Millard Afrael Ayo majina mengine ya utani Muyenjwa Laizer alizaliwa Arusha January 26 1986 akiwa ni mtoto wa kwanza kwenye famili ya watoto wanne ya Afrael Ayo ambae ni mmeru wa Akheri Tengeru...
Tangu Langa atutoke ni miaka 10 sasa sikuwahi kuona wa kuziba pengo lake.
Dizasta Vina a.k.a Maradona huyu jamaa kutokana na mpangilio wa verse zake, namna anavyoflow naweza kusema pengo la...
Usiku wa Jana
Kampuni ya Brazzers imempongeza muingizaji ANGELA WHITE kwa kutwaa Tuzo 3 za Pornhub katika usiku wa Jana wa Pornhub awards katika vipengele vya
-TOP Dp performer
-TOP niciest tits...
Diamond Platnumz ambae ni msanii namba moja Africa. Hatimaye amepewa jina jipya kwa sasa anaitwa aka Sheikh Mansoor. Wakimfananisha na tajiri mmiliki wa Manchester City
Ameuanza mwaka sasa yajayo...
Wasalaam Wakuu.
Kila leo ubunifu wa aina mbalimbali jinsi wasanii wanavyowasilisha kazi zao kwa hadhira inazidi kuongezeka.
Kuna Msanii maarufu kwa jina la 'Kicheche', ana namna yake ya kipekee...
Nianze kwa kuelezea hisia zangu kwake. Nampenda sana huyu bidada. Kila ninapoisikia sauti yake ikichomoza kwa vyombo huwa najihisi faraja sana. Nasisimka akili mpaka moyo. Hajawahi kukosea kwa...
Ni muda sasa naona Lavalava hajulikani yupo wapi post zake za mda mrefu alionekana na mpenzi wake namzungu wake sasa naona post hizo nazo zimefutwa account yake inatumika kutangaza matangazo ya...
Tarehe 25 Mwezi April ni kumbukizi ya Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie kukumbuka siku yake ya kuzaliwa ambapo Maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walisherekea kwa pamoja huku wageni...
Staa wa Muziki wa Bongo Fleva na Mjasiriamali Shilole ameiweka wazi Gari ya ndoto yake anayotamani kumiliki.
Wakati akizungumza na waandishi wa habari @officialshilole ameitaja “v8 new model”...
Ila kweli aiseeh, walichofanya wasafi ilikua ni risk sana , it was jeopardizing the life of others kwa kweli , kitendo cha kula bata baharini kwenye boti tena wakiwa wanalewa bila life support...
Rapa na Mfanyabiashara maarufu Sean Jean Combs a.k.a Puff Daddy, Diddy au Brother Love ametemana na mpenzi wake Young Miami aliyedumu nae kwa takriban miaka 2 tu.
Diddy amekuwa na kawaida ya...
Ilikuwa wakati mzuri sana kufanya kazi na ndugu zangu Maulid Kitenge, Gerald Hando, B Dozen na Oscar Oscar.
Nitaendelea kuwashukuru na kuwaheshimu sana kwa mchango walioweka hapa #EFMnaTVE...
Kwenye sekta ya habari labda Masanja hajafanya sana, lakini sote tukikumbuka enzi ya ze comedy tutakumbuka Masanja ndo alikuwa msoma habari mkubwa na alivutia mamilioni ya watanzania kuliko Maulid...
Nakumbuka nilipata kufahamu habari za mtu huyu kupitia JF hasa kwa kazi adhimu ya Mzee Mohamed Said.Mwanazuoni MS aliandika mengi kumhusu Belafonte, Leo nimesoma mahala kadhaa kwamba nguli huyu...
Staa kutoka pande za nollywood, Regina Daniels , kwa mara nyingine anatikisa kwenye mitandao ya kijamii baada ya hivi karibuni, mume wake ambaye ni millionaire , kumzawadia saa ya million 140...
Kwanza niseme wazi kwa mtazamo wangu wanamuziki wa bongo flaver, hiphop, dance nk ktk miziki ya ulimwengu ni wabunifu sana ingawa wengine mizigo.
Pili nawapongeza wanamuziki wa dini wachache wana...
Wote tunamjua Marioo kama msanii anaejitafuta ila bado ajajipata.
Wote tunajua anakopi sana swaga za Mbosso Khan.
Wote tunajua kusoma na kuandika bado ni mtihani kwake.
Lakini huyu dogo baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.