AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 7,023
- 5,855
Zanzibar hawafungi Kwerezma, wanafunga Ramadhani tu, hiyo Kwerezma ni mambo ya Tanganyika.Nataka kujua kipindi kwa kwaresma mbona hawakutoa tamko hili.
Kwaio wakristo wawe wanajificha wakati wa chakula cha mchana.
Hapana naona kuna harufu ya udini kuanza Zanzibar.