Chris Brown special thread

INTROVERT MAN

JF-Expert Member
Aug 5, 2019
993
1,337
Habari wapenzi wa muziki mzuri

Aisee anaitwa Chris Brown ni msanii namkubali sana tena. Jamaa alizaliwa katika mji unaitwa Virginia miaka ya 80 mwishoni.Alianza carrier ya muziki tangu akiwa junk junk tu

Ana vipaji vingi,ana rap,anaimba hiphop, ni actor, na zaidi anajua kudance hatari
pia ana lebo yake ya mavazi inaitwa black pyramid.

Ashawahi date na warembo wakali ila nadhani kwa wengi watakuwa wanakumbuka ile na Rihanna na ile ya Karruich Tran

Sijawahi kuzichoka album zake zote tangu kaanza kuzitoa aisee kuanzia ile ya 2005 inayoitwa C.H.R.I.S B.R.O.W.N iliyokuwa na vibao vikali kama say goodbye and so on

Akaja kutoa album nyingne kama :
√ FORTUNE
√ FORTUNE(delux edition)
√ GRAFFITI (hii ndiyo album nayoipenda zaidi)
√ FAN OF FAN(ambayo alitoa na Tyga)
√ FAME
√ FAME DELUX EDITION
√ X
√ LOYALTY
√ HEARTBREAK IN FULL MOON
√ INDIGO (Ambayo ni mpya kwa sasa)
pia kuna single nyingi alizitoa

Ngoma zake top nazozielewa ni

Kiss kiss (ft T.pain)
Undecided
Sing like me
Your heart
only for me
yeah×3
fallen angel
Deuces
i wanna be
forever
Questions
party n.k

In short ana sauti ya kipekee sana .video zake hazichoshi kuzitizama..

Karibu kushare ni album unaikubali au nyimbo zipi za huyu bamdogo unazielewa kinyama yaani


N:B Kwa sasa niko busy na hii INDIGO ni hatari..'bamdogo huyu anajua sana'
 
Huyu jamaa ni mkali hajawai haribu toka naanza kumsikia iiwe ameshirikishwa or ni nyimbo yake mwenyewe na katika mdundo/beat yoyote

NB: jamaa hata umuweke beat ya singeli anatembea na utampenda japo hajapata nafasi tu

All in all jamaa ni mkali haijawai tokea
 
habarini wapenzi wa muziki mzuri

aisee anaitwa Chris Brown ni msanii namkubali sana tena.. Jamaa alizaliwa katika mji unaitwa Virginia miaka ya 80 mwishoni
Alianza carrier ya muziki tangu akiwa junk junk tu
Ana vipaji vingi,ana rap,anaimba hiphop, ni actor, na zaidi anajua kudance hatari
pia ana lebo yake ya mavazi inaitwa black pyramid...

Ashawahi date na warembo wakali ila nafhani kwa wengi watakuwa wanakumbuka ile na Rihanna na ile ya Karruich Tran

Sijawahi kuzichoka album zake zote tangu kaanza kuzitoa aisee kuanzia ile ya 2005 inayoitwa C.H.R.I.S B.R.O.W.N iliyokuwa na vibao vikali kama say good bye and so on

akaja kutoa album nyingne kama :
√ FORTUNE
√ FORTUNE(delux edition)
√ GRAFFITI (hii ndiyo album nayoipenda zaidi)
√ FAN OF FAN(ambayo alitoa na Tyga)
√ FAME
√ FAME DELUX EDITION
√ X
√ LOYALTY
√ HEARTBREAK IN FULL MOON
√ INDIGO (Ambayo ni mpya kwa sasa)
pia kuna single nyingi alizitoa

ngoma zake top nazozielewa ni

kiss kiss (ft T.pain)
Undecided
Sing like me
Your heart
only for me
yeah×3
fallen angel
Deuces
i wanna be
forever
Questions
party n.k

in short ana sauti ya kipekee sana .video zake hazichoshi kuzitizama..

karibu kushare ni album unaikubali au nyimbo zipi za huyu bamdogo unazielewa kinyama yaani


N:B Kwa sasa niko busy na hii INDIGO ni hatari..'bamdogo huyu anajua sana'
huyu jamaa ni mkali hajawai haribu toka naanza kumsikia iiwe ameshirikishwa or ni nyimbo yake mwenyewe na katika mdundo/beat yoyote
NB: jamaa hata umuweke beat ya singeli anatembea na utampenda japo hajapata nafasi tu
All in all jamaa ni mkali haijawai tokea
 
Huyu jamaa ni mkali hajawai haribu toka naanza kumsikia iiwe ameshirikishwa or ni nyimbo yake mwenyewe na katika mdundo/beat yoyote

NB: jamaa hata umuweke beat ya singeli anatembea na utampenda japo hajapata nafasi tu

All in all jamaa ni mkali haijawai tokea
[/QUOTE
hahaha umetisha
 
Huyu jamaa ni mkali hajawai haribu toka naanza kumsikia iiwe ameshirikishwa or ni nyimbo yake mwenyewe na katika mdundo/beat yoyote

NB: jamaa hata umuweke beat ya singeli anatembea na utampenda japo hajapata nafasi tu

All in all jamaa ni mkali haijawai tokea
Kwa mwaka huu hadi Drake amempigia salute. He is the greatest performer of this generation.
 
Mwaka juzi nyimbo ambazo zilikua top katika album yake ya heartbreak on full moon kwa upande wangu

1.PILLS AND AUTOMOBILES
2.ON ME
3.YELLOW TAPE
4.LOVE TO REMEMBER
5.HEARTBREAK ON FULL MOON
6.PRIVACY

Katika nyimbo ambazo ametoa sijazikubali ni hii ya undecided yani hii imenishinda kila nikijaribu kuizoea naiona kama mbovu

katika nyimbo ambazo zinakimbiza hivi sasa kutoka kwa breezy

1.NO GUIDANCE
2.HEAT
3.INDIGO
4.DRIPPIN
5.LURKIN
Na zingine kibao

Katika nyimbo ambazo chris brown amerap vizuri nazo zikubali zipo nyingi ila nazozikumbuka ni hizi

1.LEAVE BROKE
2.YELLOW TAPE
3.STRANGE THINGS
4.I DON'T DIE nk.
 
Mwaka juzi nyimbo ambazo zilikua top katika album yake ya heartbreak on full moon kwa upande wangu

1.PILLS AND AUTOMOBILES
2.ON ME
3.YELLOW TAPE
4.LOVE TO REMEMBER
5.HEARTBREAK ON FULL MOON
6.PRIVACY

Katika nyimbo ambazo ametoa sijazikubali ni hii ya undecided yani hii imenishinda kila nikijaribu kuizoea naiona kama mbovu

katika nyimbo ambazo zinakimbiza hivi sasa kutoka kwa breezy

1.NO GUIDANCE
2.HEAT
3.INDIGO
4.DRIPPIN
5.LURKIN
Na zingine kibao

Katika nyimbo ambazo chris brown amerap vizuri nazo zikubali zipo nyingi ila nazozikumbuka ni hizi

1.LEAVE BROKE
2.YELLOW TAPE
3.STRANGE THINGS
4.I DON'T DIE nk.


sometimes bamdogo anazingua sana ila indigo nmeisikiliza sana mwezi August..
afu kingine ananiboa yale ma tattoo
 
Mwaka juzi nyimbo ambazo zilikua top katika album yake ya heartbreak on full moon kwa upande wangu

1.PILLS AND AUTOMOBILES
2.ON ME
3.YELLOW TAPE
4.LOVE TO REMEMBER
5.HEARTBREAK ON FULL MOON
6.PRIVACY

Katika nyimbo ambazo ametoa sijazikubali ni hii ya undecided yani hii imenishinda kila nikijaribu kuizoea naiona kama mbovu

katika nyimbo ambazo zinakimbiza hivi sasa kutoka kwa breezy

1.NO GUIDANCE
2.HEAT
3.INDIGO
4.DRIPPIN
5.LURKIN
Na zingine kibao

Katika nyimbo ambazo chris brown amerap vizuri nazo zikubali zipo nyingi ila nazozikumbuka ni hizi

1.LEAVE BROKE
2.YELLOW TAPE
3.STRANGE THINGS
4.I DON'T DIE nk.
inaoneka heartbreak on the full moon unaikubali sana
 
Back
Top Bottom