Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Status
Not open for further replies.
Mkuu helewi nini?Wakristo na waislam ambao hawafungi hawajakatazwa kupika na kula. Wamekatazwa kupika na kula hadharani. Pika ndani kwako ila siyo umepanga mko wengi wewe umewasha jiko unakaanga wote wanasikia halafu useme upo kwako. hapo siyo kwako. Kuwa na nyumba yako ambayo haina maingiliano na wanaofunga kula hata ng'ombe mzima hakuna wa kukuuliza.
Mfano hapo unapoishi kuna watoto wadogo au wagonjwa ambao hawajafunga hawatakaangiza kisa eti ww utasikia harufu? Nonsense !!! .....Funga ni ww NA Mungu wako NA si kujionyesha machoni pa watu kama mufsnyavyo
 
Hku bara christmas ofisi zote za uma huwa zinapambwa na babu christmas na maandishi ya merry christmas wiki moja kabla Idd huoni hzo mbwembwe ila c tunakausha tu sababu tunajua kuna mambo madogo madogo ya kuvumiliana tu ss nashangaa nyie mnavyochonga chonga hp!
 
kama umelezimishwa wewe muislamu, asiye muislamu ambaye hakulazimishwa, akila chakula we inakuuma nini?
Tatizo hakuna Mkuu,ww ramadhani ikianza Nenda zenji Afu mchana tembea kitalii Na kikopo chako cha uhai me nakusubiria pale muhimbili mapokezi.
 
Waislamu walazimishwe wasilazimishwe haikuhusu. Angalia Kwaresma yako

Halafu nani kakuambia kufunga saumu ya ramadhani ni hiari? Hamjui kitu nyinyi.
Kenkereeenke...!

Kwani wanaozuiwa kula huko ni waislam tu au hata wakristo?
 
Yote hayo yaweza kuwa kweli, ila umeonyesha kutokutambua kuwa vyote ulivyo navyo, iwe akili, jasho, au huo ugali, basi utakuwa umevipata kwa kudra za Mwenyezi Mungu, na siyo kwa ujanja wako
natambua Mungu kanipa hewa na vingine nakula kwa jasho langu.
so siyo poa nikipangiwa maisha
 
Kilichoniacha hoi kwenye hilo tangazo ni kile kitendo cha kulazimisha waisilamu wote wafunge. Kama mtu anataka kufunga atafunga kwa hiari yake na sio kwa kulazimishwa. Inaonekana huko kufunga walio wengi hawatilii maanani ila ni mpaka itumike nguvu ya serekali kuhakikisha watu wanafunga. Sasa najiuliza ukikuta mtu anakula hadharani akipelekwa mahakamani anafungwa kwa sheria ipi, ya dini ama ya nchi?
Muislam wa kweli ikiwa c mgojwa funga ni lazima
 
Hilo si swala la muungano kwahyo Zanzibar wana Uhuru wao kama wote wamekubalianahvyo ww wa bara inakuhusu nn
 
Naamini wakristu huungana na waislamu katika mfungo. Ushahidi nenda bar na maeneo ya kitimoto, mauzo hushuka sana kipindi hicho.
 
Hapo serikali haiwezi kuingilia
Kisheria (legally) huwezi kumpangia mtu mahala pa kula alichovuna yeye
Kimaadili (ethically) unaweza kumzuia asile hadharani wakati wa mfungo
However,moral issues are not enforceable by law,labda mmtunge ila hakuna adhabu yeyote ya kisheria.
Asalam alleykhum!
NB:Baadhi yenu mna chuki sana,imani ni kuvumiliana.Hata hivyo dini zote zimekuja kwa meli au boti
 
Nchi yoyote huongozwa kwa katiba sheria tamaduni mila na desturi. Zanzibar tokea zamani ndivyo wanavyofanya tuwaachie waendelee na taratibu zao
 
Ndo Maana Cjawah Kufkiria Kuishi Znz, Nlipomaliza Form Six Nlipata Tempo Ambayo Nlipangiwa Zanzibar, Na kaz Yenyewe Ckuitaka Tena Nkaamua Kuunga2 Chuo.
 
Kilichoniacha hoi kwenye hilo tangazo ni kile kitendo cha kulazimisha waisilamu wote wafunge. Kama mtu anataka kufunga atafunga kwa hiari yake na sio kwa kulazimishwa. Inaonekana huko kufunga walio wengi hawatilii maanani ila ni mpaka itumike nguvu ya serekali kuhakikisha watu wanafunga. Sasa najiuliza ukikuta mtu anakula hadharani akipelekwa mahakamani anafungwa kwa sheria ipi, ya dini ama ya nchi?
ila kufuturu raha
0113.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom