Kama miaka kumi au kumi na tano nyuma kuliibuka nguvu ya mziki wa Mwambao ulikuwa muziki ulio kamata soko lake barabara. Wakati huo kulikuwa na wanamuziki kama Marehemu Omary Kopa, na wengineo, ni...
Huyu jamaa naona kadri siku zinavyokwenda naona umaarufu wake unazidi kuongezeka kana kwamba ana nyimbo kali kupitiliza,Mimi ni mfatiliaji na shabiki mkubwa wa nyimbo za Nigeria,kuna wasanii...
Millard Ayo anaweza kuwa mtanzania wa pili baada ya Mwl Nyerere kwenda Marekani kwenye course ya International Visitor Leadership Program mwaka 1960.
Course hii inatolewa kwa International...
She has a good presenting skills, anayejua whereabouts zake atujuze sie wanajamvi kwasababu she is a celebrity...hlf hajasikika kwa skendo yoyote kama hawa celebrities wengine k.v Lulu, Meninah etc
By Yasin Ngitu on January 7, 2017
Uongozi wa label ya Millian Dollar Boys ‘MDB’ iliokuwa unamsimamia rapper Young Dee, amedai hawafanyi tena kazi na rapper huyo kwa madai rapper huyo hana...
Yasemwayo yapo! Ukiusikiliza kwa makini Wimbo wa Muziki wa mkali wa Hip Hop, Shariff Thabeet ‘Darassa’ kisha ulinganishe matukio na baadhi ya mistari katika nyimbo za Nasibu Abdul ‘Diamond...
Chicago,USA.
Ukisikia ssiku ya kufa nyani miti yote uteleza ndio haya yanayomkuta mwanamuziki R Kelly.
Mwanamuziki huyo ambaye amepitia kipindi kigumu cha kukabiliwa na kesi ya unyanyasaji wa...
Mzee Abdul ambae ni baba mzazi wa Diamond na Queen Darlin baada ya kuachia ngoma ambayo kaipa jina la dudu la yuyu amesema wimbo huo kwa sasa unatrend sana na imepokewa vyema na mashabiki pamoja...
Diamond is currently on a tour of Europe, he has already performed in two cities in the UK. The singer’s performance in Birmingham was however rocked with violence.
Diamond performed in...
MSANII matawi ya juu katika tasnia ya filamu Bongo, Husna Mohamed Posh Dotnata amefanya kufuru baada ya kutoa burungutu kununuamkoko wa kifahari aina ya Hummer, Amani Jipya limeinyaka...
Ashukuriwe Mungu aliye juu, tukiwa kwenye wiki takatifu, wiki ya kufufuka kwa mkombozi wa ulimwengu YESU KRISTO hatimaye shetani ameaibika tena baada ya maombi ya kumwombea mtumishi wa Mungu Rose...
Naona kama amedata mara anaacha kunyoa nywele za kwapa huku akizionyesha hadharani. Mara anataja wanaume waliomsokota na vimbwanga kibao..Fanyeni hima Mumnusuru ndugu yenu.
Sent using Jamii...
Sijui kwanini nahisi kama msiba wa watu Hawa wawili umefutika mapema mno mioyoni mwa wengi. Nilitaka angalau kuendelea kusikia Mambo mbalimbali ya kujifunza, kuhamasika, kujikumbusha n.k kuhusiana...
Kama sijakosea kipindi hiko kilianzishwa mwaka 2011 na kilijizolea umaarufu sana pia kikapata wadhamini wengi, Japo kwa sasa umaarufu wake sio kama awali kilipokuwa kinaanza, Na inasemekana ni...
Nyimbo ya kwanza kumtambulisha ommydimpoz kwenye bongo fleva ni
Nai nai , ommydimpoz fet alikiba
Published Jan 15,2012
Nyimbo ya pili ni
Kajiandae ommydimpoz fet alikiba
Published Nov 5,2016...
Yule msanii celebrity class A,mwanadada mwenye talent kubwa kabisa barani Afrika,role model kwa wasichana teenagers na wanafunzi wa kike ametikisa mji wa Mtwara kwa kufanya show kali iliyowaacha...
Baraza la Sanaa nchini limeufungia wimbo mpya wa mwanamuziki Rayvanny aliomshirikisha Diamond likisema unahamasisha masuala yaliyo kinyume na maadili
==================================
Baraza la...
Mzuqa!
Kila nikisikiza kibao chake if I could turn the hand of time yani I become very emotional. Tumuombeeni Robert asifungwe. Akipatwa na hatia atafungwa miaka 70.
Huu uonevu wa blacks ni too...
Mjadala huo tutasaidia kujua matumiz ya maneno haya ambayo naona hayatumik ipasavyo.
Neno *Dada* iv mtu kuitwa dada awe na umri gani mwisho ,naona eatv dadaz lkn mbona ni w goa mama wale!
Et kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.