kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,807
Daaa! kweli kabisa kiongozi .kikubwa Mungu yupo na anampa kila mtu haki yake..Albadir inamtafuna.....
Yeye ndiye "aliyesababisha" kifo cha Akwilina
Bila yeye kujiuzulu na kwenda kumuunga mkono Rais, Akwilina asingekufa
Usicheze na damu ya binti mdogo Akwilina, asiye na hatia aliyeuawa na Polisi siku ile ya tarehe 16/2/2018