INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 993
- 1,337
Habari wapenzi wa muziki mzuri
Aisee anaitwa Chris Brown ni msanii namkubali sana tena. Jamaa alizaliwa katika mji unaitwa Virginia miaka ya 80 mwishoni.Alianza carrier ya muziki tangu akiwa junk junk tu
Ana vipaji vingi,ana rap,anaimba hiphop, ni actor, na zaidi anajua kudance hatari
pia ana lebo yake ya mavazi inaitwa black pyramid.
Ashawahi date na warembo wakali ila nadhani kwa wengi watakuwa wanakumbuka ile na Rihanna na ile ya Karruich Tran
Sijawahi kuzichoka album zake zote tangu kaanza kuzitoa aisee kuanzia ile ya 2005 inayoitwa C.H.R.I.S B.R.O.W.N iliyokuwa na vibao vikali kama say goodbye and so on
Akaja kutoa album nyingne kama :
√ FORTUNE
√ FORTUNE(delux edition)
√ GRAFFITI (hii ndiyo album nayoipenda zaidi)
√ FAN OF FAN(ambayo alitoa na Tyga)
√ FAME
√ FAME DELUX EDITION
√ X
√ LOYALTY
√ HEARTBREAK IN FULL MOON
√ INDIGO (Ambayo ni mpya kwa sasa)
pia kuna single nyingi alizitoa
Ngoma zake top nazozielewa ni
Kiss kiss (ft T.pain)
Undecided
Sing like me
Your heart
only for me
yeah×3
fallen angel
Deuces
i wanna be
forever
Questions
party n.k
In short ana sauti ya kipekee sana .video zake hazichoshi kuzitizama..
Karibu kushare ni album unaikubali au nyimbo zipi za huyu bamdogo unazielewa kinyama yaani
N:B Kwa sasa niko busy na hii INDIGO ni hatari..'bamdogo huyu anajua sana'
Aisee anaitwa Chris Brown ni msanii namkubali sana tena. Jamaa alizaliwa katika mji unaitwa Virginia miaka ya 80 mwishoni.Alianza carrier ya muziki tangu akiwa junk junk tu
Ana vipaji vingi,ana rap,anaimba hiphop, ni actor, na zaidi anajua kudance hatari
pia ana lebo yake ya mavazi inaitwa black pyramid.
Ashawahi date na warembo wakali ila nadhani kwa wengi watakuwa wanakumbuka ile na Rihanna na ile ya Karruich Tran
Sijawahi kuzichoka album zake zote tangu kaanza kuzitoa aisee kuanzia ile ya 2005 inayoitwa C.H.R.I.S B.R.O.W.N iliyokuwa na vibao vikali kama say goodbye and so on
Akaja kutoa album nyingne kama :
√ FORTUNE
√ FORTUNE(delux edition)
√ GRAFFITI (hii ndiyo album nayoipenda zaidi)
√ FAN OF FAN(ambayo alitoa na Tyga)
√ FAME
√ FAME DELUX EDITION
√ X
√ LOYALTY
√ HEARTBREAK IN FULL MOON
√ INDIGO (Ambayo ni mpya kwa sasa)
pia kuna single nyingi alizitoa
Ngoma zake top nazozielewa ni
Kiss kiss (ft T.pain)
Undecided
Sing like me
Your heart
only for me
yeah×3
fallen angel
Deuces
i wanna be
forever
Questions
party n.k
In short ana sauti ya kipekee sana .video zake hazichoshi kuzitizama..
Karibu kushare ni album unaikubali au nyimbo zipi za huyu bamdogo unazielewa kinyama yaani
N:B Kwa sasa niko busy na hii INDIGO ni hatari..'bamdogo huyu anajua sana'