Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 851
- 1,887
Kuna mchungaji anajiita Rose shaboka.
Nadhani Kuna mahubiri yake ya hivi Karibuni amekuwa akihamasisha wanawake waendelee kuwa singo na wala wasiwe na haraka ya kukimbilia ndoa.
Ilhali yeye mwenyewe ana ndoa yake tena ameipata kwa kuipambania kutoka kwa msanii wa nyimbo za injili angel Bernard.
Kwanza ndoa yake imekuwa ya migogoro sana mara zote mume wake amekuwa mtu wa kumpiga matukio ila akiwa madhabahuni kama hakuna kinachoendelea.
Wadada kuweni makini na wachungaji wenu.
Ndoa sio maigizo.
Anapenda UNFEMININE huyu dada.
Simsemi kwa ubaya.
Nadhani Kuna mahubiri yake ya hivi Karibuni amekuwa akihamasisha wanawake waendelee kuwa singo na wala wasiwe na haraka ya kukimbilia ndoa.
Ilhali yeye mwenyewe ana ndoa yake tena ameipata kwa kuipambania kutoka kwa msanii wa nyimbo za injili angel Bernard.
Kwanza ndoa yake imekuwa ya migogoro sana mara zote mume wake amekuwa mtu wa kumpiga matukio ila akiwa madhabahuni kama hakuna kinachoendelea.
Wadada kuweni makini na wachungaji wenu.
Ndoa sio maigizo.
Anapenda UNFEMININE huyu dada.
Simsemi kwa ubaya.