Zitto ahusishwa na Rostam Aziz - Mwana Halisi

Status
Not open for further replies.
sina imani nae kama habari za kuongea na rostam ni za kweli,na kama si kweli akanushe/ ZITO UNAENDA MWISHO WA UMAARUFU WAKO UTAPOTEZWA KWENYE RAMANI YA SIASA,Ngoja wakushawishi uhame uende huko kwenye ufisadi ufaidi,kama waliokuamini wakakupa nafasi hiyo wataendelea kukuamini/....SWALI HIVI HAKUNA KIGEZO CHA KUMNYANGANYA MTU KADI YA UANACHAMA /MBOWE KAKA MKUBWA,SLAA BABA MLEZI WA CDM,WANA CDM HEBU ANGALIENI II MAMBO ISIJE LETA SHIDA BAAAE
 
Kumbuka kuwa ZK na RA wote ni wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mbona Mbowe kisha kwenda IKULU si mara moja tu, kama ni mawasiliano tu ya kawaida mbona la Mbowe kwenda hadi Ikulu haliulizwi?, Mbowe hufata nini Ikulu? Na pia tumeona Mbowe katika picha na Kikwete wakichangamkiana sana. Kina Slaa na Makinda mpka picha zao gazetin zimo.

Sasa hili la Zitto na Rostam na Jack ndio iwe nongwa? Wote si system hao, au hamjuwi?
 
sina imani nae kama habari za kuongea na rostam ni za kweli,na kama si kweli akanushe/ ZITO UNAENDA MWISHO WA UMAARUFU WAKO UTAPOTEZWA KWENYE RAMANI YA SIASA,Ngoja wakushawishi uhame uende huko kwenye ufisadi ufaidi,kama waliokuamini wakakupa nafasi hiyo wataendelea kukuamini/....SWALI HIVI HAKUNA KIGEZO CHA KUMNYANGANYA MTU KADI YA UANACHAMA /MBOWE KAKA MKUBWA,SLAA BABA MLEZI WA CDM,WANA CDM HEBU ANGALIENI II MAMBO ISIJE LETA SHIDA BAAAE

Hata mimi najiuliza sana hili swali. CDM wamekuwa wwakipokea tu wwanachama ila cjaona wakinyang'anya mtu kadi. Nadhani that one should be one of the ways forward for CDM.
Mkuu
 
Nimeongea na Zitto anasema alikuwa akiwasiliana na Rostam kumtuliza asidai mamilioni yake aliyompa Mbowe katika uchaguzi wa 2005 na ule wa Tarime (by election) baada ya kugundua kuwa Mbowe amekuwa akidai hizo ni fedha zake na kulazimisha CHADEMA wamlipe kutoka katika ruzuku.........Inakutosha hiyo ama unahitaji nyingine.....
 
Kumbuka kuwa ZK na RA wote ni wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mbona Mbowe kisha kwenda IKULU si mara moja tu, kama ni mawasiliano tu ya kawaida mbona la Mbowe kwenda hadi Ikulu haliulizwi?, Mbowe hufata nini Ikulu? Na pia tumeona Mbowe katika picha na Kikwete wakichangamkiana sana. Kina Slaa na Makinda mpka picha zao gazetin zimo.

Sasa hili la Zitto na Rostam na Jack ndio iwe nongwa? Wote si system hao, au hamjuwi?

Ww Dar es Salaam sitaki kabisa uchangie hii thread. Nimekuona sana tu kwenye thread zako za UDINI humu JF. Umekuwa ukileta sana ukakasi kwa wasomaji makini. Hivyo naku ban rasmi kuchangia hii thread.
 
Nimeongea na Zitto anasema alikuwa akiwasiliana na Rostam kumtuliza asidai mamilioni yake aliyompa Mbowe katika uchaguzi wa 2005 na ule wa Tarime (by election) baada ya kugundua kuwa Mbowe amekuwa akidai hizo ni fedha zake na kulazimisha CHADEMA wamlipe kutoka katika ruzuku.........Inakutosha hiyo ama unahitaji nyingine.....
not convinced....!
mwambie aje hapa jamvini YEYE MWENYEWE na aandike ulichokisema
 
Wanajamvi... MWanahalisi wanafanya kazi yao, na wanafanya kazi nzuri sana... kwangu mimi sio ridiculous na MMM atakubali kwamba hii type ya journalism ipo dunia nzima hata huko Detroit, let alone UK... Ni kwa namna hii tumeweza kujifunza kwamba kuna viongozi wezi, mashoga, dhaifu, wanafiki nk.

Zitto is in the limelight because he wanted it... he is a politician, popular, controversial and in opposition.. and he has associated himself with the likes of Mama Kyejo (Mpenzi), Dowans, Richmond, etc. Pia anawasiliana na TISS, anawageuka wenzake nk

It is a wakeup call to all, kuacha unafiki, na kutufundisha kwamba ukiwa mchafu, basi usiingie kwenye siasa

Nani asiyemjua Rostam?... Nikianza kuonekana na Rostam leo, basi kila mtu atanihusisha mojakwamoja na ufisadi... wanasema birds of a feather fly together

IT IS SO EASY TO GO UP, BUT DIFFICULT TO STAY ON TOP...\

well done mwanahalisi
Kama alimpiga mzinga mama Kejo(Mpenzi) ambaye ni mwajiriwa wa serikali na ambaye maslahi yake ni madogo kulinganisha na Mheshimiwa mbunge(huenda huyo mpenzi awe fisadi ndipo atakuwa na fedha zaidi ya mheshimiwa)atashindwa kweli kupokea fedha haramu kutoka kwa RA?na chonde chonde Zitto RA si mjinga ukiingia kwake hutoki na ukijifanya mjuaji atakufanya kama alivyomfanya Mtikira,huyo RA ni kama yule gabochori wa Goldenberg Kenya Kamlesh Patin,wote wanaochukua pesa kwake wamenaswa na picha za video wakipata kitu kidogo
 
This is ridiculous; hivi kila mtu afuatilie nani anazungumza na nani? Mbona sisi wengine basi tungekuwa na hatia by phone records!
Depends ndugu yangu mtu unayeongea nae.... Chadema track record ni vita na mafisadi.. Rostam anatuhumiwa ufisadi.... sasa hawa watu wanapoongea kwenye simu there are some questions to be answered...... Hata wewe ukiwa unaongea sana na ex wako kwenye simu mke wako atakuwa na right ya kuhoji ni nini mnakiongea.......
 
Mawasiliano ya mtu na mtu si muhimu ila matokeo ya hayo mawasliano ndo hoja hapa hivyo mwandishi katika kujenga hoja ya kuonesha mashaka ya msimamo wa dogo ananukuu mawasiliano husika. Katika digital comms huwezi kurekodi maongezi ya wawili waongeao labda wajirekodi wenyewe ndiyo maana mwandishi hawezi kwenda zaidi ya alipotumegea. Ndiyo maana hata watu wa TISS wana hamu sana ya kujua Dr Slaa anaongea nini na anaowasiliana nao lakini hawawezi kukipata labda sms
Crap!! Sasa kama hawakuweza kujua kilichoongelewa wanaandika habari incomplete za nini??? Hao mwanahalisi nao ni wehu tu hamna lolote. Hivi hii ndio style ya kufanya invetigative journalism kweli?? Too bad mnaweza kumhukumu mtu kwa kitu ndicho sicho...
 
Nimeongea na Zitto anasema alikuwa akiwasiliana na Rostam kumtuliza asidai mamilioni yake aliyompa Mbowe katika uchaguzi wa 2005 na ule wa Tarime (by election) baada ya kugundua kuwa Mbowe amekuwa akidai hizo ni fedha zake na kulazimisha CHADEMA wamlipe kutoka katika ruzuku.........Inakutosha hiyo ama unahitaji nyingine.....
ni bahati mbaya hatutaikiw kutukana but this post is really low from you

I CANT BELIEVE MTU KAMA WEWE UNAPOST SUCH A THING AND THEN UNAJIITA NZALENDO
 
ni bahati mbaya hatutaikiw kutukana but this post is really low from you

I CANT BELIEVE MTU KAMA WEWE UNAPOST SUCH A THING AND THEN UNAJIITA NZALENDO
...halafu acid huyo ni mate wake zitto.kwa hiyo HATUTARAJII MIUJIZA HAPO.
 
Kama alimpiga mzinga mama Kejo(Mpenzi) ambaye ni mwajiriwa wa serikali na ambaye maslahi yake ni madogo kulinganisha na Mheshimiwa mbunge(huenda huyo mpenzi awe fisadi ndipo atakuwa na fedha zaidi ya mheshimiwa)atashindwa kweli kupokea fedha haramu kutoka kwa RA?na chonde chonde Zitto RA si mjinga ukiingia kwake hutoki na ukijifanya mjuaji atakufanya kama alivyomfanya Mtikira,huyo RA ni kama yule gabochori wa Goldenberg Kenya Kamlesh Patin,wote wanaochukua pesa kwake wamenaswa na picha za video wakipata kitu kidogo

Zitto ni mwanasiasa asiyependa kufuata upeopo ama siasa za ukasuku. Daima huchagua issue tofauti na zile maarufu ambazo MASIHA feki huzikimbilia. Ni mwanasiasa mwenye uthubutu wa kukaa na kuongea na adui huku kila mtu akiona na sio wale wanaoita fulani adui lakini baadae wanakutana mafichoni......Na kwa mageuzi ya kweli tunahitaji wanasiasa wa aina hii na sio mafisi wanaolazimisha kuvaa ngozi za kondoo hata kama zinawabana na kuacha wazi sehemu nyeti......
 
ni bahati mbaya hatutaikiw kutukana but this post is really low from you

I CANT BELIEVE MTU KAMA WEWE UNAPOST SUCH A THING AND THEN UNAJIITA NZALENDO

Kweli ww ni Acid nimekubali. Tena unisaidie kumwaga hiyo Acid kwa jamaa anaejiita Dar es Salaam. Ni mdini sana hivyo hii mada hapa asiichakachue kidini!........
 
Umesema mengi lakini sisi ambao ni RESULT ORIENTED tunachoangalia ni tukio na matokeo yake basi. Kuongea na RA si kosa hata mimi nawezaongea naye ila kama maongezi yetu yamenitilt kuelekea fikra zake vyovyote vile walokuwa wanajua msimamo wangu wana haki ya kudodosa maongezi yetu na RA! hiyo ndiyo hoja katika habari ya Kubenea. Hata Dr Slaa angekuwa anakiri kuwasliana na watu wa TISS halafu mawasiliano hayo yanaanza kuzaa matunda ya kuiyumbisha CHADEMA naye angesakamwa. Tungependa Zitto amtumie Rostam kuiyumbisha CCM na siyo Rostam amtumie Zitto kuiyumbisha CHADEMA Vinginevyo mawasiliano hayo hayana maana na tutaendelea kuyachokonoa


Hiyo niliyobold nieipenda ina mantiki. Thanx
 
...halafu acid huyo ni mate wake zitto.kwa hiyo HATUTARAJII MIUJIZA HAPO.
tEAMO... KWAKWELI NIMESIKITIKA SANA JINSI HUYU OMARY ALIVYOPOST

Yaani najuiliza huwa anaamka na kuvaa na kuaga kama mtu mwenye akili timamu au basi tu ni bingwa wa kujipendekeza?? Ukisoma post ya waberoya unagundua kabisa jinsi mmoja alivyo mtu na mwingine ni kijitu

Najua watasema katukana huyo, mpe ban... but it would be because kiswahili ni kigumu
 
Unasema kweli na Zitto mwanasiasa wa kuona mbali sio hawa surviverist wake ambao wanajidanganya wakivaa Capelo na Miwani walidhani hawataonekana katika zile kamera za ofisini kwa huyu jamaa. Hawa wanaokwenda kwa kunyemelea ndio wa kuwaangalia sio Zitto ambaye hajawahi kuficha/kujificha anapoongea na Rostam. Hivi ulichwahi kumsikia Mbowe akisema kitu kuhusu EPA, RICHMOND or Dowans isipokuwa mara moja tu aliporopoka kule Moshi na baada ya kupewa ujumbe kupitia Mpambe/Dereva wake akakimbia mbio Dar kuomba amani....Hivi umewahi kuona Tanzania Daima ikimshambulia Rostam ama Lowassa zaidi ya kuwahalalisha?

Zitto ni mwanasiasa asiyependa kufuata upeopo ama siasa za ukasuku. Daima huchagua issue tofauti na zile maarufu ambazo MASIHA feki huzikimbilia. Ni mwanasiasa mwenye uthubutu wa kukaa na kuongea na adui huku kila mtu akiona na sio wale wanaoita fulani adui lakini baadae wanakutana mafichoni......Na kwa mageuzi ya kweli tunahitaji wanasiasa wa aina hii na sio mafisi wanaolazimisha kuvaa ngozi za kondoo hata kama zinawabana na kuacha wazi sehemu nyeti......
PERSONAL ATTACKS HIZO!
zitto hana hizo sifa ulizomwaga hapo juu!
connection yake na hao wahujumu uchumi ni kubwa mno,na inajenga hofu kwa kila mtu.

naomba umuulize huyo mh zitto ALIKUWA ANAONGEA NINI KWA SIMU NA MTATIRO JULIUS kipindi cha kampeni?
 
Unasema kweli na Zitto mwanasiasa wa kuona mbali sio hawa surviverist wake ambao wanajidanganya wakivaa Capelo na Miwani walidhani hawataonekana katika zile kamera za ofisini kwa huyu jamaa. Hawa wanaokwenda kwa kunyemelea ndio wa kuwaangalia sio Zitto ambaye hajawahi kuficha/kujificha anapoongea na Rostam. Hivi ulichwahi kumsikia Mbowe akisema kitu kuhusu EPA, RICHMOND or Dowans isipokuwa mara moja tu aliporopoka kule Moshi na baada ya kupewa ujumbe kupitia Mpambe/Dereva wake akakimbia mbio Dar kuomba amani....Hivi umewahi kuona Tanzania Daima ikimshambulia Rostam ama Lowassa zaidi ya kuwahalalisha?

Zitto ni mwanasiasa asiyependa kufuata upeopo ama siasa za ukasuku. Daima huchagua issue tofauti na zile maarufu ambazo MASIHA feki huzikimbilia. Ni mwanasiasa mwenye uthubutu wa kukaa na kuongea na adui huku kila mtu akiona na sio wale wanaoita fulani adui lakini baadae wanakutana mafichoni......Na kwa mageuzi ya kweli tunahitaji wanasiasa wa aina hii na sio mafisi wanaolazimisha kuvaa ngozi za kondoo hata kama zinawabana na kuacha wazi sehemu nyeti......
basi ungeandika hivi sio post yako ya kejeli na dharau kama vile wewe ati ni mkamilifu na mkuaji kuliko wenzako

soma signature yako halafu uone arrogance iliyochanganyika na upupu mawazoni mwako

Hakuna asiyepinga kwamba zitto ni visionary.. but remember even hitler was visionary... sooo visionary that he strengthened german by killing millions of jews
 
Nimeongea na Zitto anasema alikuwa akiwasiliana na Rostam kumtuliza asidai mamilioni yake aliyompa Mbowe katika uchaguzi wa 2005 na ule wa Tarime (by election) baada ya kugundua kuwa Mbowe amekuwa akidai hizo ni fedha zake na kulazimisha CHADEMA wamlipe kutoka katika ruzuku.........Inakutosha hiyo ama unahitaji nyingine.....
WE KIMYA.................... KAMA HUNA DATA ZA KUTOSHA,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,ANdika mawazo yako sio blabla hata mtoto anajua huo uongo,weka data
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom