Hawana mpya wanafiq hao,kutwa kubuni aina mpya ya matusi na kueneza chuki tu!Mtulia yupo bukheri hamsa wa ishirini musidanganyane bure hakuna cha halbadiri na mtulia atakula kiapo cha kuwa Mbunge tena tarehe 3/4/2018 saa tatu na dakika 15 fuatilia runinga siku hiyo mm sio shabiki wa mtulia lkn binadamu uwongo wengine hausidii chochote jamii yetu
Teh teh wazee mwiba umewakwama,hakuna namna,tumbo likichafuka hamna namna zaidi ya kuachia achia ushuzi tu,magu wa mchezo,kafinya kote wamebakiza matusi tu.Mhh,,,siasa zikikugeuka kuna kazi sana
Yes of courseMtulia yupo bukheri hamsa wa ishirini musidanganyane bure hakuna cha halbadiri na mtulia atakula kiapo cha kuwa Mbunge tena tarehe 3/4/2018 saa tatu na dakika 15 fuatilia runinga siku hiyo mm sio shabiki wa mtulia lkn binadamu uwongo wengine hausidii chochote jamii yetu
Nimegundua kuwa mwandishi wa post hii ni zwazwa na Karai. Yaani hata utaratibu wa kuhapisha wabunge hujui? Hawa machadema jamani tena huyu ni kiongozi wa ngazi juu je wale wa kawaida wanakuaje sasaAsalaam wote humu ndani,
Jamani huyu mbunge mteule ndugu Mtulia yupo wapi? Mbona tangua atangazwe mshindi hajaoneka? Mbona hajaapishwa?
Wenye taarifa zake mje hapa tafadhali.
Asalaam wote humu ndani,
Jamani huyu mbunge mteule ndugu Mtulia yupo wapi? Mbona tangua atangazwe mshindi hajaoneka? Mbona hajaapishwa?
Wenye taarifa zake mje hapa tafadhali.
Ukiona hivyo ujue kasoma kwa da'Mange. Machadema sasa hivi hayana muelekeo. Yamezungusha mikono weee, sasa misuli inawauma.Nimegundua kuwa mwandishi wa post hii ni zwazwa na Karai. Yaani hata utaratibu wa kuhapisha wabunge hujui? Hawa machadema jamani tena huyu ni kiongozi wa ngazi juu je wale wa kawaida wanakuaje sasa
nasikia anatokwa na damu matak*ni, bleed sio bleed, yaan balaa tupu
..JF banaaPacha wa mng'oa kuchaWazanzibar ni hatari sana ! kitu kimejibu !
Albadir inamtafuna.....
Yeye ndiye "aliyesababisha" kifo cha Akwilina
Bila yeye kujiuzulu na kwenda kumuunga mkono Rais, Akwilina asingekufa
Usicheze na damu ya binti mdogo Akwilina, asiye na hatia aliyeuawa na Polisi siku ile ya tarehe 16/2/2018
Albadir inamtafuna.....
Yeye ndiye "aliyesababisha" kifo cha Akwilina
Bila yeye kujiuzulu na kwenda kumuunga mkono Rais, Akwilina asingekufa
Usicheze na damu ya binti mdogo Akwilina, asiye na hatia aliyeuawa na Polisi siku ile ya tarehe 16/2/2018
Nasikia siku hizi anaona siku zake kama kipusa kupitia mtandao pendwa wa 0659Alipokuwa CUF alishikishwa Msahafu (Quran) Kichwani na kula yamini kuwa hataiacha CUF Kamwe, kiapo hicho ndicho pia kinamwandama Lipumba kwa sasa,
Yuko hoi bin taabani. Kakiri kakake na leo anarudishwa DarMtulia yupo bukheri hamsa wa ishirini musidanganyane bure hakuna cha halbadiri na mtulia atakula kiapo cha kuwa Mbunge tena tarehe 3/4/2018 saa tatu na dakika 15 fuatilia runinga siku hiyo mm sio shabiki wa mtulia lkn binadamu uwongo wengine hausidii chochote jamii yetu