Ze Utamu blogger under arrest?

Ze Utamu blogger under arrest?

Status
Not open for further replies.
Court proceedings zitakuwa closed kwa media...

Pamoja na hayo. Defence lawyer will have a field dayna hizo picha! Hebu eleza mahakama hii picha inaonyesha nini? Pamoja na media kutoruhusiwa, bila shaka watakuwepo watu kibao ambao walikuwa hawajawahi kuziona hizo picha. Wote hawa watapata cha kusimulia.

Amandla.....
 
G'luv
G'luv has no status.
Junior Member Join Date: Wed May 2009
Posts: 3
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0

Credits: 6,560
karibu sana JF.
 
Kwanza naomba muondoe hizo thnks 46 so far mlizompa mzushi Nyani ngabu......
....huyu Nyani ngabu afunguliwe mashtaka kwa kumchafulia jina bwana malecela lusinde mtu makini toka familia inayoheshimika

......nikiwa kama mmoja wa rafiki mkubwa wa familia ya Malecela nalaani kwa nguvu zoote taarifa za kizushi alizoleta Nyani ngabu JF.....

NB:Na huu uzushi kwamba nilikuwa banned umetoka wapi?
 
Ushindwe na ulegee uwe mlegevu.....

Sasa na wewe ongeza thanks hapo zifikie 47
 
Ushindwe na ulegee uwe mlegevu.....

Sasa na wewe ongeza thanks hapo zifikie 47
Na haya mambo eti zeutamu ni mbaya nani kasema?
hey people just speak ur minds.....nani alikuwa haipendi zeutamu muwe wa wakweli tok moyoni mwenu.....zeutamu ni shujaa mfano wa kuigwa na kila mtu alimpenda kuweni wakweli.....

.....wengine mnataka kupata ujiko ati mlimuandikia email ya kumfundisha kazi zeutamu....kila mtu sasa anataka kutokea kwa zeutamu....aah ati nilimuonya ZEUTAMU umuonye kwa lipi baya aiseee?
 
Na haya mambo eti zeutamu ni mbaya nani kasema?
hey people just speak ur minds.....nani alikuwa haipendi zeutamu muwe wa wakweli tok moyoni mwenu.....zeutamu ni shujaa mfano wa kuigwa na kila mtu alimpenda kuweni wakweli.....

.....wengine mnataka kupata ujiko ati mlimuandikia email ya kumfundisha kazi zeutamu....kila mtu sasa anataka kutokea kwa zeutamu....aah ati nilimuonya ZEUTAMU umuonye kwa lipi baya aiseee?

ha ha ha..he he he..naona unatamani kurejea lupango weye..
 
....kila mtu sasa anataka kutokea kwa zeutamu....aah ati nilimuonya ZEUTAMU umuonye kwa lipi baya aiseee?
Haa haa haaa! Sasa huyo aiseee ni nani? Halafu kumbe ukiwa mule Keko unaweza kuchungulia kidogo? Nilidhani utahitaji muda kuyapitia mabandiko ili ujue kilichojiri, maana huwa nasikia tu kwamba watu wakitoka humo hata lugha inakuwa ni ya zamani hivi; kipindi walipokuwa huru 😀
 
ha ha ha..he he he..naona unatamani kurejea lupango weye..
arrrg watu wanataka kuchukua sifa kupitia zeutamu......wapi bana ati email ya kumfundisha kazi......alafu anakupa nyingine ati wametajwa woote waliokuwa wanatuma picha.....watu bana.....
 
arrrg watu wanataka kuchukua sifa kupitia zeutamu......wapi bana ati email ya kumfundisha kazi......alafu anakupa nyingine ati wametajwa woote waliokuwa wanatuma picha.....watu bana.....

Ok tuseme yote unayosema ni sahihi..swali linalonijia kichwani ni hivi kwanini umekuwa mkali sana na hii ishu ya zeutamu?
 
Kwanza naomba muondoe hizo thnks 46 so far

NB:Na huu uzushi kwamba nilikuwa banned umetoka wapi?
ha!ha!ha! Yo Yo karibu tena jamvini,habari ya selo mkuu? tuli kumiss sana.Naona umekuja na nguvu mpya ya kumsafisha jamaa yako teh teh teh.

NN ANZISHA THREAD YA KUMKARIBISHA YO YO
 
Ok tuseme yote unayosema ni sahihi..swali linalonijia kichwani ni hivi kwanini umekuwa mkali sana na hii ishu ya zeutamu?
unaujua ukali weye?
nasikiishwa na habari za kuzushiana JF......wewe mpemba una udhibitisho zeutamu ni peter malecela?...wekeni udhibitisho kuwa zeutamu ni mplusinde.....ndio maana nauita huu uzushi na muanzisha thread anafaa kushitakiwa kortini...
 
ha!ha!ha! Yo Yo karibu tena jamvini,habari ya selo mkuu? tuli kumiss sana.Naona umekuja na nguvu mpya ya kumsafisha jamaa yako teh teh teh.

NN ANZISHA THREAD YA KUMKARIBISHA YO YO
hapana mkuu sikuwa selo....iwas vacation kwa muda....
.....siwezi kusafisha kitu ambacho ni safi allready...zeutamu hana tatizo mpaka leo.....watu wanasema ati kaharibu kuweka picha sijui ya muungwana....
..ebo! nani kawaambia yule kwenye picha ni muungwana? nyie ndio mnatakiwa mshitakiwe kwa kumfananisha yule kwenye picha na muungwana....

......comments mnaandika wenyewe alafu mseme zutamu mbaya....picha mnatuma wenyewe alafu ati zutamu mbaya?
 
unaujua ukali weye?
nasikiishwa na habari za kuzushiana JF......wewe mpemba una udhibitisho zeutamu ni peter malecela?...wekeni udhibitisho kuwa zeutamu ni mplusinde.....ndio maana nauita huu uzushi na muanzisha thread anafaa kushitakiwa kortini...

Unataka kujua mtu aliyepagawa na ishu ya zeutamu? Chukua kioo halafu kiweke mbele yako..huyo unayemuona ndio mwenye kupagawa na ishu ya zeutamu.

BTW, mimi ni miongoni mwa walioamini, mambo yenu ya zeutamu nitayajulia wapi? Waulize wajuvi wenzako..
 
NN ANZISHA THREAD YA KUMKARIBISHA YO YO
Hakuna haja ya kujaza thread za kuwakaribisha watu ambao wapo. EL na Andrew walipokaribishwa kwa mbwembwe majimboni mwao baada ya kujiuzulu, watu humu JF walipiga kelele kuwa wananchi hao walifaidika na ufisadi ndo maana waliwapokea mafisadi kwa maandamano. Leo hii mtu anatoka ban eti aanzishiwe thread kumkaribisha!! Kumkaribisha maana yake ni kwamba alionewa, na kama alionewa umemwambia/umelalamika chochote kwa Mod?
 
Hakuna haja ya kujaza thread za kuwakaribisha watu ambao wapo. EL na Andrew walipokaribishwa kwa mbwembwe majimboni mwao baada ya kujiuzulu, watu humu JF walipiga kelele kuwa wananchi hao walifaidika na ufisadi ndo maana waliwapokea mafisadi kwa maandamano. Leo hii mtu anatoka ban eti aanzishiwe thread kumkaribisha!! Kumkaribisha maana yake ni kwamba alionewa, na kama alionewa umemwambia/umelalamika chochote kwa Mod?
dizaini utakua shori alafu umepigwa buti hivi karibuni sasa hasira unazileta JF....nani kakuambia nilikuwa banned?
 
dizaini utakua shori alafu umepigwa buti hivi karibuni sasa hasira unazileta JF....nani kakuambia nilikuwa banned?
coz bro if u were not ungeanza kuchangia hiii mada tangu day one ,maaana unaonekana una jazba na umekuja na ajenda moja tu ni kumsafisha ze utamu na umaluuuni wake. kuwa family friend ndio nini bana kama mie family friend wa Liyumba au balali basi nimteteee tu kwamba sio fisadi kisa ni mai furendi aaaagh hursh babuuu.
 
coz bro if u were not ungeanza kuchangia hiii mada tangu day one ,maaana unaonekana una jazba na umekuja na ajenda moja tu ni kumsafisha ze utamu na umaluuuni wake. kuwa family friend ndio nini bana kama mie family friend wa Liyumba au balali basi nimteteee tu kwamba sio fisadi kisa ni mai furendi aaaagh hursh babuuu.
ubaya wa zeutamu ni upi? usiniambie nika google au unipe link....sema wewe ujuavyo ubaya wa zeutamu ni upi?
 
Unataka kujua mtu aliyepagawa na ishu ya zeutamu? Chukua kioo halafu kiweke mbele yako..huyo unayemuona ndio mwenye kupagawa na ishu ya zeutamu.

BTW, mimi ni miongoni mwa walioamini, mambo yenu ya zeutamu nitayajulia wapi? Waulize wajuvi wenzako..
muulzie huyo invisible anaesema alimuandikia email zeutamu.....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom