KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
Kwani walioliwa hizo pesa hawapo? au huyo mwanamke aliyefumaniwa naye hayupo?
wamesema kwa niaba ya walioliwa ! kama watz walivyokuwa kimya juu ya mkataba!
Kwani walioliwa hizo pesa hawapo? au huyo mwanamke aliyefumaniwa naye hayupo?
Huyu Sekioni Kitojo ni yule aliye kuwa mtangazji wa RTD??
ukihangaika na wanachosema ze comedy utajikuta unataka Kada mpinzani ajieleze kama ni kweli ameolewa na Karamavi...
ze comedy wanadai kuwa kada ameolewa na Karamavi na wana mtoto mmoja anayekwenda kwa mccain kila wiki!...
next week watadai pia kuwa kada ameolewa na muuaji dito....
Mie sitojizibana tena na huyu mtoto !
HII IKAE KWENYE SIASA INGAWA ZE COMEDY NI BURUDANI
mpigie simu Meneja wa Ze Comedy Bwana Sekione Kitojo(Seki) kupitia 0787513633 kutoa jibu lako ama changia hoja yako hapa JF na kama unataka ujumbe umfikie mmiliki wa EATV bwana Reginald Mengi nitumie ujumbe kwenye ashabdala@yahoo.com
Asha
Asha
Kwa hiyo Sekioni atajwaye hapa si yule aliye kuwa mtangazaji wa RTD?
Kada
Hizo dotidoti kaa 12 ni za Morse Code au ni lugha ya siri?
Duh jamani hawa jamaa wanaitwa Ze comedy sasa mlitaka hasa wafanye nini wakati kazi yao ni mzaha!..Itakuwa kazi mpya maanake wameisha cheza sura tofauti..
Hili swala la Mafisadi naona atakuja kufa mtu!
Idd njema wana JF.