R.I.P kinega wetu

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Tutaendelea kukumbuka katika maisha yetu tuliyobakiza hapa duniani. wewe umetangulia sisi tunakufuata nyuma yako tutake tusitake. Mungu akulaze mahali pema peponi kinega wetu MR.EBBO. Tutaendeleza harakati hadi Virus wote washike adabu. Mia
 
Ee m/mungu umpe pumziko la amani mwanao,umsamehe dhambi zake zote. R.I.P ABEL MOTIKA a.k.a Mr Ebbo
 
Mi mmasai,mbado.maneno mbofumbofu,bodaboda,fahari yako,kilengesa etc trak zilibamba sana
 
Mazishi yake ni lini waungwana!?

Mazishi yake yatafanyika jumatatu arusha. Arusha sipajui vizuri lakini sehemu ni kama inaitwa boma la wamasai(nyumbani kwao). bado walikua bado wanamsubili Baba yao anayeishi Tanga na baadhi ya NDUGU wanaoishi sehemu tofauti na kuendelea kupanga utaratibu wa mazishi. Inasikitisha sana, familia yao ina watoto 11 na yeye alikua mtoto wa 10 lakini ndo amekuwa wa kwanza kupoteza maisha.Mia
 
Mazishi yake yatafanyika jumatatu arusha. Arusha sipajui vizuri lakini sehemu ni kama inaitwa boma la wamasai(nyumbani kwao). bado walikua bado wanamsubili Baba yao anayeishi Tanga na baadhi ya NDUGU wanaoishi sehemu tofauti na kuendelea kupanga utaratibu wa mazishi. Inasikitisha sana, familia yao ina watoto 11 na yeye alikua mtoto wa 10 lakini ndo amekuwa wa kwanza kupoteza maisha.Mia

Unaifahamu vizuri familia ya Motika weye? Unajua kwamba Dadae Ebbo anaitwa Rose na alifariki zamani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom