Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Jay Z ndiye rapa wa kwanza duniani kuwa bilionea, kwa mujibu wa ripoti ya Jarida la Forbes iliyowekwa wazi wiki hii. Rapa huyo ambaye ni moja kati ya wafanyabiashara wakubwa ametajwa kuufikia...
3 Reactions
16 Replies
5K Views
idd m baraka
0 Reactions
1 Replies
794 Views
Wakenya wameapa kama watakutana na Willy Paul Mbinguni wataomba wahamishiwe motoni . Willy Paul amekua mwimbaji wa Injili huko kenya. Haya ndio matatizo ya kuimba Injili hata kanisa hujui lipo...
4 Reactions
38 Replies
9K Views
Binafsi naona kama music kwa sasa Tanzania unabembwa na hawa vijana waasanii wa Wasafi. Kwa sasa ni nadra sana kuona akina Fid Q , Weusi sijui na akina nani kupata show nyingi za ndani.Naona kama...
6 Reactions
34 Replies
7K Views
Kila nikiisikiliza kolabo ya Diamond na Fally Ipupa(INAMA) najikuta nafurahia midundo tu na siyo uimbaji wa bwana Nassib Abdul. Najua ni vyema kubadilika lakini wakati mwingine tuangalie na...
8 Reactions
67 Replies
9K Views
Mambo vipi wakuu, Habari za weekend? Moja kwa moja kwenye mada, Sir nature ni mmoja ya manguli wa bongo flava tangu kitambo mpaka sasa. Hapo zamani necha alikua ana uandishi flani hivi ambapo...
11 Reactions
111 Replies
16K Views
Moja ya vitu vinavyofanya ni.kubali Ali Kiba au King Kiba ni kuwa na tabia za kiume..kutoongea sana, kutojionesha nk pamoja na mambo yoooote nashangaa sioni mkizungumzia jamaa kutaka kupewa uraia...
4 Reactions
38 Replies
6K Views
Shoga kaenda Dubai hiyo caption sasa ukurasa mzima et kujifanya unaonewa wivu, mxieew , ushamba tu unakusumbua, Dubai yenyewe umefikia Deira huko mashenzin, kujifanya unaendesha Lamborghini Mxiee...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Diva na sauti yake ya kujiamini ikiambatana na nyodo ajibizana na Diamond On Air kisa mambo ya Instagram.
2 Reactions
158 Replies
42K Views
Naona kama watu wamezidi kumuandama msanii wetu pendwa na self proclaimed king of bongo fleva Mr. Aki kiba.. Watu wanamzonga zonga kisa tu Dee lebo yake inapaa kwa mwendo kasi wakati Ali eti...
0 Reactions
47 Replies
13K Views
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa hayupo tayari kuolewa na mwanaume mwingine zaidi ya mkali wa Bongo Fleva, Ruta Maxmilian Bushoke...
0 Reactions
45 Replies
14K Views
Nmefuatilia mahojiano yaliofanyika Cloudfm katika kipindi cha XXL mavoko aliongea kuusu tetesi zinazo zagaa mitandaoni zinazo sema kua kaomba msamaha arudi kwenye lebo yake ya zamani W Adam...
7 Reactions
91 Replies
14K Views
Msanii wa muziki kutoka katika 'Label' ya WCB Wasafi Raymond amefunguka na kusema kuwa ilifika wakati alikata tamaa kabisa juu ya maisha hususani maisha ya muziki baada ya kusota kwa muda mrefu...
5 Reactions
48 Replies
11K Views
Kilichobaki ni kuanza kuact porn tu maana idea ya kiki ni ileile na safari hii imegoma rekodini video kabisa ya mapenzi apo ndo tutashituka. Davido anatrend Africa nzima kwa ngoma kali lakini...
13 Reactions
106 Replies
12K Views
Inaitwa east zoo queen 🔥🔥
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana jamvi asallam aleykum Kabla ya yote ninaomba niweke wazi kwamba Mimi nilikuwa shabiki namba mmoja wa mastaa uchwara wa Tanzania hasa wema sepetu (kwa jina maarufu nyumbu au bongolala)...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Mtoto wa Davido anamafuta yake yanaitwa Aurora . Mtoto wa Davido Amefanya onyesho hilo huko Nigeria na kutambulisha mafuta yake hayo mapya. Nahizi ndizo picha za yeye na wazazi wake. Mtoto huyo...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Hapo vip!! Binafsi mimi ni mtu wa Arusha, ila Nick wa pili sijawahi kumkubali kabisa. Kwanza hatua aliyofikia kuikosoa Biblia kisa Mwanamke, ni kumkosea muumba wake na kuwakosea wakristo wote...
35 Reactions
220 Replies
23K Views
R.Kelly ameshtakiwa kwa makosa 11 ya unyanyasaji wa kingono, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya nchini Marekani. Mahakama imeripotiwa kuonyesha kuwa vitendo hivyo vilifanywa dhidi ya watoto wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kila show ulaya america au kusini mwa jangwa la sahara, why huwatafutii show misri,algeria,morroco, irani, saudi arabia au hata omani?
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Back
Top Bottom