Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Hivi Wabunge wanaapishwa kiholela ama wanaapishwa bungeni(kwenye vikao vya Bunge)?...Asalaam wote humu ndani,
Jamani huyu mbunge mteule ndugu Mtulia yupo wapi? Mbona tangua atangazwe mshindi hajaonekana? Mbona hajaapishwa?
Wenye taarifa zake mje hapa tafadhali.
Au siku hizi kuna utaratibu Mbunge akishateuliwa anaapishwa immediately....
Siasa hizi....Dah!