Staa wa filamu za Kibongo,Wema Sepetu amekiri kufunga ndoa bomani hivi karibuni ambayo ilihudhuliwa na watu wachache. Akizungumza na Clouds FM alisema kuwa aliamua kufunga ndoa ya siri kwa kuogopa...
Angalau Jina la Tanzania litatajwa mwaka huu kwenye michuano ya AFCON inayofanyika nchini Gabon.
Msanii diamond atatumbuiza kwenye sherehe za ufunguzi wa michuano hiyo, huku wenyeji Gabon...
Msanii wa k'ko King Kiba anaetarajia kufikisha miaka 40 hapo kesho amejibu kauli ya Icon wa Taifa, Mr Oxygen, Chibu Dangote. Simbaaaaa, Diamond Platinumz kuhusu pete ya kijani wiki iliopita...
Daaah aisee hawa watoto wawili Tunda na Selena wanafanana vitu vingi sana kuanzia style yao ya maisha, aina ya wapenzi waliokuwa nao hapo awali, tabia ya kupenda kula kula ,uvaaji ,sura, na vitu...
Kama kawaida mimi kama shabiki wa Vijana mahustler, wapambanaji nichukue nafasi hii adimu kumpa kongole kijana mwenzetu kwa hatua kadhaa anazopiga kiuchumi na kupitia muziki wake.
- Naamini...
Mshindi wa Big Brother 2014 Idris Sultan amedai katika tasnia ya filamu, mrembo Elizabeth Michael ‘Lulu’ ndiye msichana mwenye sifa ya kumuoa.
Idris ambaye alikuwa akitoka kimapenzi na Wema...
Hatimaye Wissam al mana na mkewe janet jackson mwenye umri wa miaka 50 wamefanikiwa kupata mtoto wa kiume Eissa al mana mnamo januari 03 mwaka 2017. Kwa janet jackson huyu ndio mtoto wake wa...
Msanii wa kitambo kunako gemu la bongo fleva anawashangaa sana wasanii wa kizazi hiki wanaotumia madawa ya kulevya na kuwaita wajinga na washamba sana
Amesema wao ndio walitakiwa kutumia madawa ya...
Siku za karibuni kumezuka stories kuwa wabongo wameacha kupiga miziki ya kwao na kuwaiga wanaigeria. Mfano wa ngoma zinazotajwa kuiga ladha ya Nigeria ni kama Kokoro, Shikorobo, Mugacherere, na...
Kosa kubwa sana analofanya huyu producer anayeitwa Rioba ambaye alikuwa ni meneja wa Young D. Nimegundua ni kwa nini hawa watu hawakaki pamoja kikazi kwa muda mrefu na baada ya muda wanatibuana...
Kama tulitarajia kumshusha Diamond kwa views mara ana nunua basi tutasubiri sana.
Naamini ipo siku na yeye ataitwa Billboard.
Ameweza rafiki yake bwana @Tekno kufikisha views 13 millions na...
Hii ngoma nzuri itasumbua siyo kama feeling good iliyobuma.
Hii nzuri sana.
Kiba kaimba safi kama kawaida ila apunguze yoo zinaboa sasa.
Halafu kumbe album zinalipa wanadai copy 10,000 za kwanza...
Amepost kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii kuhusu ziara hii, hakika kazi nzuri zinadumu na zinalipa...hii yote ni matokeo ya wimbo wa Aje uliotoka mwezi May mwaka jana!!
Kila la heri King...
Habari toka india zinasema msanii mkongwe na legend wa Bollywood Om Puri amefariki dunia january 6 2017 uko nyumbani kwake Mumbai.
Chanzo cha kifo ni mstuko wa moyo ambapo alikutwa chumbani kwake...
Afande Sele amedai kuwa Daz Baba havuti unga kama watu wengi wanavyodhani bali amekuwa akinywa pombe bila kuzingatia kula hali inayomfanya akonde
Akiongea na Bongo5, Afande amesema huu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.