MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,920
- 6,859
Tangu lini imani ikawa ya kulazimishana, kwani kuna mtu atamsindikiza mwenzie kwenye hukumu kama hizi sio sera za Islamic State?! Waislamu bwana!! Na pili Zanzibar kuna moja ya makanisa makubwa na kongwe zaidi hapa afrika mashariki ambacho ni kiashiria cha uwepo wa waumini wa kikristo hapo kisiwani, je hata wao wasile au wale kwa kificho kisa ni mwezi wa ramadhani?! Is this a case of Islamic fundamentalism as perpetrated by the Islamic State!