Leo ni Kumbukumbu ya kifo cha Tx Moshi William

ng'ombo

JF-Expert Member
Dec 1, 2014
418
619
images.jpeg

Leo ni Kumbukumbu ya kifo cha Tx Moshi William wa msondo ngoma Machi 29, 2017.

Marehamu Moshi William alifariki tarehe 29 Machi mwaka 2006 siku ya jumatano majira ya saa 3 asubuhi na kuzikwa siku hiyo hiyo katika makaburi ya Keko Machungwa.

Tarehe na siku ya kifo chake vimejirudia mwaka huu. Alitunga nyimbo nyingi lakini baadhi ya nyimbo zilizotia fora sana ni kilio cha mtu mzima, ndoa ndoana, kaza moyo na ajali.

Tx Moshi William ameacha pengo na kumbukumbu isiyosahaulika kwa wapenzi wa msondo na muziki wa dansi kwa ujumla hapa Tanzania na Duniani kwa ujumla.
 
View attachment 488271
Leo ni Kumbukumbu ya kifo cha Tx Moshi William wa msondo ngoma Machi 29, 2017.

Marehamu Moshi William alifariki tarehe 29 Machi mwaka 2006 siku ya jumatano majira ya saa 3 asubuhi na kuzikwa siku hiyo hiyo katika makaburi ya Keko Machungwa.

Tarehe na siku ya kifo chake vimejirudia mwaka huu. Alitunga nyimbo nyingi lakini baadhi ya nyimbo zilizotia fora sana ni kilio cha mtu mzima, ndoa ndoana, kaza moyo na ajali.

Tx Moshi William ameacha pengo na kumbukumbu isiyosahaulika kwa wapenzi wa msondo na muziki wa dansi kwa ujumla hapa Tanzania na Duniani kwa ujumla.


Tangu jana nipo hewani na Rajabu Zomboko radio One tukimuenzi TX Moshi William, na leo tunaendelea tena usiku kumkumbuka kupitia radio one.

Baadhi ya nyimbo zake nipamoja na:

1. Amida
2. Kilio cha mtu mzima.
3. Cheusi Magala.
4. Queen Cathe.
5.
6.
7.
 
View attachment 488271
Leo ni Kumbukumbu ya kifo cha Tx Moshi William wa msondo ngoma Machi 29, 2017.

Marehamu Moshi William alifariki tarehe 29 Machi mwaka 2006 siku ya jumatano majira ya saa 3 asubuhi na kuzikwa siku hiyo hiyo katika makaburi ya Keko Machungwa.

Tarehe na siku ya kifo chake vimejirudia mwaka huu. Alitunga nyimbo nyingi lakini baadhi ya nyimbo zilizotia fora sana ni kilio cha mtu mzima, ndoa ndoana, kaza moyo na ajali.

Tx Moshi William ameacha pengo na kumbukumbu isiyosahaulika kwa wapenzi wa msondo na muziki wa dansi kwa ujumla hapa Tanzania na Duniani kwa ujumla.
R.I.P TX Moshi

Navikumbuka vibao vyako vikali kama vile mwanangu acha wizi ,mama nipeleke kwa baba na kilio cha mtu mzima
 
View attachment 488271
Leo ni Kumbukumbu ya kifo cha Tx Moshi William wa msondo ngoma Machi 29, 2017.

Marehamu Moshi William alifariki tarehe 29 Machi mwaka 2006 siku ya jumatano majira ya saa 3 asubuhi na kuzikwa siku hiyo hiyo katika makaburi ya Keko Machungwa.

Tarehe na siku ya kifo chake vimejirudia mwaka huu. Alitunga nyimbo nyingi lakini baadhi ya nyimbo zilizotia fora sana ni kilio cha mtu mzima, ndoa ndoana, kaza moyo na ajali.

Tx Moshi William ameacha pengo na kumbukumbu isiyosahaulika kwa wapenzi wa msondo na muziki wa dansi kwa ujumla hapa Tanzania na Duniani kwa ujumla.


Huyo Mzee (RIP) na Diamond nani mkali?
 
KAZA MOYO NGOMATAMU SANA,HAICHUJI.

===========
1.NAENDA KAZINI MAMBO MOTO NARUDI NYUMBANI PAMEWASHA MOTO(TXXXXX) PALE MASIKANI NINAPOISHI HAKUNA AMANI KUMEBAKI SHARI.

2. BINADAMU WENGI HAWAPENDI KUWAONA WENZAOOOO(MOMBA) WAKIPATA MAFANIKIO YA KIMAISHA(BABA NATASHA) MARA WATESEMA ALIFANYA HIVI , WENGINE WATADAI CHUWA ALIFANYA VILE MRADI WAARIBU JINA LAKE NA SIFA YAKE BINADAMU TUPENDANE.

 
Mam

Mama nipeleke kwa Baba haukuwa wa Moshi bali Muhidin Mwalimu Gurumo kiongozi. Baadaye alikuja kuuimba tena na Ally Choki ila sina hakika kama walifanikiwa kuingia studio kirekodi.
Mama alivyomtendea babaa ni vibaya sana
Mama leo nieleze ni yupi baba alie nizaa
Au mimi ni mtoto nisie na baba nieleze
Majirani waliniambia baba yangu yupo hai
Sasa miaka 13 sijamuona baba yangu
Heri unipeleke kwetu mama nyumbani kwa baba yangu.
Duh! wacha niishie hapa gurumo hapo alikuwa gurumo
 
Sasa leo naeleza mbele yao wasikie
Wasikie mama maneno mama
Huyu bwana bado kijana
Kuna wengi kabla yako ambao wanampenda.
Gurumo, mbwembwe na moshi aaah chini panameza watu.
 
Back
Top Bottom