Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Sio pumba hizi..kuna substance hapa...RA ni mtu wa kumwogopa kama ukoma...Ni maongezi gani marefu na frequent namna hiyo??..Network searching~~~~~~~!
Kuwa na urafiki wa pembeni na mtu mwenye rekodi mbaya mbele ya macho ya Watanzania wote ni namna ya usaliti...Urafiki gani huukati ya Simba na sungura...Urafiki gani huu kati ya mwanambuzi na Chui!..
Somewhere, sometime...........
Sawa kabisa PJ maana methali inasema ng'ombe mwizi akitembea na mwizi naye atakuwa mwizi. Chunga sana hiyo, mtoto akishilikiana na majambazi ukakaa kimya matokeo yake yatakuwa mabaya kwako pia.