Ndugu tusiwainguze Wapemba kwenye hili swala tukumbuke zilizotumika ktk chaguzi hizi mbili yaani 2015 -2018 ni kodi zetu kwa hiyo watu wanaokosa huduma kisa cha wenye tamaa majibu yao hutokana na maamuzi ya muhusikaHumuoni Komando baada ya kudhukumu ushindi wa CUF amekuwa kipofu
Hizi habari ni za kweli au ni propaganda tu za mitandao? Naomba kujua ukweliAnavaa Always kama sisi dada zake na anacheka mwenyewe
Ataapishwa na makopo yake anàyookota majalalani?Mkuu ataapishwa bunge lijalo la April,uwe mpole
Hizi habari ni za kweli au ni propaganda tu za mitandao? Naomba kujua ukweli
Kufanyiwa maombi kunaendana na confession /kukiri na kutubu.Sasa CCM wako tayari kwa hilo?Rejea Sakata la Boss wao na Bishop Kakobe.Neno"Kutubu" ni msamiati mgumu sana kawa hawa watu!Sawa pamoja na kwamba yupo huko ccm baada ya kutusaliti wananchi ni vema akafanyiwa maombi ili awe sober.
Mlikuwa mbapeana malavidavi?Acheni uzushi jamani mbona nilikuwa naye Leo?
Aiseee !!!!MTULIA KAPIGIWA KIPAIPAI. YUPO RUFIJI KWA MASANGOMA. KAWA CHIZI. MBAYA ZAIDI INASEMEKANA YUPO MWEZINI,BREEDING KWA NYUMA. HIVYO ombi mpelekeeni pampasi na Pedi atawashukuru mno.
Anavaa Always kama sisi dada zake na anacheka mwenyewe
we mdada weweeeYuko kwenye deiz zake.Nasikia yuko moon full time mazee!!
Thijui kweliiiiiii maana hizo ni zile nyepesi nyepesi
Weeee !!! sema Thuuuu !! Komando awe kipofu ? Thubutu !! Nyie Bavicha acheni uzushi .Humuoni Komando baada ya kudhulumu ushindi wa CUF amekuwa kipofu
Mungu ibariki Zanzibar .Nasikia mafundi wameshamtengeneza...
Chezea mzenji ww
Na wewe uzungusha kiuno mpaka marinda yamefumukaUkiona hivyo ujue kasoma kwa da'Mange. Machadema sasa hivi hayana muelekeo. Yamezungusha mikono weee, sasa misuli inawauma.
ubaja huo ....haya banaNimeona uzi umefutwa unsema anakimbizwa hosp
Picha tafadhalitulikuwa naye jana kinondoni, jamaa ni mzima wa afya, acheni kusambaza uongo , ehhhh
Kuna mahali kule kimbiji nimemkuta kitaa kavaa kibwaya na zumari anaimba ule wimbo wa chura anarukaruka churaaaAsalaam wote humu ndani,
Jamani huyu mbunge mteule ndugu Mtulia yupo wapi? Mbona tangua atangazwe mshindi hajaonekana? Mbona hajaapishwa?
Wenye taarifa zake mje hapa tafadhali.
Mbona inajulikana kabisa kuwa ni kipofu? We unaishi dunia gani?Weeee !!! sema Thuuuu !! Komando awe kipofu ? Thubutu !! Nyie Bavicha acheni uzushi .