Zimbabwe Election: Progress & Results

Zimbabwe Election: Progress & Results

I just realised Mugabe na Nyerere wametofautiana kuzaliwa miaka miwili.

Kibabu kinataka u-Ngwazi tu!


Ni furaha kwa wapenda democracy popote duniani. Sasa bado mafisadi wa CCM. Watanzania kazi kwetu mwaka 2010 nia ya kuwaondoa CCM madarakani tunayo, sababu tunazo na uwezo pia tunao.

Mungu ibariki Tanzania
 
Nyie wote hamjui. Matokeo yametoka na Tsvangirai ameshashinda urais na Mugabe kakubali kupewa ubalozi. Atakuwa balozi wa Zimbabwe nchini Iraq. Anaondoka leo jioni kuelekea huko.

Nina evidence ya gazeti kuhusu habari hiyo hapo juu niwawekee?
 
Kung'olewa kwa Mugabe.
Maana yake,sisi Watanzania siku zote tuna kubali wenyewe kwa moyo mmoja kutawaliwa na chama cha wezi CCM.

Iweje watu hawa walio chakazwa na kunyang'anywa matumaini yote na utawala wa Mugabe wanatushinda sisi Watanzania, tunaokula viporo vya Ugali wa muhogo na mchunga na kushiba, kukiondoa chama dharimu madarakani?

Siamini kwamba fedha za wizi za CCM ndiyo sababu pekee ya kuendelea kuwepo madarakani ulegevu wetu,utepetevu wetu na hamu yetu ya kujenga matumaini hewa vinachangia kwa sana.

Naamini sababu kubwa ni ulegevu wetu wananchi wenyewe, hasa pale tunadhanipo kwamba CCM ni wateule wa Mungu, na yote wayafanyayo ni bora kuliko utaratibu mwingine wowote duniani.
Hasa pale tunapoamini kwamba kwa sababu waasisis wa Uhuru wa nchi chama chao ni CCM basi chama hicho kina mamlaka ya kutenda udharimu wowote na sisi wananchi ni kundi la watazamaji tu.

CCM ni cham Kengeufu.
CCM ni chama kinacho kula matapishi yake chenyewe na matapishi ya Sir Richard Turnbull.
Kitendo cha watendaji wa CCM kukosa uzalendo na kuurudisha ukoloni Tanzania ni sawa na kula Matapishi yake.
CCM kiliweza kupigana vita ya Uhuru wa Bendera.
CCM kimeshindwa kupigana vita ya Uhuru wa Kiuchumi kwa hiyo si chama cha kukienzi tena.
CCM inabidi kikalishwa Benchi moja na KANU,ZANU na marehemu wengine wa kisiasa.

CCM wanatutia utumwani kama alivyofanya Karl Peters.
Kungekuwa na afadhari kidogo iwapo CCM wangetuibia BOT tu, kitendo chao cha kuingia mikataba ya kututia utumwani kwa mara ya pili ni kitendo ambacho sisi watanzania kamwe hatuwezi kubeba gharama yake.
Huu ni muda wetu watanzania wa kuwabebesha CCM gharama za maovu yao yatakayo walemea hadi kuzimu.

Kundi la watu ndani ya taifa lenye mawazo ya kutajirika kwa kuuza umiriki wa utajiri wa nchi kwa wageni, ni kundi la mahabithi, watumwa wa mawazo na watu wasio kuwa huru, ni kundi la watu wanao jali Uhuru wa Bendera tu.

Hatuwezi kuendelea kulikumbatia kundi la Maharamia wa CCM.

CCM ni kizuizi namba moja cha maendeleo ya Tanzania.

CCM ni lazima ing'olewe madarakani kwa gharama yeyote ile kwa Faida na maendeleo ya Tanzania na Watanzania wote.
 
Nyie wote hamjui. Matokeo yametoka na Tsvangirai ameshashinda urais na Mugabe kakubali kupewa ubalozi. Atakuwa balozi wa Zimbabwe nchini Iraq. Anaondoka leo jioni kuelekea huko.

Nina evidence ya gazeti kuhusu habari hiyo hapo juu niwawekee?


Umechelewa,

We unamjua Bob Mugs wewe?

Waulize watu wa Four Flats pale Upanga kwa baba Tayabali alikotokea na wakimbizi wenzake, ki beetle kikuuubwa.Leo eti anatisha dunia.
 
Zimbabwe's elections commission tried to calm growing disquiet Tuesday at the delay in announcing results from the country's presidential election amid warnings the country could lurch into anarchy.

While a trickle of results from a simultaneous parliamentary contest gave the opposition a slight lead over President Robert Mugabe's ruling party, there was still no word on the presidential election three days after polls closed.

A European diplomatic source meanwhile said it was understood talks had already begun between some of Mugabe's aides and the opposition although it was not clear the negotiations were sanctioned by Mugabe.

Desperate for an end to the logjam, prominent civic organisations petitioned African diplomats to use their influence to force authorities to start releasing figures.

But the election commission insisted more time was needed.

"We would like to urge the nation to remain patient as we go through this meticulous verification process," chief elections officer Lovemore Sekeramayi said in a statement.

So far the commission has announced the results of 140 of the 210 parliamentary seats, with the opposition Movement for Democratic Change on 72, slightly ahead of Mugabe's ZANU-PF with 68.

The release of a further batch of parliamentary results did not manage to deflect the growing frustration over the delay to the main presidential contest which the MDC believes its leader Morgan Tsvangirai has won.-AFP
 
Ni kweli, lakini nadhani watakuja na sababu ya kujiuzulu ambayo yaweza kuwa "Mugabe kashinda, lakini kutokana na changamoto za nchi hayuko tayari kuendelea hasa kutoa nafasi kwa viongozi wapya kuchukua nchi".. au kuwa matokeo yatakuwa karibu karibu kiasi kwamba kulazimisha uchaguzi wa kurudiwa kutafuta mshindi lakini Comrade Mugabe ameamua kukaa pembeni ili kuipeshia nchi wasiwasi zaidi.

Kimsingi ni kumfanya aondoke lakini abakie shujaa..
 
Kung'olewa kwa Mugabe.
Maana yake,sisi Watanzania siku zote tuna kubali wenyewe kwa moyo mmoja kutawaliwa na chama cha wezi CCM.

Iweje watu hawa walio chakazwa na kunyang'anywa matumaini yote na utawala wa Mugabe wanatushinda sisi Watanzania, tunaokula viporo vya Ugali wa muhogo na mchunga na kushiba, kukiondoa chama dharimu madarakani?

Siamini kwamba fedha za wizi za CCM ndiyo sababu pekee ya kuendelea kuwepo madarakani ulegevu wetu,utepetevu wetu na hamu yetu ya kujenga matumaini hewa vinachangia kwa sana.

Naamini sababu kubwa ni ulegevu wetu wananchi wenyewe, hasa pale tunadhanipo kwamba CCM ni wateule wa Mungu, na yote wayafanyayo ni bora kuliko utaratibu mwingine wowote duniani.
Hasa pale tunapoamini kwamba kwa sababu waasisis wa Uhuru wa nchi chama chao ni CCM basi chama hicho kina mamlaka ya kutenda udharimu wowote na sisi wananchi ni kundi la watazamaji tu.

CCM ni cham Kengeufu.
CCM ni chama kinacho kula matapishi yake chenyewe na matapishi ya Sir Richard Turnbull.
Kitendo cha watendaji wa CCM kukosa uzalendo na kuurudisha ukoloni Tanzania ni sawa na kula Matapishi yake.
CCM kiliweza kupigana vita ya Uhuru wa Bendera.
CCM kimeshindwa kupigana vita ya Uhuru wa Kiuchumi kwa hiyo si chama cha kukienzi tena.
CCM inabidi kikalishwa Benchi moja na KANU,ZANU na marehemu wengine wa kisiasa.

CCM wanatutia utumwani kama alivyofanya Karl Peters.
Kungekuwa na afadhari kidogo iwapo CCM wangetuibia BOT tu, kitendo chao cha kuingia mikataba ya kututia utumwani kwa mara ya pili ni kitendo ambacho sisi watanzania kamwe hatuwezi kubeba gharama yake.
Huu ni muda wetu watanzania wa kuwabebesha CCM gharama za maovu yao yatakayo walemea hadi kuzimu.

Kundi la watu ndani ya taifa lenye mawazo ya kutajirika kwa kuuza umiriki wa utajiri wa nchi kwa wageni, ni kundi la mahabithi, watumwa wa mawazo na watu wasio kuwa huru, ni kundi la watu wanao jali Uhuru wa Bendera tu.

Hatuwezi kuendelea kulikumbatia kundi la Maharamia wa CCM.

CCM ni kizuizi namba moja cha maendeleo ya Tanzania.

CCM ni lazima ing'olewe madarakani kwa gharama yeyote ile kwa Faida na maendeleo ya Tanzania na Watanzania wote.

Uh ohooo....wewe unataka vita na Mwanakijiji....Nyerere alisema Tanzania bila CCM itayumba....Mwanakijiji naye anakubaliana naye (whatever his reasons, interpretations, conjectures, and/ or philosophies are...)
 
Iweje watu hawa walio chakazwa na kunyang'anywa matumaini yote na utawala wa Mugabe wanatushinda sisi Watanzania, tunaokula viporo vya Ugali wa muhogo na mchunga na kushiba, kukiondoa chama dharimu madarakani?

Hii ndiyo sababu yenyewe.Mshairi wa kale Juvenal alisema ukitaka kuwatawala watu wape mkate kidogo na sarakasi nyingi.

Tanzania tuna mkate kidogo (kidogo) watu hakuna inflation ya 100,000% na unaweza kunywa vibia viwili vitatu ukiwa mjanja kidogo, au kuuza vimitumba, au kulima nyanya, au kuchimba vidini, mradi viongozi hawajakata dili kabisa ile kuondolea watu matumaini.

Alichokosea Mugabe alikomba kabisa, akasababisha economic collapse.Hata CCM ikitufikisha hapo tutawatoa.

Inawezekana kabisa figures za upinzani ziko sahihi na Mugabe kaangushwa vibaya vibaya tu, kwani sasa mpaka vijijini waya mkali.
 
Uh ohooo....wewe unataka vita na Mwanakijiji....Nyerere alisema Tanzania bila CCM itayumba....Mwanakijiji naye anakubaliana naye (whatever his reasons, interpretations, conjectures, and/ or philosophies are...)

Hapana.. Nyerere hakusema "Tanzania bila CCM itayumba"...!
 
ZIMBABWE OYEEEEEE!!! (kama wanajua kiswahili)

Whether Morgan ni kibaraka au vipi nadhani umefika wakati wa kufanya mabadiliko, tena makubwa, nchini Zimbabwe. wananchi kule wanaishi masiaha ya taabu sana. Ni afadhali Mugabe ameuona mwanga na kukubali kuwa sehemu ya mabadiliko hayo. Ninaomba yasije yakageuka mambo haya ikatokea kama kenya kuwa at the end of the day, aliyekuwa anaonekana anashindwa ndiye akatangazwa mshindi. Mungu Ibariki Zimbabwe

Hata kama Morgan ni kibaraka mi naona shwari tu. Naomba mungu atupe nasi kibaraka mmoja wa aina hiyo ili tuwang'oe mafisadi.MABADILIKO MUHIMU BWANA, WATU WATAJAJIFANANISHA NA MUNGU BURE, MUNGU THE ALMIGHTY, siyo miungu wa ajabu ajabu. Kwa sababu mpaka sasa hivi washajifanya miungu, wanaona rasilimali zote za bongo zao. We utachukuaje mapesa yote hayo kama haufikiri kuwa ni yako? Matokeo yakitangazwa rasmi na mugabe akawa amepigwa chini naandaa party, nitawaalika washikaji msikonde.
 
Ona sasa wamefanya muafaka na Bob Mugabe ataachwa a-enjoy maisha yake yaliyobakia kwa heshima na priviledge zote wakati angetakiwa afunguliwe mashitaka ya kuhujumu uchumi na kula rushwa, kukiuka katiba ya nchi, na attrocities nyingine. Zimbabweans wame suffer more than enough and I am so glad to see him gone.
 
Ona sasa wamefanya muafaka na Bob Mugabe ataachwa a-enjoy maisha yake yaliyobakia kwa heshima na priviledge zote wakati angetakiwa afunguliwe mashitaka ya kuhujumu uchumi na kula rushwa, kukiuka katiba ya nchi, na attrocities nyingine. Zimbabweans wame suffer more than enough and I am so glad to see him gone.

Morgan anataka kwanza aukwae ukubwa .Baada ya hapo naamin watu watafungua kesi na hapo Mugabe ataenda na maji.Zimb ina wajuaji bwana .Kama huamini ngoja utaona .Hatua hii ya sasa hata mjinga lazima akubali ila najua kuna ksi dhidi ya Mugabe .
 
MDC leader live on SKY news now on taped video.
 
I just realised Mugabe na Nyerere wametofautiana kuzaliwa miaka miwili.

Kibabu kinataka u-Ngwazi tu!

Hahahaha...that was very funny.
Yaani Nyerer is turning in his grave wondering
mbona jamaa hawajibandui uongozini!!!!
 
He did not confirm about the talks but said their party will wait for the Electoral Commisssion to tally the votes and compare with theirs. There is no hurry as Zimbabweans has suffered a lot and they can wait another day to finalise the results.

He promised that there is no any short cuts as the people of Zimbabwe have spoken loud and clear.
 
Back
Top Bottom