Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mambo vipi? Mara ya mwisho kupata taarifa za huyu Rapper ni kuwa alikuwa mgonjwa. Sijapata taarifa tena juu ya hali yake. Mlioko Kigambonino mtupe taarifa.
3 Reactions
36 Replies
8K Views
April 3, 2019 Nairobi, Kenya Akothee ft Linex Sunday Baraka ( Official Video ) Source: Akhotee Kenya
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Wakuu habari ya usiku Mimi si mpenzi sana wakuongelea hizi ishu na wala sina timu ila uvumilivu umenishinda,,hao jamaa wanajiita Wasafi nimefatilia shoo zao wanazojinadi wataimba live na...
4 Reactions
30 Replies
4K Views
Mjasiriamali na Mtunzi wa vitabu mashuhuri nchini Tanzania, Erick James Shigongo anatarajia kurudi shule na kusoma elimu ya shahada baada ya kuhangaika muda mrefu kutafuta nafasi hiyo, huku...
6 Reactions
63 Replies
16K Views
Nimesoma moja ya Column kwenye gazeti la Championi la leo yenye kichwa cha habari " Chamelleone atapeli tena Norway" Nimejiuliza maswali mengi lakini nimekosa majibu ya uhakika, binafsi me ni...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Bwana Eric James shigongo ambaye ni mmliki wa kampuni ya Global publisher, kampuni inayojishughulisha na uchapishaji wa magazeti, amefunguka rasmi kuhusu Tetesi zilizoenea kuhusu yeye kushiriki...
6 Reactions
74 Replies
20K Views
Jamani kwa wale wapenzi wa pop music na Rock wa zamani kidogo mtakua mnaikumbuka ile bendi ya vijana kutoka northern Ireland. Wametoa ngoma mpya kwa kushirikiana na ed sheeran jnaitwa Better man...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Umewahi kusikia jina play boy mitaani ? Likitumika kumaanisha mwanaume muhuni ? Basi ni sahihi Muanzilishi wa jina hili anaitwa Hugh Hefner ,huyu bwana alizaliwa april 9 1926 na kufa september 27...
8 Reactions
131 Replies
24K Views
Naamini hapa ni nyumbani kwa watu wanaoaminika kwa kuchambua na kudadafua isues mbalimbali, em tuusikilize huu wimbo kama ulivyo then tuuchambue, je ni kitu gani kimetokea mpaka king wa hii fani...
0 Reactions
389 Replies
112K Views
Wadauz; Leo hebu tuwajadili wanawake waliofanikiwa kwa kila proffesional anayoifanya wa Kitanzania kuanzia biashara, kwenye taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali, makampuni, sanaa na...
0 Reactions
95 Replies
20K Views
Wapambe kazi kwenu...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Anaitwa Addo November ..soma hapa chini Hivi maisha gani sijayaishi? Najua kuwa na Pesa najua Kufulia katika Mambo Yote nimegundua Bila Mungu basi hatima yako iko mashakani. Kipindi hicho...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Hii habari itakuwa na ukweli nimesikia muda huu kwenye redio jembe ni jembe Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Tamasha hili linafanyika ukumbi wa mikutano wa mwalimu Nyerere posta jijini Dsm na liko mubashara luningani Clouds. Karibu!
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Adai alimfata makonda Toka mwaka Jana na hakumsaidia lolote. Awaasa wajane wamtegemee mola peke yake Sent using Jamii Forums mobile app
10 Reactions
56 Replies
13K Views
Ndoa ya Billionea namba moja duniani mwanzilishi na mmiliki wa Kampuni ya mauzo mtandaoni ya Amazon Jeff Benzos na mkewe MacKenzie Bezos imeingia mchanga baada ya wanandoa hao kuamua kila mmoja...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Kwa muda mrefu rapper wa kike aliyewahi kutikisa nchini Tanzania, Rah P amekuwa kimya na kuendelea na maisha yake nchini Marekani. Lakini wengi hawajui tabu na shida alizozipata baada ya kwenda...
7 Reactions
65 Replies
26K Views
Namuona Piere akiwa kwenye VX akila zake kiyoyozi huku amekunja nne akila keki ya taifa. Namuona Piere akizunguka mkoa kwa mkoa, wilaya kwa wilaya, tarafa kwa tarafa, kata kwa kata na mgombea...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwa hali ambayo imedhihirika imepangwa ili kumchafua Pierre Liquid, watu wameanza kujitokeza kueleza kuwa wamezaa na Pierre. Tukumbuke mambo kama haya yalitokea nyakati za nyuma kuwachafua watu...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Ermias Davidson Asghedom kijana wa miaka (Agusti 15, 1985 – Mach 31, 2019), akijulikana kwa jina la sanaa kama Nipsey Hussle. Ni msanii wa sanaa ya muziki wa kufoka foka (Hip Hop) kutoka Calfonia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom