Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Zanzibar: Watakaokula mchana hadharani Ramadhani kukiona

Status
Not open for further replies.
Mi ningekula mchana mweupe tena kitimoto na bia
Mkuu huko kwenu mnaishi kama wanyama? wanaokula nje hadharani mimi naona ni mifugo kama mbuzi nk. Binadamu wana maeneo maalumu wanapika na kuweka chakula mezani na kukusanyika na kuanza kula. Mwenzetu unaishi pori gani?
 
Waislamu wawe na uvumulivu na wasio Waislamu. Mabavu sio njia sahihi. Wakristo pia wawe na uvumilivu na Waislamu katika kipindi chao cha mfungo.
 
Kilichoniacha hoi kwenye hilo tangazo ni kile kitendo cha kulazimisha waisilamu wote wafunge. Kama mtu anataka kufunga atafunga kwa hiari yake na sio kwa kulazimishwa. Inaonekana huko kufunga walio wengi hawatilii maanani ila ni mpaka itumike nguvu ya serekali kuhakikisha watu wanafunga. Sasa najiuliza ukikuta mtu anakula hadharani akipelekwa mahakamani anafungwa kwa sheria ipi, ya dini ama ya nchi?
Hilo swali la msingi sana, sijui watashitakiwa kwa sheria ipi.

Mudy aliwaingiza hawa watu chaka
 
K
Kilichoniacha hoi kwenye hilo tangazo ni kile kitendo cha kulazimisha waisilamu wote wafunge. Kama mtu anataka kufunga atafunga kwa hiari yake na sio kwa kulazimishwa. Inaonekana huko kufunga walio wengi hawatilii maanani ila ni mpaka itumike nguvu ya serekali kuhakikisha watu wanafunga. Sasa najiuliza ukikuta mtu anakula hadharani akipelekwa mahakamani anafungwa kwa sheria ipi, ya dini ama ya nchi?
Kaka usilete utani kule.Decree ya kutokula hadharani kule ipo.Adhabu utapelekwa trainning instute hadi siku wanafungua.Kama unataka kuthibitisha nenda na chupa yako ya maji uibugie bugie brbrn mchana utashangaa wanaokutia viganjani wametokea wapi. Zingatia kule huwezi nunua maji au soda dukani before futari.
 
Kuwa mvumilivu tu. Unadhani kila mtu anafurahishwa na kelele za adhana kutoka misikitini? Au kelele za kengele kutoka makanisani? Wengine ni wagonjwa hawapendi kelele lkn wanavumilia. Hii ndio demokrasia.
Huko ni kukosa uhuru.Kutangaza kwa umma kuwa ukikutwa unakula hadharani ni tabu.Fanyieni na muwabane hao wachache wa zanzibar tu ila mjue ni ukoloni wa kidini na hauvumiliki maana imani yako isiwe kero kwa wengine fanya kivyako tembea zako.
 
Baba wa taifa alilijua hili ndomana aliwaonea huruma akatuunganisha,hawa jamaa wangeachwaga hawa,kisiwa kile kingeshazamaga zamani..dunia ya leo unampangia mtu kula?daah
 
Kilichoniacha hoi kwenye hilo tangazo ni kile kitendo cha kulazimisha waisilamu wote wafunge. Kama mtu anataka kufunga atafunga kwa hiari yake na sio kwa kulazimishwa. Inaonekana huko kufunga walio wengi hawatilii maanani ila ni mpaka itumike nguvu ya serekali kuhakikisha watu wanafunga. Sasa najiuliza ukikuta mtu anakula hadharani akipelekwa mahakamani anafungwa kwa sheria ipi, ya dini ama ya nchi?
Serikali inajuwa si waislam wote wanafunga, na haijalazimisha kufunga kuwa mwelewa. KILICHOKATAZWA NI KULA HADHARANI KWENYE MWEZI HUU MTUKUFU. Kwani wewe unaweza kutembea na mkeo hadharani alimradi umemwoa kwa ndoa halali? Tafuta nyumba yako fakamia kitimoto chako huko ndani hakuna atakayekuja kupima tumbo lako kama umekula ama la. Halafu jioni unakaribishwa futari ya bure na unakula tena. Huu ndo ukarimu wa Wazanzibar.
 
Huko ni kukosa uhuru.Kutangaza kwa umma kuwa ukikutwa unakula hadharani ni tabu.Fanyieni na muwabane hao wachache wa zanzibar tu ila mjue ni ukoloni wa kidini na hauvumiliki maana imani yako isiwe kero kwa wengine fanya kivyako tembea zako.
Hakuna kero hapo
 
Kuwa mstaarbu heshimu imani za watu . Kama wewe umeona waislam tu mimi niko mkoa fulani hapa nilikataliwa kupanga nyumba eti sababu tu ya imani yangu tena chaajabu mmiliki wa nyumba ni kiongozi wa wanakondoo.
Wewe hukatazwi kula ulichoambiwa usile hadharani muda wa mchana
Hata huyo anayekufanyia hivyo anakosea sana

Lakini tizama in a wide picture...wakristo ndio ambao huwa wanaheshimu dini ya kiislam kuliko waislam wafanyavyo

Ukienda Uingereza ambapo asilimia zaidi ya 80 ni waanglican pamoja na Malkia walisikia ombi la waislam la kuwapa mahakama ya kadhi na inafanya kazi ndani ya nchi hiyo

Lakini Muingereza yeyote akienda Saudi Arabia, Yemen au UAE haruhusiwi hata kuabudu tu.

Kuna waislam wana roho mbaya kama majini.
 
Kilichoniacha hoi kwenye hilo tangazo ni kile kitendo cha kulazimisha waisilamu wote wafunge. Kama mtu anataka kufunga atafunga kwa hiari yake na sio kwa kulazimishwa. Inaonekana huko kufunga walio wengi hawatilii maanani ila ni mpaka itumike nguvu ya serekali kuhakikisha watu wanafunga. Sasa najiuliza ukikuta mtu anakula hadharani akipelekwa mahakamani anafungwa kwa sheria ipi, ya dini ama ya nchi?
Waislamu walazimishwe wasilazimishwe haikuhusu. Angalia Kwaresma yako

Halafu nani kakuambia kufunga saumu ya ramadhani ni hiari? Hamjui kitu nyinyi.
 
Huko Zanzibar ni wasio waislam wanataliwa kijeshi upende usipende lazimA usile,sisi wenye madonda ya tumbo c tutakufa?
 
Kilichoniacha hoi kwenye hilo tangazo ni kile kitendo cha kulazimisha waisilamu wote wafunge. Kama mtu anataka kufunga atafunga kwa hiari yake na sio kwa kulazimishwa. Inaonekana huko kufunga walio wengi hawatilii maanani ila ni mpaka itumike nguvu ya serekali kuhakikisha watu wanafunga. Sasa najiuliza ukikuta mtu anakula hadharani akipelekwa mahakamani anafungwa kwa sheria ipi, ya dini ama ya nchi?
Vitu vingine muwe mnauliza kwanza,Hii siyo kwaresma kwamba unafunga ikifika saa7 unakula...Sisi waislam tumelazimishwa Na Mungu muumbaji tufunge kama walivyofunga akina yesu Na wengine huko zamani.
 
wanabahati mi sipo huko
yaan ugali nimetafuta mimi, kwa jasho langu bila kusaidiwa na mtu, halafu wanipangie pa kula!!

yaan hilo kito hakina logic kabsa.
Kabla hujaenda tena. Jiandae kisaikolojia otherwise ugali huo wako utageuka madhara makubwa endapo utakaidi.
 
Vitu vingine muwe mnauliza kwanza,Hii siyo kwaresma kwamba unafunga ikifika saa7 unakula...Sisi waislam tumelazimishwa Na Mungu muumbaji tufunge kama walivyofunga akina yesu Na wengine huko zamani.

kama umelezimishwa wewe muislamu, asiye muislamu ambaye hakulazimishwa, akila chakula we inakuuma nini?
 
wanabahati mi sipo huko
yaan ugali nimetafuta mimi, kwa jasho langu bila kusaidiwa na mtu, halafu wanipangie pa kula!!

yaan hilo kito hakina logic kabsa.
Yote hayo yaweza kuwa kweli, ila umeonyesha kutokutambua kuwa vyote ulivyo navyo, iwe akili, jasho, au huo ugali, basi utakuwa umevipata kwa kudra za Mwenyezi Mungu, na siyo kwa ujanja wako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom