MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Hii video ilivyotengenezwa imeniacha mdomo wazi na wala sichoki kuiangalia,
Wanasema kuna vitu ameiba lakini niseme tu kwamba ubunifu uliotumika hapa ni wa kiwango cha hali ya juu sanaa. Ameitengenezea katika mazingira ya Kiafrika na bado umebamba sana: Hasashasa ukiongezea kile alichoimba na beat iliyotumika ndiyo hatari kabisaa.
NB: Hakika wasanii wetu wana kitu cha kujifunza hapa,
Siyo lazima kila video iwe na Lamborghini, Ferrari, Chevy Impala, Majumba ya kifahari au ifanyiwe nje ya nchi ili iwe nzuri. Japo naomba nieleweke kwamba sisemi kufanya hivi ni vibaya kabisa, lakini mara nyingine tunahitaji kujaribu vitu vya kitofauti ambavyo vitafanya muziki wetu uwe wa kipekee. Magari ya kifahari na majumba wasanii karibia dunia nzima ndiyo wanayatumia, sasa ni wakati tufanye kama Wahindi na nyimbo zao ambazo zinawapa Utofauti sanaaa na watu wengine.
CC: Red Giant , Benny , wick, travis 1
Wanasema kuna vitu ameiba lakini niseme tu kwamba ubunifu uliotumika hapa ni wa kiwango cha hali ya juu sanaa. Ameitengenezea katika mazingira ya Kiafrika na bado umebamba sana: Hasashasa ukiongezea kile alichoimba na beat iliyotumika ndiyo hatari kabisaa.
NB: Hakika wasanii wetu wana kitu cha kujifunza hapa,
Siyo lazima kila video iwe na Lamborghini, Ferrari, Chevy Impala, Majumba ya kifahari au ifanyiwe nje ya nchi ili iwe nzuri. Japo naomba nieleweke kwamba sisemi kufanya hivi ni vibaya kabisa, lakini mara nyingine tunahitaji kujaribu vitu vya kitofauti ambavyo vitafanya muziki wetu uwe wa kipekee. Magari ya kifahari na majumba wasanii karibia dunia nzima ndiyo wanayatumia, sasa ni wakati tufanye kama Wahindi na nyimbo zao ambazo zinawapa Utofauti sanaaa na watu wengine.
CC: Red Giant , Benny , wick, travis 1