huo mtandao ulikuwa unatumika vibaya kwa mtu binafsi akiwa na chuki na mtu flani anatuma picha na kucomments mambo mabaya hata ya uongo chini yake ,huoni hiyo ni kuharibu muonekano wa mtu na kuingilia uhuru wake? japo wengine walikuwa kweli wanatabia hizo lakini ukweli ni kwamba its no body's business, kwa mfano wewe umejandika hapo kwenye status kwamba yo yo loves shoriz, tunajuaje labda unapenda mijimama ikuleee na kukuhudumia, labda unapenda vitoto vya shule kama babu seya, labda unapenda kuwamega na kuwadump mradi waingie kwenye list yako ya jump offs , but ma point is wat ever u r doing wid em shoriz its none of our damn business kapish?ubaya wa zeutamu ni upi? usiniambie nika google au unipe link....sema wewe ujuavyo ubaya wa zeutamu ni upi?