Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
wao wenyewe huko ukiwa star wa ukweli unazikwa privately yaani ni ndugu wa karibu na maswahiba tu ndio wanahusika, tena unaingia kwa kadi; sasa wasanii wetu kama mnaiga karibu kila kitu cha hao mastar wa ukweli igeni hadi taratibu zao za maziko ili mkamilishe u-supa-staa wenu.