if ur missing zeutamu NN futili mbali hii thread na uombe radhi
hey palWewe tatizo la zeutamu ni lipi? msifate mkumbo mtajalia tena 2010.....yaani bado tu unampongeza mzushi nyani ngabu kwa tetesi? ama kweli watz tangu 18 mpaka leo ni tetesi bwahahahaha
WEEE NA ZE UTAMU WOTE UKONGA INAWASUBIRI nakushauri utengeneze chupi ya chuma na kufuli lake funguo acha nyumbaniiiii mpaka ukimaliza kutumikia kifungo ndio ukafungulie home coz vinginevyoo babuu wanyapara wata.........................waliotoa thanks woote hapo juu hamnazo kama wewe.......wanatoa thanks kwa tetesi iliyodumu kwa wiki zaidi ya 2? tetesi gani isiyokuwa kweli wiki zoote hizo?....
hao followers wako yaani hamnazo kweli yaani bado wako wame stay tuned bwahahahaha wanasubiri uwape update.......
wanyapara wata.........................
nimuombe msamaha nani kwa lipi? taja hapo juu tusi nini? chupi ya chuma au wanyapara? au kufuli? hayo ndo ya zitto bungeni akisema yeye oooh abusive language wakisema wengine mnachekelea hahahhahahahha........agika hilo ni tusi na kumdhalilisha mwenzako hatupendi mambo haya katika jf tafadhali edit maneno yako au futa kisha mwombe yo yo msamaha kwa matusi hayo ya rejareja
Hivi hii kitu bado ni tetesi?
nionyeshe wapi nilipolalama zeutamu kufungiwa?hey pal
mbona unalalama sana kufungiwa ze utamu???
bwahahahaha ati privacy? bwahahaha yaani mkuu u wise wako uu wapi? mtu kapiga picha za nyuchi kuna privacy hapo? kama hakutaka zionekana asingepiga basi........picha kama zile za nsia mpaka mwanakijiji alipagawa kapiga simu saana MZ.....ofcourse napinga harakati za kuchafua privace za watu hususani kiongozi wa kitaifa. hayo tuwaacwamarekani na wazungu wasio na asili.
b4 kwangu itakuwa nusu kwako.......babuu wanyapara wata.........................
Teh tehb4 kwangu itakuwa nusu kwako.......
sema kamanda watu wanataka kuharibu personality za watu........kama hiri ri NN lazima likamatwe rifunguliwe mashtaka....Teh teh
sema kamanda watu wanataka kuharibu personality za watu........kama hiri ri NN lazima likamatwe rifunguliwe mashtaka....
[ame=http://www.youtube.com/watch?v=Q7dyQ6-F6AY&feature=related]YouTube - Coming To America Barbershop II[/ame]You are too dumb...
nionyeshe wapi nilipolalama zeutamu kufungiwa?
bwahahahaha ati privacy? bwahahaha yaani mkuu u wise wako uu wapi? mtu kapiga picha za nyuchi kuna privacy hapo? kama hakutaka zionekana asingepiga basi........picha kama zile za nsia mpaka mwanakijiji alipagawa kapiga simu saana MZ.....