Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

https://www.facebook.com/share/v/1Bo7rXkEto/
1 Reactions
4 Replies
239 Views
Kuna mchungaji anajiita Rose shaboka. Nadhani Kuna mahubiri yake ya hivi Karibuni amekuwa akihamasisha wanawake waendelee kuwa singo na wala wasiwe na haraka ya kukimbilia ndoa. Ilhali yeye...
14 Reactions
66 Replies
8K Views
Wapendwa wasomaji, leo tunazungumzia jambo linalowakumba mastaa wetu wa hapa Bongo. msanii au mtu maarufu akishapata kajina tu, mara moja anaanza kuiga mastaa wa Marekani ambao wana pesa za...
3 Reactions
12 Replies
511 Views
Yani huyu sijui ni muweke kwenye kikundi gani cha wasichana, dada, mama, watuwazima au wakongwe. Bado naona yupo kwenye ujana tu na vijana. Leo nikitafakari umri wetu na wale waliokuwa mpaka wana...
9 Reactions
116 Replies
11K Views
https://youtu.be/BIVfUcyhhyc?si=FtHM6LkHw-_KqhgK
6 Reactions
23 Replies
369 Views
Leo nilipita mitandaoni nikakutana na comment ya mtu mmoja, nadhani ni watoto walioanza kufatilia mpira juzi. Alikuwa anauliza, "Huyu Mzee Leakey ni nani?" Hakuwa anamfahamu. Kilichonivutia si...
10 Reactions
14 Replies
285 Views
Hii video ilivyotengenezwa imeniacha mdomo wazi na wala sichoki kuiangalia, Wanasema kuna vitu ameiba lakini niseme tu kwamba ubunifu uliotumika hapa ni wa kiwango cha hali ya juu sanaa...
15 Reactions
63 Replies
10K Views
Habari wapenzi wa muziki mzuri Aisee anaitwa Chris Brown ni msanii namkubali sana tena. Jamaa alizaliwa katika mji unaitwa Virginia miaka ya 80 mwishoni.Alianza carrier ya muziki tangu akiwa junk...
8 Reactions
41 Replies
7K Views
Kwa wale ndugu zangu wale tuliokuwepo enzi za ujana wetu....club hizi zilivyokuwa zinavumaaa 1.fm club...pale kinondoni..... 2.club billicass....enzi zile germssion party every sunday...saa nane...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Hakika hii ni habari mbaya kwa nchi yetu maana yule celebrity class A ambaye ni role model wa watoto wa kike hapa Bongo ameamua kuchukua uraia wa south africa Ama kwa hakika this is very sad...
1 Reactions
82 Replies
18K Views
Asma majid kwa sasa ndio mrembo namba moja Tanzania, na africa kiujumla. Pamoja na kuwa na elimu ya masters in economics, ambayo aliipatia pale oxford uingereza, havijamzuia kufanya tasnia yake...
9 Reactions
63 Replies
2K Views
Kwa kipindi cha miaka ya 90’s mpaka 20’s ilikuwa ili msanii uweze kutoboa lazima ujiunge kwenye kundi lolote la muziki na ndio maana kwa kipindi hicho idadi ya makundi ilikuwa kubwa na yalidumu...
33 Reactions
289 Replies
30K Views
Luda out here spitting bars. Just in case some of y’all forgot. ATL type of shit. https://youtu.be/uQ5q28o0rVM?is=rkjZJ3YiB7VoBOZ-
3 Reactions
8 Replies
147 Views
Freestyle na muziki ni vitu viwili tofauti katika Hip Hop, wanaoweza vyote ni wachache, Freestyler hapimwi kwa hits za studio, anapimwa kwa uwezo wa kutema mistari papo kwa papo bila kuandika...
10 Reactions
53 Replies
3K Views
Luda out here spitting bars. Just in case some of y’all forgot. ATL type of shit. https://youtu.be/uQ5q28o0rVM?is=rkjZJ3YiB7VoBOZ-
1 Reactions
4 Replies
99 Views
Bongo sijaona mwana Hip hop ambaye anaweza kuflow kama Jose Mtambo. Sijaona. Kama yupo mtaje wa kumshinda Jose Mtambo kwenye flow[emoji91][emoji91][emoji119] #forgive me
7 Reactions
42 Replies
4K Views
Shabiki wake nimem miss sana. Nimekumbuka wimbo wake wa darasa huru Wasanii wa zamani walikuwa na ngoma kali sana ila pesa wengi hawakupata. Walipata ma promota tu
0 Reactions
25 Replies
6K Views
https://youtu.be/Ex94EQQL8Ro?si=vNFvoKjRVolsifCm Nina Masikitiko makubwa ya kumpoteza msaani wangu mkali Jose Mtambo kwa sababu ya pombe na madawa. Huyu ni msaani wangu wa pili baada ya kumpoteza...
15 Reactions
127 Replies
6K Views
Msanii wa muziki na 'dancer' nchini, Chino Kidd, amefunguka kuhusu kisa cha kusikitisha kilichomnusuru kifo baada ya kukamatwa akiiiba, tukio ambalo lilienda sambamba na msiba mzito wa mdogo wake...
1 Reactions
3 Replies
346 Views
Kuna hii kama resort nzuri sana inaitwa Oviedo. Nimeona kuna landscaping ya maana, boti, sijui farasi nk. Iko wapi hii? Nimeona mmiliki wake, Dr Ibrahim Chenza(Phd)ana mishe gani? Nataka kujifunza.
3 Reactions
13 Replies
486 Views
Back
Top Bottom