Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nicki Minaj amejiondoa kwenye mtandao wa Instagram, baada ya kurudi, ndani ya muda mfupi baada ya kukumbwa na upinzani mkali mtandaoni. Tukio hilo linahusishwa na ushiriki wake katika mkutano wa...
9 Reactions
8 Replies
526 Views
Hawa jamaa nimetokea sana kuwaangalia pale YouTube. Kuna ambao wako very professional na hapa nampa masuul, Ivan kias, zompal anajua ila hana vocal sana. Hawa jamaa kitaalamu sijui kama ki...
0 Reactions
1 Replies
160 Views
Dozi inakolea Shilole anasema ataanda Show yake na watanzania watajaa kwani hawataacha kwenda kuona viuno live. Anasema watanzania msiwabanie wasanii watakula wapi?
2 Reactions
31 Replies
997 Views
Baraza la Mashekh wa Mkoa wa Dar es Salaam Chini ya Mwenyekiti wake Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam limevunja rasmi ndoa ya Bi. Queen Masanja ambaye alikuwa Mke wa Dk. Mwaka leo hii Tarehe...
6 Reactions
110 Replies
11K Views
Baada ya mgombea wa republican Donald Trump kukoswa risasi katika kampeni zake, wimbo wa 50cent MENY MEN ulitrend na ikawa anthem kwenye kampeni zilizofuata baada ya tukio lile. Kampeni...
5 Reactions
23 Replies
441 Views
Call of Duty legend Vince Zampella DEAD at 55 after his car veered off Angeles Crest Highway, slammed into a barrier and BURST into flames The single-vehicle crash ejected a passenger who later...
2 Reactions
12 Replies
323 Views
Nimemwona Hammo rapa akiongea kiingereza kibovu kiasi kwamba analitia aibu taifa. Majirani zetu Wakenya wakiona hii ndio watatucheka kabisa. Wizara inayohusika na sanaa impige marufuku Hamorapa...
11 Reactions
43 Replies
710 Views
Katika Hali ya kushangaza watu wamejiuliza hivi wanigeria nao wamesusa? Ukitoa waandishi wa habari, na familia ya mke wa jux uwanja unabaki holaaa Yani unaweza hata wahesabu, na ukagawa chai na...
25 Reactions
89 Replies
3K Views
Wasanii siyo Oxygen. We can do without thém! After all, by 99.9% are a product of classroom failure! They are Iron Boys to entertain the State! as documented by Plato in The Theory of a State...
5 Reactions
7 Replies
224 Views
Msanii Marioo ameonyesha shukrani za dhati kwa mashabiki wake kufuatia mapokezi makubwa ya wimbo wake mpya “OLUWA.” Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye Instagram, Marioo alieleza kuwa upendo...
0 Reactions
4 Replies
435 Views
Kiufupi huu mchezo wanaouanza utawaponza wenyewe na tumeona na tumethibitisha msanii mario kutumia maroboti kuboost views huku akijitamba kwa kuwashukuru mashabiki ilihali anajua kabisa mshabiki...
7 Reactions
30 Replies
925 Views
Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Fleva wenye ladha ya R&B na Afro-pop, Christian Bella amepewa uraia wa Tanzania. Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mambo ya Ndani, George...
7 Reactions
21 Replies
728 Views
Kupitia page ya Instagram ya kado media imeonyesha tukio la kushangaza, msanii MKUBWA Arusha na diwani dogo JANJA akipiga show ya Vodacom ya wazi isiyo na kiingolio, kichekesho hakuna raia hata...
25 Reactions
66 Replies
2K Views
Msanii Nay wa Mitego kupitia ukurasa wake wa Insta ameeleza hayo hii ikiwa ni katika kipindi amabacho wananchi wanajitahidi kuwawajibisha wasanii waliokataa kusimama nao kipindi cha matatizo. Nay...
6 Reactions
7 Replies
432 Views
Nimesikitika kuona wabongo wanajirudi tena kwa wasanii kama mazezeta. Idadi ya followers kwa wasanii inaanza kurudi kwa kasi kama hapo awali. Mfano huyu diamond nyodo anawaletea na bado kuna...
14 Reactions
49 Replies
1K Views
Wakuu. Haya ni mapokezi Msanii Diamond na kwenye video ni Gen Z waliosema hawatamani hata kumsikia sijui imekuwaje, lakini ukweli ndio huo wakimzimikia Msanii wao. Je, ni tukio lakutengenezwa...
2 Reactions
10 Replies
924 Views
Wakati wasanii wakikaangwa na mashabiki kwa kukosa matamasha na uungwaji mkono kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii, hatuoni BASATA wakifanya juhudi zozote kuwasaidia. Wapo kimyaaaaa, kama vile...
2 Reactions
2 Replies
184 Views
Baada ya nyimbo ya Mario kufanya vizuri kwa kigezo eti wamemsamehe Gen Z, pitapita raia wakashtukia mchezo mbona namba zinakimbia, baada ya kuangalia kwenye sehemu ya views namba zimekosewa...
5 Reactions
10 Replies
478 Views
Huu ni ujumbe wa KISIASA alioutoa Diamond Platnumz Kwa Watanzania akiwaasa waache Lawama na wafanye kazi. Kwani Kila Awamu wanailalamikia serikali. ----------------------------
16 Reactions
396 Replies
23K Views
Baada ya kimya cha mwezi wasanii wameanza kutesti mitambo Gen Z wamekubali yaishe Video ya Marioo yazoa views Milioni 1
0 Reactions
27 Replies
689 Views
Back
Top Bottom