Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake Tazama Video hizi...
18 Reactions
291 Replies
18K Views
Mama mzazi wa Martha Mwaipaja amezungumza na kuthibitisha kuwa yale yaliyosemwa na mdogo wake, Beatrice Mwaipaja kuwa muimbaji huyo wa 'Hatufanani' hamsaidii. Akizungumza kwa uchungu kwenye...
8 Reactions
206 Replies
14K Views
Mchungaji aanika machafu yote ya Martha Mwaipaja katika ukurasa wa Facebook Mchungaji anadai Martha Mwaipaja anajihusisha na vitendo vichafu vya usa**ji) visivyokubalika ndani ya jamii ya...
8 Reactions
142 Replies
10K Views
Wambea wa Jf Nimeisikilza hii habar mara 10 na sjjapata jibu. Nilivoelewa n kama Joan apendi martha kuwa au kuwasiliana na mama ake. Mlioelewa Joan n rafiki wa martha Joan n mtoto wa martha? Joan...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Ama kwa hakika ukiwa mtu wa watu wala hutumii nguvu. Kila la heri Mh Mbunge wa milele wa Mbeya Mjini
11 Reactions
63 Replies
12K Views
  • Redirect
Pipijojo Ahamia Rasmi Kwa Nandy (The African Princess) – Mwanzo Mpya Wa Moto! 🔥 Msanii chipukizi mwenye kipaji kikubwa, Pipijojo, anaendelea kupiga hatua kubwa kwenye tasnia ya muziki Tanzania...
0 Reactions
Replies
Views
Ninapoongelea kipaji wengi tunaelewa: ni kama kalama au ID ambayo unazaliwa nayo So Huwa nikitulia home na pc yangu ninamtindo wa kupakua beat na kuingiza saut mwisho na play kwa kujisikiliza...
4 Reactions
15 Replies
229 Views
Malipo ni hapa hapa. Ulimbukeni wa kupata mwanamke mzuri, ulimfanya Nikki wa Pilli kusema, "Mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni mwanamke, na sio mwanaume kama Biblia inavyosema" - hio ilikuwa...
25 Reactions
210 Replies
17K Views
Jamaa anavuta ganja hospitali bila tabu kabisa Soma pia Rapa wa Marekani, Offset apigwa risasi Florida
6 Reactions
14 Replies
502 Views
Wazee mtajiongeza wenyewe kuna hot cake moja nimerushiwa hapa ya mke wa mheshimiwa kijana yule wa Arusha anayependa kumpost sana mke wake amepigiwa mke wake aisee kwa ninavyomjua yule mheshimiwa...
61 Reactions
1K Replies
117K Views
Ngoma zake hazijapoa huyu jamaa ndio msanii wangu Bora wa singeli mda wote sababu ngoma zake Zina ujumbe sana na ni Kali jamaa kabalikiwa kipaji kikubwa sana na ametokea kukubalika sana na raia...
3 Reactions
20 Replies
465 Views
Mchekeshaji maarufu kutoka Senegal na ambaye anaishi Italy ameepuka mtego wa wazungu Mwaka 2024 mwezi wa sita alifunga Harusi ya kiisilamu na mwadada , Wendy Thembelihle. Mwaka huu mke wake...
19 Reactions
32 Replies
870 Views
Hivi huyu jamaa ana dawa gani? Sidhani kama kuna msanii wa Kikorea anapendwa kama huyu jamaa Muigizaji Lee Min-ho ameshika namba 1 tena Kwa mujibu wa matokeo ya ‘Utafiti wa Hallyu (Wimbi la...
2 Reactions
12 Replies
479 Views
Rapa wa Marekani Offset ameripotiwa kupigwa risasi karibu na casino maarufu ya Seminole Hard Rock Hotel & Casino huko Hollywood, Florida. Mtu wa karibu na rapa huyo amethibitisha kuwa Offset kwa...
7 Reactions
16 Replies
506 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Huyu dada Marilyn Monroe alikuwa na nguvu isiyo ya kawaida. John F. Kennedy akiwa Rais wa Marekani huku mdogo wake Robert F. Kennedy akiwa mwanasheria mkuu wa serikali walijikuta wote wakiangukia...
5 Reactions
90 Replies
8K Views
Back
Top Bottom