Msanii mbosso amesema hakuna sehemu nimesema nimenunua nyumba nilichofanya ni kuwashukuru mashabiki wangu walioniwezesha nimepata nafasi ya kujiifadhi lakini sijasema nimenunua nyumba.
Hatahivyo...
Hi.. Every one ....?
Before sija-zungumza chochote katika uzi huu please hii thread ni kwa ajili ya fans of HIP HOP MUSIC tu please over please #TeamMziwanda LOL, if you don't know any...
Ukiachana na yaliyopita kipindi cha mwanzoni wa ujana wake, DC jokate wa wilaya ya kisarawe ni mwanamke shupavu sana, anajua kujiongeza na hakika atailetea maendeleo kisarawe, ningekuwa ni raisi...
Muda huu mwili upo katika ukumbi wa staples center Los Angeles, ambapo viongozi ndugu jamaa na marafiki wanatoa speech kuhusu maisha ya nipsey kw ujumla.
hapo chini ni ramani inayoonyesha mahali...
Wanachakarika kweli kutafuta hela ya mboga...nimeipenda hii.
Ila bado kuna tatizo kubwa sana linaendelea kwenye bongo zao..hasahasa mke
Au sijui alijisahau akatinga kiwalo chake alichopenda...
Wiki iliyopita kwenye mitandao ya kijamii kulivuja video ambayo ilikuwa inamuonesha Mjasiriamali na mtu maarufu mitandaoni, Lemutuz akiwa utupu hatimaye Wakili Msomi Alberto Msando ametoa neno...
Wana if.
nimefuatilia coverage nyingi ndani na nje jinsi gani Ruge alivyokuwa anaitumikia jamii, kikubwa zaidi alitumia raslimali watu, radio na nguvu zake mwenyewe kuinua vipaji.
Duninian kila...
Tobe honest,
Vijana wetu hawa siku hizi wanatukera na matusi yao ila aisee kuna hizi you tube reactions channels jamaa wanapendwa kuna hadi mama anamsifia diamonds kwa lips zake, moja ya...
Mziki wa Nigeria unaendelea kukua kwa Kasi Duniani Hulu wasanii wake wakiendelea kunufaika
Usiku wa Jana Drake akiwa London alimpandisha Wizkid nakumpa nafasi ya kupaform nyimbo zake kadhaa Kama...
Kumekuwa ana Mjadara Mkubwa Tanzania,Katika Maendeleo Ya kimziki Kwa Diamond Platnumz Na Wasanii wengine! Watu wanajaribu kufananisha maendeleo ya kimziki ya Diamond Platnumz na Davido,Wizkid na...
JINSI YA KUJIUNGA NA *INSTASCOOP* njia mpya ya kupata habari za uwakika moja kwa moja kwenye *WhatsApp* yako kutoka *Mwananchi communications Ltd*
1-Bonyeza hii...
Natumia nafasi hii kumpa hongera msanii Fid Q kwa kuaminika na kupewa ubalozi wa kutangaza hedhi salama kwa watoto wa kike.
Hakika unastahili sana kuwa balozi na mtoa elimu ya hedhi kwa vijana wa...
Ni wakati pia wakuu wengine wa mikoa kuiga uchapakazi wa kijana huyu wa DSM kwani akiwa kama mkuu wa kamati ya usalama wa mkoa ameingilia kati beef jipya kuhusu jina la Tanzania sweetheart kati ya...
Mwanaharakati na Mwanajamii, Rebeca Gyumi, ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwanamke Initiative anayefanya shughuli zake kwa ushirikiano na mashirika mbalimbali ikiwemo Umoja wa Mataifa (UN)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.