Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,110
Hakika huku ni kukosa fadhila.
Hivi Harmonize hakumbuki Diamond Platnumz amemtoa wapi mpaka hapo alipofikia,yani neno dogo tu la kumpa hongera na kumtakia mafanikio mema bosi weka linamshinda.
Dogo anapotea vibaya sana kwa mwendo huu .
Wasanii wenzake akiwemo Rayvann ,Lava Lava ,Mbosso ,Dulla Makabili hawakusita kutoa ya moyoni kwamba siku zote waja tukumbuke tulipotoka na watu waliotusaidia, dharau, kiburi na majivuno havifai haswa kwa mtu aliyekushika mkono kipindi ambacho ulioonekana si chochote wala si lolote mbele ya jamii inayokuzunguka.
HAPPY BIRTHDAY BOSS DIAMOND PLATNUM, ulipo tupo.
Hivi Harmonize hakumbuki Diamond Platnumz amemtoa wapi mpaka hapo alipofikia,yani neno dogo tu la kumpa hongera na kumtakia mafanikio mema bosi weka linamshinda.
Dogo anapotea vibaya sana kwa mwendo huu .
Wasanii wenzake akiwemo Rayvann ,Lava Lava ,Mbosso ,Dulla Makabili hawakusita kutoa ya moyoni kwamba siku zote waja tukumbuke tulipotoka na watu waliotusaidia, dharau, kiburi na majivuno havifai haswa kwa mtu aliyekushika mkono kipindi ambacho ulioonekana si chochote wala si lolote mbele ya jamii inayokuzunguka.
HAPPY BIRTHDAY BOSS DIAMOND PLATNUM, ulipo tupo.