Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Msanii wa RnB kutoka Amerika maarufu kwa jina la Ne-yo amewasili leo jijini dar kwa ajili ya kupiga sho
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Mwanamuziki Sheta amesema kwamba kutokana na ratiba yake kuwa ngumu hapendi kukutana na watu na hata sasa amehama Kijitonyama chanzo Clouds sasa hivi
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Pasipo na ubishi wala kuteteleka hili ni jambo zuri ever...baada ya Msanii Mkubwa kumtaka msanii mwenzake ambaye naye ni Mkubwa aje...nijambo jema! Nahisi huu ugomvi wale waliokuwa wananufaika...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wabunge wawili vijana wanaoheshimika na jamii ya Bongo Fleva, Joseph Mbilinyi (Sugu) na Joseph Haule (Profesa Jay) na wakali wa Hip Hop wa muda wote Tanzania, wamekiri kuwa ilikuwa ni kilio chao...
3 Reactions
12 Replies
5K Views
Uzi huu ni maalum kuwatambua wasanii wanaoimba katika matangazo mbalimbali kwenye redio na luninga zetu bongo. Huwa yanavutia sana kwa sauti za kupendeza. Napenda kuwafahamu walioimba matangazo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wimbo mpya wa Gnako na Niki wa 2 umewafanya waharibu image zao kwenye jamii Wimbo mara ya kwanza walimfata Nisher kutengeneza video baada ya kumaliza kushoot kabla hawajamlipa wakasema haiko poa...
2 Reactions
19 Replies
5K Views
Poshy popote ulipo nisikie kilio changu
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Back in the day, The "New York king" Notorious Big, said some disrespekful about Bay-area's Emperor, E-40. Apparently, Big had an interview with this magazine, where he was asked to rate...
5 Reactions
50 Replies
6K Views
Tickets za VIP zimekwisha Unaweza kuendelea kununua tickets za 20,000/= kupitia vituo vifuatavyo OMGift Shop Dar Free Market Shear Illusion Mlimani City American Nails Salon Kinondoni Na...
6 Reactions
465 Replies
46K Views
kwako wewe lemutuz akili ndogoz ambaye uzalendo ni pale kunapikuwa na mazuri ya ndomo tu..shame on you wote mnaoponda msichoelewa Alikiba Becomes the Second African Artist to Sign a Global Music...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
www.bongo5.com/mtazamo-wangu-ya-sakata-la-g-nako-na-nisher-kuhusu-video-ya-arosto-05-2016/
2 Reactions
0 Replies
937 Views
Aliyewahi kuwa mtangazaji wa Clouds FM, Fina Mango, amevamiwa na majambazi usiku wa kuamkia jana, akiwa nyumbani kwake na familia yake.majambazi hayo yapataya 8, yalivamia na kuchukua pesa taslim...
0 Reactions
24 Replies
10K Views
Msanii Gigy Money amefunguka kuwa kamwe hawezi kumtaja mchumba wake, kwani kumtaja mchumba huyo kutamkosesha wachumba wengine. Gigy Money amethibitisha kuwa bado anataka wachumba wengine japo ana...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Hatimaye mtangazaji wa Clouds Fm, Gardner G. Habash amemjibu aliyekuwa mkewe, Lady Jay Dee, aliyemtaka aombe radhi ndani ya siku saba kwa kauli aliyoitoa iliyodaiwa kuwa imelenga kumdhalilisha...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Kiuno kama Ray c,pozi kama JD Ndo mana wahenga wakasema kosea vyote ila usikosee kuoa au kuolewa matokeo yake ndo tunayaona kwa jide ni dhairi kabisa kwamba Gardener alikuwa...
3 Reactions
127 Replies
26K Views
Kwa sisi tunaojua muziki tunaelewa ila kwa wale die hard fans hii kitu hawawezi kuielewa,kwanza hiyo habari ya alli kiba kusainiwa sony mi sioni kama ni ngeni maana kumbuka kipindi wamefanya ngoma...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
  • Closed
Watu wapekuzi sana...kumbe wimbo wa lady jay Dee ndindi ni wimbo wa watu....https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=1200573386629315&id=100000299950223 ==========UKWELI=========
0 Reactions
39 Replies
8K Views
Msanii wa bongo fleva Nasib Abdul maarufu kama Diamond ameendelea kujizolea tuzo kila pembe ya dunia kwa kazi anayoifanya ya music kupenda na wengi apewa tuzo ya kutambua kazi yake ya mziki leo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Taking gospel music to new heights, after being signed by Sony and being a day away from her album launch (scheduled for 15th of Dec), Rose Muhando has a video to a jam called 'Wololo' which has...
1 Reactions
21 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…