Just thinking aloud...... Mimi ni msanii kioo cha jamiii! Nimekumbuka hiyo clip na kuifananisha na Celebrites wa Bongo. Most of these celebrities wame relax, wanaona kama vile wamefika mwisho...
Msanii wa kizazi kipya Afande Sele ambae kwa sasa anavuma mtaani kwa jina la Yuda Eskariot,ameongelea kuhusu ishu yake ya kupafom pale Leaderz,akiojiwa Mlimani Radio alisema.
Namnukuu..."...
During any holidaytrip wih children,the most important thing to bear in mind is their safety. Ensure your children are aware of any possible danger but dont upset their fun-making.
As the...
niaje wana jamii? natumaini wakuu wote mpo salama. kubwa langu ni msaada wa kumpata yule dada alieigiza kwenye tangazo la ishi la vunja ukimya zungumza na mwenzio. kuna siku nilipNda nae daladala...
*WAPIGWA PA, WAPO CHINI YA ULINZI ARUSHA KESHO KUSAFIRISHWA KWENDA CONGO.
MWANAMUZIKI mahiri wa miondoko ya dansi aliyepata kujizolea sika kem kem nchini wakati akiwa na bendi ya FM miaka ya...
kesho asubuhi katika kipindi cha break fast Joseph Kusaga atakuwepo akijibu hoja na kwa wenye maswali ya aina yeyote ametoa namba ya simu 0786863716 hii ni kwa sms pamoja na e mail...
Rama dee na adili kwenye facebook wameandika kuwa kusaga na kinje wamekaa kikao na kujadili jinsi ya kupunguza makali vinega na vinega wamerekodi mazungumzo yao acheni hayo mambo mjue sasa ishu si...
kuna habari zinasema kuwa KINJEKITILE NGOMBALE MWIRU ameingia upande wa clouds kuitetea na kupanga vikao na clouds kuhusiana na VINEGA
inasemekana kuwa kuna vikao vya siri vinafanywa kati ya...
Haya ni maneno aliyo yaandika kwenye wall yake ya Facebook.
Shy-Rose Bhanji
wewe unayejiita Eng Mayeye Mussa hivi wewe
ni mwanaume kweli? mwanaume gani wewe
kila kukicha unanifuatilia bila...
Wanajamvi mlio karibu na huyu dogo mtujuze ratiba zake, anasoma saa ngapi? La tusaidiane kumsaidia asijeishia kuwa kama wakina Bluu, na wengine walokimbia shule coz naona matangazo ya epiq nation...
Wakuu kama mtakuwa ni wafatiliaji wazuri jumamosi ya tarehe 26 yaani juzi kwa upande wa burudani kulikuwa na matamasha mawili Jijini Dar ambayo yalibeba hisia na mitazamo tofauti, kulikuwa na...
Jamani mbona sijawahi kumsikia Joti akitajwa kuwa na msichana au mke?
Huwa namuona akiigiza kama mdada, na pia nasikia watoto wa mjini walisha wahi kumla kiboga.
Jamani Joti, si bora utafute...
Muziki wa Hip-Hop ya hapa kwetu na Bongo Flava kwa pamoja vina historia kidogo.
Inawezekana kabisa kuna baadhi ya waimbaji wa sasa ambao wamezaliwa wakaikuta Bongo Flava ishaanza.
Wapo wasanii...
Taarifa nilizozipata zinasema yule mpiga picha wa Daily News (ukipenda Daily Noise) Muhidin Issa Michuzi, ameteuliwa kuwa mwandishi wa habari msaidizi wa Rais.
Haijulikani kama Premi Kibanga...
Tutaendelea kukumbuka katika maisha yetu tuliyobakiza hapa duniani. wewe umetangulia sisi tunakufuata nyuma yako tutake tusitake. Mungu akulaze mahali pema peponi kinega wetu MR.EBBO. Tutaendeleza...
Nilikuwa napenda kutoa ushauri wa bule kwa muasisi wa muziki wa kizazi kipya SUGU.
Kwa kuwa lile tamasha lako ulifanikiwa hebu fanya mpango wa haraka wa kuhuzulia mazishi ya mr EBO na 2-uandae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.