Kwa mantiki hiyo Rais Samia anasema, Kikwete aliwaburuza wananchi alipoanzisha mchakato wa Katiba mpya bila kuwapa elimu ya Katiba

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Kuhusu Katiba Mpya tunaanza na Elimu Watanzania waijue, unaanzaje kumwambia Mtu akupe maoni yake kitu hakijui. Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza Watu, tunachokisema sisi Watu wote wafuate, tunageuza Watu makasuku”.

Kamati ya Warioba ilizunguka nchi nzima kutoa elimu ya Katiba na baadae kukusanya maoni yao, hiyo haikuwa elimu tosha au kuna elimu nyingine anayoitaka Rais Samia ambayo sisi wananchi, Kikwete na Warioba hatuijui?

Kati ya Kikwete, Warioba na yeye nani anawageuza watu mazuzu.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Kuhusu Katiba Mpya tunaanza na Elimu Watanzania waijue, unaanzaje kumwambia Mtu akupe maoni yake kitu hakijui. Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza Watu, tunachokisema sisi Watu wote wafuate, tunageuza Watu makasuku”.

Kamati ya Warioba ilizunguka nchi nzima kutoa elimu ya Katiba na baadae kukusanya maoni yao, hiyo haikuwa elimu tosha au kuna elimu nyingine anayoitaka Rais Samia ambayo sisi wananchi, Kikwete na Warioba hatuijui?

Kati ya Kikwete, Warioba na yeye nani anawageuza watu mazuzu.
Na Kwa maana ingine sa100 alipokuwa mkt Bunge la Katiba alikuwa hajui anafanya nini pale!!
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Kuhusu Katiba Mpya tunaanza na Elimu Watanzania waijue, unaanzaje kumwambia Mtu akupe maoni yake kitu hakijui. Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza Watu, tunachokisema sisi Watu wote wafuate, tunageuza Watu makasuku”.

Kamati ya Warioba ilizunguka nchi nzima kutoa elimu ya Katiba na baadae kukusanya maoni yao, hiyo haikuwa elimu tosha au kuna elimu nyingine anayoitaka Rais Samia ambayo sisi wananchi, Kikwete na Warioba hatuijui?

Kati ya Kikwete, Warioba na yeye nani anawageuza watu mazuzu.
siasa inahitaji uwe na hekima sana na uchunge kauli zako. Unaweza ukadhani unawatukana wapinzani wako kumbe unajitukana wewe mwenyewe.
-Aliyeanzisha mchakato wa katiba mpya ni ccm na wakajazana wanaccm vijana na wastaafu wazee
-Aliyeratibu ukusanyaji wa maoni na uchapishaji wa maoni na rasimu ya awali (ya Warioba) ni ccm wenyewe
-Aliyepanga, kuratibu na kufadhili bunge la katiba ni serikali ya ccm wenyewe chini ya rais jk mwenyekiti wa ccm na wakajazana wanaccm wengi
-Aliyekuwa spika wa bunge la katiba alikuwa mwanaccm

Aliyekuwa naibu spika wa bunge la katiba ni mwanaccm ambaye sasa ndiye Rais na mwenyekiti wa ccm. Na sasa kwa matamshi yake ni kama mchakato wa katiba ulianzishwa, ukafadhiliwa, ukaratibiwa na kusimamiwa na CHADEMA na anaonyesha kama vile hakuhusika kwa namna yo yote ile.

Awe muungwana basi aseme tu kuwa jk na ccm waliwaburuza wananchi.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Kuhusu Katiba Mpya tunaanza na Elimu Watanzania waijue, unaanzaje kumwambia Mtu akupe maoni yake kitu hakijui. Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza Watu, tunachokisema sisi Watu wote wafuate, tunageuza Watu makasuku”.

Kamati ya Warioba ilizunguka nchi nzima kutoa elimu ya Katiba na baadae kukusanya maoni yao, hiyo haikuwa elimu tosha au kuna elimu nyingine anayoitaka Rais Samia ambayo sisi wananchi, Kikwete na Warioba hatuijui?

Kati ya Kikwete, Warioba na yeye nani anawageuza watu mazuzu.
Maza anasumbuliwa na Homa ya 2025. Hii ni kwa sababu mbinu za kupika kura zinazifi kuwaishia. Safari hii hawatawrza kutumia mbinu za JPM na Mahela. Na mbinu zilixotumika wakati wa JK zimepitwa na wakati... Jana alionekana akiongea kwa hasira. Nafikiri Chadema wameanza kumpatia. Washikilie hapo hapo.
 
Samia 1977 Watanzania walipewa elimu kuhusu katiba. Dawa ni kususia uchaguzi mkuu wafanye watakavyo wao.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Kuhusu Katiba Mpya tunaanza na Elimu Watanzania waijue, unaanzaje kumwambia Mtu akupe maoni yake kitu hakijui. Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza Watu, tunachokisema sisi Watu wote wafuate, tunageuza Watu makasuku”.

Kamati ya Warioba ilizunguka nchi nzima kutoa elimu ya Katiba na baadae kukusanya maoni yao, hiyo haikuwa elimu tosha au kuna elimu nyingine anayoitaka Rais Samia ambayo sisi wananchi, Kikwete na Warioba hatuijui?

Kati ya Kikwete, Warioba na yeye nani anawageuza watu mazuzu.
Kiukwel elimu inaitajika,, lakin kama ambavyo amesema elim kwanz ni lazima hyo elim inachukua mpka mda wake uishe wa uongozi na ajaye pia hawezi sizani kama ataweza kutilia maanan juu ya katiba mpya
 
Kwani hii katiba ya sasa ambayo inatumika kuna watanzania walitoa maoni au walipewa elimu, vyovyote iwavyo wanasiasa ni watu na chama cha siasa niwatu, dini ni imani zawatu na viongozi wadini wanaongoza watu hivyo kama unataka kupeleka elimu au ujumbe kwa wananchi wanapatikana wakiwa na vyama vyao,dini zao kazi zao namaeneo mengine, ukilikataa kanisa,msikiti au chama cha siasa umewakataa watu waliopo ndani ya taasisisi hizo ambazo zipo kwa mujibu wa katiba kama walivyo viongozi kwa mujibu wa katiba, ukisema wananchi ndowenye katiba maana yake umewajumuisha wananchi wenye vyama mbalimbali, wana nchi wenye dini mbali mbali na wale wasio na dini wala vyama, ukiona chama kinadai katiba au haki ndani ya Taifa Lao ujue nikundi lawananchi lililoamini kudai maendeleo ya nchi yao kupitia hicho chama, wanasiasa ni wananchi katiba inawahusu ndomana wanapewa haki yakuongoza Taifa kupitia siasa
 
Alafu akawa kiongozi kwenye ile baraza...uongozi ulevya.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Kuhusu Katiba Mpya tunaanza na Elimu Watanzania waijue, unaanzaje kumwambia Mtu akupe maoni yake kitu hakijui. Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza Watu, tunachokisema sisi Watu wote wafuate, tunageuza Watu makasuku”.

Kamati ya Warioba ilizunguka nchi nzima kutoa elimu ya Katiba na baadae kukusanya maoni yao, hiyo haikuwa elimu tosha au kuna elimu nyingine anayoitaka Rais Samia ambayo sisi wananchi, Kikwete na Warioba hatuijui?

Kati ya Kikwete, Warioba na yeye nani anawageuza watu mazuzu.
Msameheni mama ndugu zangu. Huu moto anaopelekewa kwa miezi hii michache umemchanganya. Hajui cha kusema ili mradi kunakucha.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Kuhusu Katiba Mpya tunaanza na Elimu Watanzania waijue, unaanzaje kumwambia Mtu akupe maoni yake kitu hakijui. Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza Watu, tunachokisema sisi Watu wote wafuate, tunageuza Watu makasuku”.

Kamati ya Warioba ilizunguka nchi nzima kutoa elimu ya Katiba na baadae kukusanya maoni yao, hiyo haikuwa elimu tosha au kuna elimu nyingine anayoitaka Rais Samia ambayo sisi wananchi, Kikwete na Warioba hatuijui?

Kati ya Kikwete, Warioba na yeye nani anawageuza watu mazuzu.
TUME YA JAJI WARIOBA ILIYOTEULIWA NA JK ILIFANYA KAZI KUBWA SANA YA KUWAELIMISHA WANANCHI NCHI NZIMA KWA KUGAWA NAKALA ZAKATIBA NA KUGAWA PIA VIPEPERUSHI ILI KUTOA ELIMU KWA WANANCHI
CCM HAITAKI KATIBA MPYA
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema “Kuhusu Katiba Mpya tunaanza na Elimu Watanzania waijue, unaanzaje kumwambia Mtu akupe maoni yake kitu hakijui. Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza Watu, tunachokisema sisi Watu wote wafuate, tunageuza Watu makasuku”.

Kamati ya Warioba ilizunguka nchi nzima kutoa elimu ya Katiba na baadae kukusanya maoni yao, hiyo haikuwa elimu tosha au kuna elimu nyingine anayoitaka Rais Samia ambayo sisi wananchi, Kikwete na Warioba hatuijui?

Kati ya Kikwete, Warioba na yeye nani anawageuza watu mazuzu.
Ndio maana iliishia njiani Kwa sababu hakukuwa na muafaka wa Kitaifa,mambo Yale hayatakiwi kurudiwa.
 
Back
Top Bottom