Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

Yupo wapi Mtulia wa Kinondoni?

Mbona inajulikana kabisa kuwa ni kipofu? We unaishi dunia gani?
Nabisha ! Mtukufu Komando Salmin Amour Binadamu aliyejipa ukubwa kumshinda Mtume , anawezaje kuwa kipofu ? Acheni utani bhana .
 
Mtulia ukiondoa haya yaliyomtokea kwenye siasa,he is a good fella.Nimewahi kukutana naye kwenye shughuli za Kibunge,ni kijana aliyetulia sana sijui kitu gani kilimsibu!
 
Nadhani kuna ukweli hapa. Kwa jinsi ccm wasivyopenda kudhihakiwa toka Habari hii itoke hadharani angesha shirikishwa kwenye matukio fond fent ili kuwaumbua wasemaji.
Lakini kimya hiki duu!
kuna mpango wa kumbeba kwenye machela kuja kukanusha habari hii
 
Tangu nimezaliwa nikiwa mdogo sijawahi kuwa na roho mbaya wala kumuombea mtu mabaya

Kiukweli nikikumbuka uchaguzi wa 2015 watu walivyoteseka kumpigania ili awe mbunge yaani nikikumbuka watu walivyopokea mkong'otoo kupigwa mabomu na wengi kuwekwa ndani na wengine kupoteza maisha yao halafu anakuja kuachia ubunge na kusahau yaliyotokea 2015

Kwa haya anayoyapitia kama itakuwa ni kweli basi mungu amrehemuuuu achaa avune alichokipandaa tuuu
 
Kweli Abdul Mteketa alihusishwa na Jimbo la MORO enzi hizo Susanne Kiwanga na Regia Mtema walikuwa wanakimbiza sana wakiwa viti maalum Sasa Huyu Abdul ikadaiwa akamtenda hata hivyo haikusaidia Sana uchaguzi uliofuata aliangushwa na mwingine

Baba yake anaitwa Privatus Mtema ni mtu wa kusali Sana ,ni kiongozi wa Charismatic Katoliki

Hivi pacha wa marehemu yuko wapi siku hizi?
 
Back
Top Bottom