Zitto Kabwe umefikia hatua ya kujidhalilisha? Hakika umeanza kuchanganyikiwa

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,211
42,072
HiVi Zitto kabwe huu aliofanya si zaidi ya uzalilishaji na ukandamizaji wa haki za binadamu!

Hivi si dalili za Zitto kama kiongozi kuchanganyikiwa?
---

Kiongozi wa kikundi cha Mapigo Tisa cha Kijiji cha Kalinzi Wilaya ya Kigoma, Khalid Isaa (kushoto) akimwongoza kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na aliyekuwa kupita juu ya daraja 'daraja mtu' kama ishara ya kumpitisha kwenye mazingira magumu hadi kufikia mafanikio.

Zitto pamoja na viongozi kadhaa wa chama hicho wapo katika Kijiji cha Kalinzi kilichoko jimbo la Kigoma Kaskazini ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kichama kwenyw majimbo nane ya uchaguzi Mkoa wa Kigoma.

IMG_1117.jpeg
IMG_1118.jpeg
 
HiVi Zitto kabwe huu aliofanya si zaidi ya uzalilishaji na ukandamizaji wa haki za binadamu!

Hivi si dalili za Zitto kama kiongozi kuchanganyikiwa?
Mbona picha haina sura ya Zito? kwani kafanya nini? eleza please
 
Yaani huyu tusiyemuona sura wewe ndiye umemuona isipokuwa yule aliyepita juu ya makalio ya akina mama wa CCM haukumuona!
Wote hao ni wajinga tuu na huyu si ndiye huwa anajigamba mtetezi wa hako za binadamu?
 
Hizo ni mila zao.
Fanya yakuhusuyo.
Ya caesar muachie caesar
huu ni ujinga na udhalilishaji kwa mtu msomi kama Zitto tena hujigamba kama mtetezi wa haki za binadamu
 
tatizo ni uislamu, hata kipindi cha awamu ya watoto wenye ulemevu wa ngozi albino waliuliwa sana na kuchukuliwa viungo, serikali ya wakati huo haikufanya chochote kuwalinda, kuna nchi za ulaya (christian) zilikuwa tayari kujitolea kuja kuwachukuwa kuwapa hifadhi.

uislamu wa tanzania aidha haueleweki na waumini wake au wenyewe ni tatizo kwenye mafundisho, hata nape yuko hivyo hivyo.

hakuna mtu christian anayeweza kufanya unyanyasaji na ushenzi kama huo …
 
tatizo ni uislamu, hata kipindi cha awamu ya watoto wenye ulemevu wa ngozi albino waliuliwa sana na kuchukuliwa viungo, serikali ya wakati huo haikufanya chochote kuwalinda, kuna nchi za ulaya (christian) zilikuwa tayari kujitolea kuja kuwachukuwa kuwapa hifadhi.

uislamu wa tanzania aidha haueleweki na waumini wake au wenyewe ni tatizo kwenye mafundisho, hata nape yuko hivyo hivyo.

hakuna mtu christian anayeweza kufanya unyanyasaji na ushenzi kama huo …
Hahahah soon ataanza kuwinda Albino
 
Back
Top Bottom