Burna Boy awa msanii wa kwanza kutoka Afrika kujaza Uwanja Marekani

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,119
Mshindi huyo wa Tuzo ya Grammy amefanikiwa kuweka rekodi hiyo kwa kuuza Tiketi zote 41,000 za onesho lake katika Uwanja wa Citi Field ulioko jijini New York, Marekani .

Show hiyo ilihudhuriwa pia na Mastaa wakubwa kutoka Marekani wakiwemo Busta Rhymes, SZA, Jorja Smith na rapa Santan Dave kutoka Uingereza aliyepewa nafasi kupanda Jukwaani pamoja na dada yake Burna Boy, Nissi.

AfroBeats inazidi kushika chati mbalimbali duniani ambapo hivi karibuni Mastaa wakubwa kutoka Ulaya na Marekani wamekuwa wakionesha mapenzi yao ya wazi kwa kuchapisha Video wakisikiliza au kucheza nyimbo za Wasanii kutoka Afrika.

===============

Grammy award-winning Nigerian singer, Damini Ogulu, aka Burna Boy, has made history as the first African musician to sell out a stadium show in the United States of America.

The ‘Love Damini’ crooner sold out the 41,000-capacity Citi Field Stadium in NYC, USA, on Saturday.

Burna Boy’s sister, Nissi was the opening artiste at the concert.

The self-styled ‘African Giant’ also brought out British rapper, Dave to perform their collaborative song ‘Location.’

Burna Boy performed ‘Ye’ and songs from his last four albums; ‘Outside’, ‘African Giant’, ‘Twice As Tall’, and ‘Love Damini’.

Burna Boy brought Dave out for “Location” at the #BurnaBoyCitifield stadium show in New York, the audience were so excited to witness them perform the song live for the very first time ever in the USA! 🔥🏟️🤩 pic.twitter.com/O66DfH2rJO

— benny. (@benny7gg) July 9, 2023
 
Back
Top Bottom