NAKAAYA ...yuko wapi?

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
Long t sijamsikia huyu shori au watu walishaweka ndani?
35722_442920901279_629301279_6303946_7714033_n.jpg 267213_10150333344126280_629301279_9877055_6974991_n.jpg
 
Ataenda wapi yupo tu amesanda magambaa si yalimrubuni akakimbia magwanda yuko hoi tu naona katoa ka single kake kamebuma

Ako Uswahilini Anajipanga, baada ya magamba kumchakachua last year!

 
Anajipanga tena baada ya magamba kumchakachua. Aliwahi kuandika, kwenye twitter kuwa amechoshwa na jinsi system inavyoendeshwa. So she will be back with a surprise.
 
AMedai ameachana na siasa kuangalia maisha yake... binafsi nampongeza kwa hilo siasa za bongo maumivu ya kichwa...
 
Aliondoka kwa kelele kwenda kwa mafisadi hata aliko sitaki kujua. Huyu Celeb wapi? Bongo hii kuna Celeb?
 
AMedai ameachana na siasa kuangalia maisha yake... binafsi nampongeza kwa hilo siasa za bongo maumivu ya kichwa...
Kwa siasa ipi hiyo ambayo ameifanya zaidi ya kupanda jukwaani pale NMC na CDM na wiki iliyofuata at the same stage akapanda na CCM(mr politician) na kurudisha kadi ya CDM baada ya kuhongwa milioni tatu na mr politician ambaye yeye nakaaya mwenyewe alikua akimdis awali??

 
Anasubiri 2015. Ila magamba hawana huruma, unatoa uroda halafu unatoswa ubunge!
 
AMedai ameachana na siasa kuangalia maisha yake... binafsi nampongeza kwa hilo siasa za bongo maumivu ya kichwa...

Last time alikaririwa akisema ameamua kuachana na siasa kuwa imempotezea muda wake.....kwangu this was a stupid excuse kwasababu mtu halazimishwi kuingia katika siasa sasa inakupotezea vipi muda. huyu ni katika ya vijana ambao wanasukumwa na njaa zao kufanya maamuzi. Anayekupa chakula ndio anakuamulia cha kufanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom