Wasalaam wadau poleni na mfungo kwa wale ndugu zangu waislam chungu cha ngapi Leo??anyway acha niende moja kwa moja kwenye nia,Kuna kipindi kipya Pale usafini FM redio kinaanza Saa mbili usiku...
Tupunguze hasira ya Report ya CAG 2017/2018.
Huyu ni socialite wa huko Rwanda mwenzenu nimebahatika kumuona kwa macho yangu kigali,sikuamini kabisa yaani,uzuri ni kama utamu wa matunda yaani...
Tendo la ndoa ni kitendo cha kujamiana kati ya Mwanaume na Mwanamke Aidha , Wataalamu kadhaa wamegundua kuwa tendo la ndoa aka kugegedana ni Raha nambari moja na kuu kuliko zote kwa bianadamu kwa...
Huu wimbo unazaidi za masaa 24 yani siku moja na account ya Jamaa inazaidi ya subscribers 7M lakini wimbo hauna hata views 1M
Swali langu diamond anawazidi wapi mbona wimbo wake ndani ya masaa...
Siku za hivi karibuni mtangazaji huyo maarufu amekuwa akihoji wasanii wengi wa nje ya Tanzania wakiwemo Iyanya, Patoranking, Maurice Kirya na sasa amezungumza na hitmaker wa Duro, Tekno Miles wa...
Mmeichek movie ya shoga ya Tino? Jamaa nampa big up sana, kwa kuwa kuna wanaume wachache wenye UTHUBUTU kama Tino, na GUTS pia!! It's hgh time we talk abt these things! Tusijifanye kwamba haya...
huyu jamaa alianzia redio kadhaa za jijini kabla hajachomoka kwenda nje miaka iyo na kurudi kwa kasi ya ajabu moja kwa moja mjengoni Clouds Media.
jamaa ni jembe.
yeye ndo program manager wa...
Moja ya maproducers fundi kabisa kuwahi kutokea kwenye Bongo Flava.Alitengeneza hit song nyingi sana kipindi yupo G Records na baadae G 2.Katika wasanii ambao aliwasaidia sana ni Ali Saleh Kiba...
Habari, kwa wale mnaopenda celebrity gossip, nimeidaka hii hapa
yule mshindi waa BBA , amethibitisha kuwa Wema Sepetu ana ujauzito wake, baada ya wawili hawa kuhisiwa ni wapenzi kwa muda mrefu...
Mi nimfuatiliaji mkubwa wa bss, tokea ilivyaanzishwa tatizo ninaloliona washindi wa bss sio makini hawatoi vitu vipya kuanzia j4 mpaka huyu mariam, kunani? Mbona kimya au fani zenu kuiga nyimbo za...
Mwanamitindo Hamisa Mobetto alifanyika Party kwa ajili ya mwanaye ‘Prince Dee’. Mrembo huyo alipata nafasi ya kutoa burudani kwa wadau waliojitokeza ukumbini hapo ambapo alionyesha uwezo wake wa...
Mbunge wa mji mkongwe kupitia CUF,amepata suprise baada ya kutembelewa ghafla na mke wake huko dodoma.mbunge huyu alishangaa kumkuta mkewe yuko reception akimsubiria.
Je huu ni wivu au...
Saturday, June 18, 2011WEMA SEPETU ATAKA KUGOMBEA UBUNGE
Posted by Abby Hass on 11:44 PM
Wema akiwa na Cate
HE! Mhusika rasmi katika industry ya filamu za Kibongo, Wema Abraham Sepetu...
Liz Muthoni | NATION Cotu secretary general Francis Atwoli when he addressed workers during Labour Day at Uhuru Park on May 1, 2011. He has worn gold ornaments for over three decades and, as he...
Money brings happiness power respect problems enemies and a lot of fake friends but its good to have it morng instagram, ameandika Jux kwenye picha aliyoiweka leo Instagram inayoonesha akiwa...
Msanii wa filamu za kibongo, Hemedy suleiman "PHD" amealikwa nchini zambia kuigiza filamu inayoitwa "Tangled mess",akishirikiana na mastaa wa zambia ,mshiriki wa Bba 8,sulu banda na wanamuziki...
Baada ya Kuona Mwili unazidi Kuongezeka na Kuwa Bonge Nyanya Msanii wa Filamu Lulu Michael sasa Ameamua kuingia Gym Kupunguza huo mwili ..Hizo ni Picha Alizoshare na Mashabiki zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.