Hakuna mkristo anaefunga huku kwaresmaUhuru wa kuabudu uheshimiwe..kuvumilia imani na taratibu za mwingine ni jambo la msingi. Kumlazimisha asile hadharani ni udhaifu..
Kwani waislamu wote mnafunga mwezi wa Ramadhani?Kwani kwaresma MNAFUNGA WAKRISTO WOTE.AU MADHEHEBU YOTE?
Hujanyimwa kula. kula kwa kujistiri siyo kula huku unatembea barabarani kama bata.Tunakokwenda mm sikujui ufunge ww ni sile mm, hapana kabisa
Na koka baridaaaaahMi ningekula mchana mweupe tena kitimoto na bia
Jamani walichokataza ni kula hadharani ,lakini ukiwa ndani ni ruksa,pale Maisara ukumbi wa CCM na ukumbi wa Magereza na hata hotel kubwa bado hutoa huduma za vyakula na hii sio kitu kipya kwa Zanzibar kipo tokea enzi za Karume tena siku hizi ni nafuu zaidi kuliko miaka ya nyuma,tutake au tusitake Zanzibar ni kama nchi ya Kiislamu ,90.9% ni waisalamu.
Jamani walichokataza ni kula hadharani ,lakini ukiwa ndani ni ruksa,pale Maisara ukumbi wa CCM na ukumbi wa Magereza na hata hotel kubwa bado hutoa huduma za vyakula na hii sio kitu kipya kwa Zanzibar kipo tokea enzi za Karume tena siku hizi ni nafuu zaidi kuliko miaka ya nyuma,tutake au tusitake Zanzibar ni kama nchi ya Kiislamu ,90.9% ni waisalamu.
Sasa we si uende tu ukale mchana, wakikumata ndio unawapa hizo hojaKwaio kama ni 90% wanawanyima wakristo uhuru kama ndo hivo watangaze serikali ya mapinduzi Ina dini.
Kaisome vizuri katiba ya JMT je utakuwa masuala ya katiba na sharia ni ya Muungano na je suala la dini ni la Muungano hamna kwenye katiba ya znz sehemu inayosema serikali haina dini..na huko kula mchana siyo wakiristo pekee yako znz kuna Hindu kibao tangu Enzi na Enzi na kuna waislam kibao ambao hawafungi lakini wote hao hawaruhusiwi kula mchana ni sawa na ukienda India ukila nyama ya ng'ombe hadharani. Kwa hivyo unaona umeenda kwenye ukiristo moja kwa mojaTANZANIA haina dini kwa taarfa yako, .......na zanzibar hawaish waislam pek yao, mambo gani ayo sasa, kula nile mmi wewe ikuume, nikikulingishia sawa lkn, nakul kwa manufaa angu af unamind, nyie vipi??
Utaratibu wa Kizanzibar lazima uheshimiwe
Mbali ya Sheria Na Taratibu utamaduni lazima uheshimiwe
Wengi wape kwani kufunga ni compulsory kiasi serikali iweke mkazo?? Je toka serikali ina dini au zanzibar sio Tanzania tena maana katiba inasema serikali haina dini ila wananchi wake ndio wana dini..... toka lini ssa serikali idhibiti dini za watu!!Lakini ni suala ambalo lipo wazi kabisa hata waziri mkuu mstaafu Pinda Kayanza aliwahi kulitolea ufafanuzi, zaidi ya 90% ya wakazi wote ni waislamu..so hapa tunatekeleza tu 'wengi wape'...sidhani kama ni udini!