Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hello! Mara nyingi watu wanataka kujua kijana Godlove pesa anatoa wapi. Wengine wanakwenda mbali na kusema zile si pesa halisi kwamba ni pesa bandia, si kweli. Zile anazopiga nazo picha ni real...
35 Reactions
84 Replies
18K Views
Unakuta mtoto wa kiume naye anafurahia eti kisa gari zangu kuchukuliwa, unafurahia anguko la mwanaume mwenzio?! Ni Bora Mimi nimewahi kumiliki hizo gari, wewe je? Kama gari zimechukuliwa ila...
4 Reactions
9 Replies
384 Views
Tunaomba iwe kweli hii habari ya chief godlove kufulia na kunyang'anywa magari aliyokuwa anajigamba nayo kumbe siyo yake. Vijiwe na vibaraza vya umbea vimechangamka balaa. Mitandao ya kijamii...
7 Reactions
29 Replies
833 Views
Miaka ile meneja wa Yamoto Ndugu Saidi Fela, kuna nyumba aliwajengea/aliwanunulia vijana wake wa Yamoto bendi. Hivi zile nyumba walipewa jumla au zilikuwa geresha tu za Bwana Fela!?
5 Reactions
9 Replies
476 Views
Burna Boy has made history in 2025 with 1.986 billion Spotify streams, becoming the most streamed African artist. Nigerian superstar Burna Boy has made history as the most streamed African...
2 Reactions
4 Replies
919 Views
Msanii wa Bongo Fleva Ali Salehe Kiba, maarufu kama Alikiba, amesema kuwa kila mtu ana haki ya kueleza kile anachojisikia, na ni jambo jema watu kutoa yaliyo moyoni mwao. Alikiba ameeleza kuwa...
4 Reactions
4 Replies
541 Views
Mtengeneza Maudhui Maarufu wa Marekani kupitia YouTube, Mr. Beast naye Ametangaza rasmi Kuwa atatembelea Nchi ya Kenya baada ya kutoka Dubai na baadaye kwenda Ghana na Mexco hivi karibuni...
2 Reactions
3 Replies
253 Views
Je huu ni uzuzu, uzezeta, au ulimbukeni? Kwani umaarufu mpaka utoboe masikio na kuvaa heleni? Haya, hiyo haitoshi sasa wasuka twende kilioni na mkorogo wapaka. Acheni hizo bana, mnatudhalilisha...
1 Reactions
31 Replies
7K Views
Ommy Dimpoz amewaomba msamaha kwa wale waliona wamedhihakiwa kwa kauli waliyoitoa kuwa vijana wafanye kazi waache kulalamika. Huu msamaha ameuomba kirahisi sana Pia Soma: Fanyeni kazi, acheni...
3 Reactions
26 Replies
875 Views
Burton Mwemba anajulikana zaidi kama Mwijaku. Mara kadhaa anasikika akibrag ana degree ya mzumbe university na university of Dar es Salaam. Sijui kuhusu UDSM ila kuhusu mzumbe. Mwijaku hana...
15 Reactions
53 Replies
4K Views
Mwijaku anasema ukiwasikiliza watu utakufa maskini. Epuka watu wanaokuambia unajidharirisha, fainali ni uzeeni.
11 Reactions
42 Replies
3K Views
Mwanamke anayedai kuwa alinyanyaswa kingono na Sean "Diddy" Combs amerekebisha kesi yake na kujumuisha madai kuwa pia alibakwa na Jay-Z kwenye moja ya party. Kesi hiyo hapo awali iliwasilishwa...
12 Reactions
258 Replies
12K Views
Akizungumza kwa kujiamini kabisa na mikogo yote unayoijua Wewe Meneja mzoefu wa Wasanii maarufu na wakubwa nchini Tanzania na Diwani wa Kata ya Kilungule kupitia Chama cha Mapinduzi Said Fella (...
9 Reactions
86 Replies
11K Views
Nimerejea Bukoba kwa likizo baada ya miaka kadhaa, na kwa masikitiko makubwa nilikumbana na hali iliyonishtua sana. Nilimkuta msanii nguli wa muziki wa asili, Saida Karoli aliyewahi kutoa nyimbo...
14 Reactions
62 Replies
3K Views
Jamaa anakuambia "You love I love You, You dont love Me I dont love You".
2 Reactions
3 Replies
288 Views
Kuwe ni Bongo movie, Hollywood, Disney, Pddy music na n.k Hakuna sehemu itawaacha salama wengi labda wakubali masharti ambayo wamudu kuendelea na umaarufu. Kuna television inaitwa Nickelodeon na...
8 Reactions
14 Replies
637 Views
Jaji wa Shirikisho jijini New York amemhukumu Sean “Diddy” Combs kifungo cha miezi 50 gerezani, ambapo tayari ameshatumikia miezi 14. Soma Pia: Sean “Diddy” Combs, amepatikana na hatia katika...
6 Reactions
33 Replies
1K Views
When I was young and stupid kama ungeniuliza ni mji gani ungependa kutembelea duniani basi ningekuambia mji wa Canton, Canton ni mji ulio kando ya bahari katika nchi ya china lakini kwa sasa hivi...
60 Reactions
148 Replies
12K Views
Sosholaiti maarufu Kenya, Vera Sidika ameposti picha zake akiwa kijijini kwao ambapo ameenda kwa ajili ya kula Christmas. ‎ ‎Picha hizo zinamuonyesha akiwa anakamua ng’ombe na kuandika ujumbe...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
At their peaks, Ed Sheeran vs The Weekend nani hatari zaidi? #forgive me
4 Reactions
112 Replies
7K Views
Back
Top Bottom