Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ataenda wapi yupo tu amesanda magambaa si yalimrubuni akakimbia magwanda yuko hoi tu naona katoa ka single kake kamebuma
tamaa mbaya sana huyu mtoto angekaa zake magwanda angekua mbali sana, angekuwa mh wa vit maalum huyu ye akaonadili kupewa kadi na baba riz hapa r chuga ndo kwisha habari yake kama baba tundaAko Uswahilini Anajipanga, baada ya magamba kumchakachua last year!
Juzi kati alikua anatuma e mail kwenye google groups ya Arushamailing kuomba kazi ya u manager.
Atakua kapinda.
Kwa siasa ipi hiyo ambayo ameifanya zaidi ya kupanda jukwaani pale NMC na CDM na wiki iliyofuata at the same stage akapanda na CCM(mr politician) na kurudisha kadi ya CDM baada ya kuhongwa milioni tatu na mr politician ambaye yeye nakaaya mwenyewe alikua akimdis awali??AMedai ameachana na siasa kuangalia maisha yake... binafsi nampongeza kwa hilo siasa za bongo maumivu ya kichwa...
AMedai ameachana na siasa kuangalia maisha yake... binafsi nampongeza kwa hilo siasa za bongo maumivu ya kichwa...
tamaa mbaya.
Anapuliza bange ya olikokola na kukazia na viroba chapa jogoo uwani kwao.yuko a town.