Yupo wapi siku hizi Aggrey Marealle?

Yupo wapi siku hizi Aggrey Marealle?

Ulipiga wee, mmmh, Lol.
😂😂😂😂😂
Hamna allitambaa na vijana wenzie wakishua ka 10 hivi after party ghorofani huko juu kwake,😁😅😅😅
Coca miaka hiyo ya 90 ulikua labda nussery school huko Songea.
wale sijui km walitoka salama.
Ule mjumba wenyewe,dah watu wana hela aisee
 
Nadhani ndio huyo, jina lake aliitwa Kibo Marealle.
Huyu Kibo alihamia Mbezi beach, opposite na Jangwani Sea Breeze kuna jumba moja hivi lina garden kubwa, pamoja na mambo yao ya upinde alipata watoto wawili nadhani, Mkubwa akiwa Christine Marealle wanaishi Marekani

Mshua wao alikuwa na kashfa Mbezi beach pale anawalipa mateja na wakojani wakati ule wamshughulikie
 
Huyu Kibo alihamia Mbezi beach, opposite na Jangwani Sea Breeze kuna jumba moja hivi lina garden kubwa, pamoja na mambo yao ya upinde alipata watoto wawili nadhani, Mkubwa akiwa Christine Marealle wanaishi Marekani

Mshua wao alikuwa na kashfa Mbezi beach pale anawalipa mateja na wakojani wakati ule wamshughulikie
Ndio huyo. Alikuwa ana kiwanda/kampuni ya pharmaceuticals.
 
Kuna kibao alitajwa na mtoto wa dandu nilikua najiuliza sana ni nani afadhali wahenga mmefafanua kidogo
 
Back
Top Bottom