, yaliyopita si ndwele, tugange yanayokuja…” Hicho ni kibwagizo cha Wimbo Nimekuchagua Wewe...
1 Reactions
43 Replies
10K Views
Diamond platnumz ameonyesha ofisi yake ili kuwapa nguvu vijana wanaotafuta wasikate tamaa muhimu ni kujituma. Diamond ameonyesha picha alipotembelewa na mama yake ameandika'' guess who visited in...
12 Reactions
46 Replies
16K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Leo imenibidi tu nisemeee. Huko Insta watu wana kazi ya kumshawishi Wema zaa, zaa,mara...
12 Reactions
472 Replies
52K Views
Diamond Platnumz amesema akiachana na Muziki anataka kuwa Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo ili kuweka vitu sawa na kutoa fursa zaidi kwa vijana. Akizungumza katika kipindi cha Papaso...
1 Reactions
46 Replies
6K Views
Kwanza kabisa naomba niwajuze wale wasiomfahamu nifah... Mimi ni mkweli na mwenye msimamo mkali. Huwa nasimamia katika kile ninachokiamini bila kuogopa wengine watapinga vipi au kunichukulia vipi...
11 Reactions
173 Replies
21K Views
Akizungumza kwa hasia na Ayo TV Alhamisi hii, Diamond alisema anawashangaa wasanii wanaotumia muda mwingi kumponda mtoto wake kuliko kutafuta pesa. “Watu wamekaa kwenye sanaa muda mrefu mimi...
6 Reactions
98 Replies
17K Views
Mwenye Infos Zaid kumuhusu huyu binti anipe, napenda sana anavyo flow... Nahitaji kum manage nimfikishe mbali kabisa kwenye kilele.
2 Reactions
39 Replies
5K Views
Chama cha wasanii Tanzania bara na visawani
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Huyu ni msanii ambaye kwakweli ameiletea sifa nyingi sn Tz Na Africa kwa ujumla . Lkn nyimbo zake hata hazina dakika tano najiuliza kuhusu kina Marijan Rajabu nyimbo zao zilikuaa ndefu Na bonge...
6 Reactions
54 Replies
9K Views
Awali ya yote nipende Kutoa Shukrani zangu za kipekee kwa mwenyezi Mungu kwa kunilinda wiki nzima hata nmepata nafaSi yakuwepo tena leo hii hapa Jukwaani leo tuna angaza jicho kwa wakali hawa wa...
1 Reactions
75 Replies
10K Views
Hivi Inaingia Akilini Kwenu Mtu Ambaye Anajua Fika Kuwa 90% Ya Watanzania Ni MASIKINI Wa KUTUKUKA Ambao Kila Siku Tunahangaika Kuutafuta Mkate Na Sometimes Tunalala Tu " Kavu Kavu " Na Kupiga "...
1 Reactions
67 Replies
12K Views
Hebu pata trailer kidogo trailer ya Tumaini utoe maoni yako
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom