habari nilizozisikia leo saa moja usk ni kkua,marehemu kanumba alikuwa anampango na cdm kugombea ubunge shinyanga,souce baba mzazi akihojiwa na radio wapo ,ktk kipindi cha patapata,na alikuwa...
Source: Kanumba: Hollywood speaks out
Dar es Salaam. A Hollywood executive has spoken about fallen soap star Steven Kanumba and for the first time gave inner details of projects that the...
naomba kuuliza kuwa aliyekuwa mrembo na kufikia ngazi za juu katika masuala ya urembo maarufu kama feza kessy yuko wapi now
mwenye kujua tafadhali atujuze
wao wenyewe huko ukiwa star wa ukweli unazikwa privately yaani ni ndugu wa karibu na maswahiba tu ndio wanahusika, tena unaingia kwa kadi; sasa wasanii wetu kama mnaiga karibu kila kitu cha hao...
Women activists gathered at the Federation for Women Lawyers (FIDA) offices in Kampala on March 29 to condemn Emin Baro, a 53-year old Macedonian man who entered the country as a tourist but has...
Na Shakoor JongoMtangazaji wa Kipindi cha TAKE ONE cha Clouds TV, Zamaradi Mketema juzikati alijifungua mtoto wa kiume katika Hospitali ya Aga Khan na kumshukuru Mungu kwa kuutua mzigo huo...
Ni jambo jema kumpongeza na kumpa moyo mtu anayefanya kazi nzuri. Kati ya watangazaji wa kipindi cha magazeti star tv na rfa, huyu dada watu wengi wanamkubali. Habagui hbr na anajua ni hbr zipi...
Wasanii wa muziki wa hapa home washinda Tunzo zao kwa mara ya kwanza na nina furaha sana coz ni watu niliokuwa nategemea wapokee tunzo hizo za KTMA,wali deserve so wadau ambao nanyi mnawapenda...
sijapenda kitendo cha barnabas aka baba steve kupewa tuzo ya diamond kisa huruma yani ile tuzo hakusitahili kabisa.tanzania ndio maana hatuendelei.mpeni kijana tuzo ili wengine nao wajifunze na...
hivi karibuni amezikwa msanii nguli ambaye naa mini hakuwa msomi saana, ameishia elimu ya sekondary tu lakini ana mafanikio makubwa. kama wazazi wake wange kuwa ndio wale wa "kitaratibu", natumai...
kuna tetesi mbunge wa jimbo la kawe mh Halima jemes mdee anampango wa kutafuta wakili wa kumsaidia msani
Elizabeti michael [Lulu] kwenye kesi ya malehem kanumba.
mwenye taalifa kamili...
Nigeria's final court of appeal has ruled that actress Rabi Ismail should be hanged for killing a male friend to acquire his property.
The Supreme Court upheld rulings by two lower courts that...
Wanabodi kuna tetesi kuwa michango ya rambirambi kwa ajili ya msiba wa Marehemu Kanumba imetafunwa na kamati ya mazishi.
Kuna habari kwamba zilichangwa pesa kiasi cha shilingi million 51. Kamati...
Wanajamvi habari Zenu.. Huyu binti Nakaaya nimemkumbuka baada ya kusikia nyimbo yake ya Mr.Politician.. Kwa kweli ulikuwa ni wimbo mzuri sana kwa wanasiasa wetu.. Hasa hawa wa chama cha..
Mara...
Ingeleta mantiki endapo barnaba angechukua tuzo nyingine kumfanya awe mwimbaji bora wa kiume...kwa mfano kuchukua wimbo bora wa mwaka nk...hata hivyo pongezi tuzo zilifana.
Brad and Angelina to marry No date set yet, but actors Pitt and Jolie declare intention to marry again because of 'pressure from the kids'
Angelina Jolie and Brad Pitt, who confirmed...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.