Anti-Hacker
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 804
- 1,231
Kwa mujibu wa stori zinazo zagaa kwa sasa ni Diamond atakuwa anasherekea siku ya kuzaliwa na mwanaye huyo mzawa wa Tanasha
duuu jamaniDiamond hajawahi kubikiri MTU, wanawake wote anaogonga ni vyuma chakavu
Kweli watoto JF. Kubikiri kuna faida gani?Diamond hajawahi kubikiri MTU, wanawake wote anaogonga ni vyuma chakavu
Tanasha ndo Nani weka picha yake wengine hatumjui mkuu
Leo Kuna wanawake wengi tu wamejifungua yeye ni nani mpk atangazwe hivi,Hivyo nilitaka kumjua..Haina haja kama humfaham why usome thread
Utoto unakusumbuaReally hujui faida za kubikiri?
.
Kama wewe ni Ke sema nikujuze ila kama ni Me utachapiwa sanaaa utakula maUsed sanaaa
Kama umezidi miaka 25 unaongea utumbo huo. Basi nakujuza leo,kuna fiuzi kichwani mwako zimelegea. Waambie waliokuleta duniani waanze kuhangaika na wewe mapemaReally hujui faida za kubikiri?
.
Kama wewe ni Ke sema nikujuze ila kama ni Me utachapiwa sanaaa utakula maUsed sanaaa
Diamond hajawahi kubikiri MTU, wanawake wote anaogonga ni vyuma chakavu
Usikute eti na wewe ni mtu nzima!Really hujui faida za kubikiri?
.
Kama wewe ni Ke sema nikujuze ila kama ni Me utachapiwa sanaaa utakula maUsed sanaaa
Ndio maana nimemwambia hapo juu kama amezidi miaka 25 anaongea utumbo huo,basi waliomleta duniani wahesabie hasara,vinginevyo waanze na mirembe kwanzaUsikute eti na wewe ni mtu nzima!
Nikikumbuka zari alivyokuwaga kwini enzi amemzaa tiffa eti Leo anaambiwa hakuwahi kupendwa !!Ajiandae kuwa single mother.