Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Vigezo vyangu A. Mashairi B. Ujumbe C. Heshima ndani ya Mashairi D. kucheza na jukwaa E. Muda wa Mziki wake kudumu Hizo index mbele zimetokana na Calculator ambayo imeshusisha umri wa...
6 Reactions
44 Replies
8K Views
Katika mazungumzo ya Kikwete na Mwanahabari maarufu alieleza jinsi alivyopata ushindi mwaka 2005, akaeleza mchango wa wasanii katika siasa za Tanzania. Anaeleza kwamba kwa kiasi kikubwa...
6 Reactions
70 Replies
13K Views
Utafiti huru ulofanyika Twitter kwa siku 5 mfululizo ambao uliuliza: Kati ya wasanii wafuatao, nani alikuwa maarufu zaidi au nani kawa maarufu zaidi kwa muda aliowika? Na matokeo yakawa high...
9 Reactions
175 Replies
24K Views
Miaka 15 iliyopita, Juma Kassim Nature kutoka Temeke alikuwa moja kati ya wasanii watatu wenye majina makubwa zaidi kwenye mkondo mkuu wa Bongo Fleva. Albam yake ya kwanza, ‘Nini Chanzo’ pamoja...
50 Reactions
136 Replies
28K Views
Kwenye muziki wa hiphop bongo hakujawahi kutokea msanii mwenye nguvu kama Juma Nature. Juma Nature aliingia kwenye muziki akaukuta umejaa umarekani mwingi na akaubadilisha mchezo kabisa. Silaha...
20 Reactions
114 Replies
14K Views
For Promo only. https://youtu.be/YnbAqvz_8h0?si=WFtATkgwuApVX0J3 Kwa Mara ya kwanza Abdiel Mengi kukutana na Civilian-Coin ilikuwa mwaka 2003 katika studio za Backyard record zilizokuwa namanga...
5 Reactions
33 Replies
864 Views
Huyu mwamba alishapata tuzo ya msanii wa muziki wa Rege Bongo enzi hizo..alikuwa mnyamwezi sana..anasuka madredi yake toka kitambo.. Alifanya muziki mzuri sana hadi watu tukampenda sana..akawa na...
2 Reactions
10 Replies
427 Views
Nikiwa naangalia hapa mechi ya USA na Belgium nikakukumbuka Kuhusu matangazo niliyoyaona yamezagaa huko mtaani kuhusu show ya Nandy akiwa na wasanii kibao maarufu tu itakayofanyika katika ukumbi...
5 Reactions
26 Replies
686 Views
Ugandan-South African socialite and entrepreneur Zari Hassan, popularly known as Zari the Boss Lady, and her husband Shakib Cham have announced their separation after five years together. The...
6 Reactions
50 Replies
1K Views
Mwanamziki mkongwe maarufu mmarekani ambye nyimbo zake hazichuji Lionel Richie 78, anaendelea vizuri baada ya kukimbizwa hospitalini. Alikuwa akitumbuiza stejini jijini St. Paul Minnesota...
1 Reactions
15 Replies
298 Views
Nauliza tu msaniii mama Amina aliyeibuka kwa Kasi ya 4g, kwenye UTAWALA wa serikali hii yupo wapi?; Je, kapotea kama liquid piere wa UTAWALA wa awamu ya jiwe?
1 Reactions
9 Replies
340 Views
Wasanii kama Meja Kunta inakujae mama yako anauza samaki usiku anateseka na anaishi sehemu ya ajabu. Wasaniii mjitafakari Sana
17 Reactions
163 Replies
9K Views
Mziki wa kuusikiliza kupitia phone ni mtamu sana kuliko redio.
5 Reactions
43 Replies
496 Views
Umofia Kwenu wana JF,kwanza nawapenda kuwatakia heri ya mwaka mpya wa 2014 Kuna jamaa mtajwa hapo juu alitikisa sana miaka ya 2007-2008 kwa utajiri wa hajabu,lakini nikaja kusikia kama alikamatwa...
0 Reactions
58 Replies
18K Views
Zuchu, tulikufahamu kupitia muziki wako, si kupitia masterclass. Kwa muda sasa umekuwa kimya upande wa hits. Badala ya kuja na nyimbo zinazotikisa chati, umehamia kwenye semina. Binafsi, sijaona...
6 Reactions
21 Replies
733 Views
Wawili wao walioana mnamo mwaka 2014 kabla ya hapo walikuwa wachumba wa mda mrefu tangia wapo shuleni Takecia Fatu, adai talaka toka kwa mumewe huyo, akidai kuchoshwa na usaliti ambapo Jay Uso...
7 Reactions
29 Replies
701 Views
Baada ya kujitangaza kuwa yeye ni shoga, Michael Scofield aamua kumuonyesha boyfriend wake wa siku nyingi
0 Reactions
80 Replies
22K Views
Matamasha mawili ya mwanamuziki Nguli wa miondoko ya Rumba nchini DRC Kofi Olomide yamefutwa huko nchini Afrika Kusini kutokana na kukutwa na makosa ya ubakaji hivi karibuni dhidi ya mnenguaji...
4 Reactions
52 Replies
6K Views
Dada yake Diamond, Queen Darleen amesema mama yake mzazi yupo jela Hong Kong, na mara ya mwisho wameonana miaka 10 dah
4 Reactions
50 Replies
2K Views
Wakuu nawaheshimu sana kwa kuwa kanuni mojawapo ya ubinadamu sahihi ni kuheshimu usiemjua mpaka utakapomjuwa: Mimi ni miongoni mwao wafuatliaji wa muziki wa aina tofauti duniani, kama POP na SOUL...
8 Reactions
153 Replies
7K Views
Back
Top Bottom