Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kama miaka kumi au kumi na tano nyuma kuliibuka nguvu ya mziki wa Mwambao ulikuwa muziki ulio kamata soko lake barabara. Wakati huo kulikuwa na wanamuziki kama Marehemu Omary Kopa, na wengineo, ni...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Huyu jamaa naona kadri siku zinavyokwenda naona umaarufu wake unazidi kuongezeka kana kwamba ana nyimbo kali kupitiliza,Mimi ni mfatiliaji na shabiki mkubwa wa nyimbo za Nigeria,kuna wasanii...
7 Reactions
71 Replies
11K Views
Millard Ayo anaweza kuwa mtanzania wa pili baada ya Mwl Nyerere kwenda Marekani kwenye course ya International Visitor Leadership Program mwaka 1960. Course hii inatolewa kwa International...
8 Reactions
38 Replies
8K Views
She has a good presenting skills, anayejua whereabouts zake atujuze sie wanajamvi kwasababu she is a celebrity...hlf hajasikika kwa skendo yoyote kama hawa celebrities wengine k.v Lulu, Meninah etc
0 Reactions
5 Replies
5K Views
By Yasin Ngitu on January 7, 2017 Uongozi wa label ya Millian Dollar Boys ‘MDB’ iliokuwa unamsimamia rapper Young Dee, amedai hawafanyi tena kazi na rapper huyo kwa madai rapper huyo hana...
4 Reactions
150 Replies
20K Views
Yasemwayo yapo! Ukiusikiliza kwa makini Wimbo wa Muziki wa mkali wa Hip Hop, Shariff Thabeet ‘Darassa’ kisha ulinganishe matukio na baadhi ya mistari katika nyimbo za Nasibu Abdul ‘Diamond...
7 Reactions
89 Replies
23K Views
Chicago,USA. Ukisikia ssiku ya kufa nyani miti yote uteleza ndio haya yanayomkuta mwanamuziki R Kelly. Mwanamuziki huyo ambaye amepitia kipindi kigumu cha kukabiliwa na kesi ya unyanyasaji wa...
3 Reactions
91 Replies
13K Views
Mzee Abdul ambae ni baba mzazi wa Diamond na Queen Darlin baada ya kuachia ngoma ambayo kaipa jina la dudu la yuyu amesema wimbo huo kwa sasa unatrend sana na imepokewa vyema na mashabiki pamoja...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Diamond is currently on a tour of Europe, he has already performed in two cities in the UK. The singer’s performance in Birmingham was however rocked with violence. Diamond performed in...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
MSANII matawi ya juu katika tasnia ya filamu Bongo, Husna Mohamed Posh ‘Dotnata’ amefanya kufuru baada ya kutoa ‘burungutu’ kununua‘mkoko’ wa kifahari aina ya Hummer, Amani Jipya limeinyaka...
0 Reactions
67 Replies
17K Views
Ashukuriwe Mungu aliye juu, tukiwa kwenye wiki takatifu, wiki ya kufufuka kwa mkombozi wa ulimwengu YESU KRISTO hatimaye shetani ameaibika tena baada ya maombi ya kumwombea mtumishi wa Mungu Rose...
8 Reactions
101 Replies
12K Views
Naona kama amedata mara anaacha kunyoa nywele za kwapa huku akizionyesha hadharani. Mara anataja wanaume waliomsokota na vimbwanga kibao..Fanyeni hima Mumnusuru ndugu yenu. Sent using Jamii...
1 Reactions
24 Replies
11K Views
Sijui kwanini nahisi kama msiba wa watu Hawa wawili umefutika mapema mno mioyoni mwa wengi. Nilitaka angalau kuendelea kusikia Mambo mbalimbali ya kujifunza, kuhamasika, kujikumbusha n.k kuhusiana...
4 Reactions
38 Replies
4K Views
Kama sijakosea kipindi hiko kilianzishwa mwaka 2011 na kilijizolea umaarufu sana pia kikapata wadhamini wengi, Japo kwa sasa umaarufu wake sio kama awali kilipokuwa kinaanza, Na inasemekana ni...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Nyimbo ya kwanza kumtambulisha ommydimpoz kwenye bongo fleva ni Nai nai , ommydimpoz fet alikiba Published Jan 15,2012 Nyimbo ya pili ni Kajiandae ommydimpoz fet alikiba Published Nov 5,2016...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Yule msanii celebrity class A,mwanadada mwenye talent kubwa kabisa barani Afrika,role model kwa wasichana teenagers na wanafunzi wa kike ametikisa mji wa Mtwara kwa kufanya show kali iliyowaacha...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Baraza la Sanaa nchini limeufungia wimbo mpya wa mwanamuziki Rayvanny aliomshirikisha Diamond likisema unahamasisha masuala yaliyo kinyume na maadili ================================== Baraza la...
1 Reactions
145 Replies
30K Views
Mzuqa! Kila nikisikiza kibao chake if I could turn the hand of time yani I become very emotional. Tumuombeeni Robert asifungwe. Akipatwa na hatia atafungwa miaka 70. Huu uonevu wa blacks ni too...
6 Reactions
34 Replies
4K Views
Mjadala huo tutasaidia kujua matumiz ya maneno haya ambayo naona hayatumik ipasavyo. Neno *Dada* iv mtu kuitwa dada awe na umri gani mwisho ,naona eatv dadaz lkn mbona ni w goa mama wale! Et kweli...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Back
Top Bottom