Zanzibar-Nyamwezi
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,244
- 766
Mfungo wa ajabu kwa sababu dhulma dhidi ya Wabara kama kawaida, pia TRA inahujumiwa kila kona ili pesa isende Bara, matakataka toka arabuni yote yanaingizwa bila kulipia kodi stahiki halafu yanasukumizwa Bara kwa kupitia njia za Wavuvi. Yaani full hujuma ya Uchumi wa Tanzania na lao wote moja. Amini usiamini.