Huyu mwamba alishapata tuzo ya msanii wa muziki wa Rege Bongo enzi hizo..alikuwa mnyamwezi sana..anasuka madredi yake toka kitambo..
Alifanya muziki mzuri sana hadi watu tukampenda sana..akawa na...
Nikiwa naangalia hapa mechi ya USA na Belgium nikakukumbuka Kuhusu matangazo niliyoyaona yamezagaa huko mtaani kuhusu show ya Nandy akiwa na wasanii kibao maarufu tu itakayofanyika katika ukumbi...
Ugandan-South African socialite and entrepreneur Zari Hassan, popularly known as Zari the Boss Lady, and her husband Shakib Cham have announced their separation after five years together.
The...
Mwanamziki mkongwe maarufu mmarekani ambye nyimbo zake hazichuji Lionel Richie 78, anaendelea vizuri baada ya kukimbizwa hospitalini.
Alikuwa akitumbuiza stejini jijini St. Paul Minnesota...
Nauliza tu msaniii mama Amina aliyeibuka kwa Kasi ya 4g, kwenye UTAWALA wa serikali hii yupo wapi?;
Je, kapotea kama liquid piere wa UTAWALA wa awamu ya jiwe?
Umofia Kwenu wana JF,kwanza nawapenda kuwatakia heri ya mwaka mpya wa 2014
Kuna jamaa mtajwa hapo juu alitikisa sana miaka ya 2007-2008 kwa utajiri wa hajabu,lakini nikaja kusikia kama alikamatwa...
Zuchu, tulikufahamu kupitia muziki wako, si kupitia masterclass.
Kwa muda sasa umekuwa kimya upande wa hits. Badala ya kuja na nyimbo zinazotikisa chati, umehamia kwenye semina.
Binafsi, sijaona...
Wawili wao walioana mnamo mwaka 2014 kabla ya hapo walikuwa wachumba wa mda mrefu tangia wapo shuleni
Takecia Fatu, adai talaka toka kwa mumewe huyo, akidai kuchoshwa na usaliti ambapo Jay Uso...
Matamasha mawili ya mwanamuziki Nguli wa miondoko ya Rumba nchini DRC Kofi Olomide yamefutwa huko nchini Afrika Kusini kutokana na kukutwa na makosa ya ubakaji hivi karibuni dhidi ya mnenguaji...
Wakuu nawaheshimu sana kwa kuwa kanuni mojawapo ya ubinadamu sahihi ni kuheshimu usiemjua mpaka utakapomjuwa:
Mimi ni miongoni mwao wafuatliaji wa muziki wa aina tofauti duniani, kama POP na SOUL...
Isee
Nimekua mfuatiliaji wa muziki japo sio kitambo sana huwa napenda kusikiliza miziki yote ila tukija upande wa rap nimekuwa nikiwafuatilia wanamuzik wa comercial au hiphop mabiti au laini kv...
Kwa wapenz wa movies moja ya series maarufu duniani ni prison break na moja kati ya character maarufu na star humo ni Michael Scofield
Huyo jamaa anajua sana. Nikianza kukubali mwanzoni kabisa...
IVF (In Vitro Fertilization) ni njia ya kitabibu ya kusaidia kupata mtoto kwa kurutubisha yai na mbegu za kiume nje ya mwili wa mwanamke, katika maabara, kisha kiinitete (embryo) kinachopatikana...
Baadhi ya wanamuziki wa bongo wameshindwa kabisa kujipa majina mazuri ya kwenye steji.
Kuna majina ya kisanii ukiyasikia yaani haya "sound", japo mwenye jina anaweza kuwa msanii mzuri...
Mambo vipi?
Mara ya mwisho kupata taarifa za huyu Rapper ni kuwa alikuwa mgonjwa. Sijapata taarifa tena juu ya hali yake.
Mlioko Kigambonino mtupe taarifa.
Hii ndio historia ya utajiri wake throughout the years.
2026: $1 Trillion
2025: $683 Billion
2024: $400 Billion
2022: $219 Billion
2021: $151 Billion
2020: $74.6 Billion
2018: $19.9 Billion
2016...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.