Haya mambo siyo ya kuyadharau, kwani nimepata taarifa kuwa yule aliyekuwa mbunge wa Kilombero Abdul Mteketa yuko hoi bini tafani sio kifedha tu bali hata kiafya mpaka anashindwa kujitibu na anapitisha bakuli watu wamchangie!! Mteketa huko Kilombero alipokuwa anagombea ubunge mtakumbuka kuna binti mmoja mbunge wa viti maalum Chadema alifariki kwa ajali ya gari na yeye akahusishwa!! Damu ya binadamu haipotei bure hivi hivi!!
Mungu ana amri yake mmoja isemayo "Usimtendee mwenzio yale ambayo usingependa wewe utendewe" , hii amri ndio chanzo cha misemo kuwa " UKIUA kwa upanga ,utakufa kwa upanga "; " what goes around must come around"!! Kwahiyo namalizia kwa kusema kuwa viongozi lazima watambue kutokana na mifano hiyo kuwa malipo ni hapa hapa duniani kwani wakina GHABO wa Ivory Coast na James Taylor wa Liberia walitegemea yaliyowapata?
Acheni uzushi huo......
hivi mtajisikiaje siku mkimuona anaapishwa? mtakuja mfute huu uzi? ni vyema mkajikita kwenye hoja lakini sio gossips
Nimeamini hii nchi wana nchi wanaongozwa na umbea Wa Dada Mange
Kazi ipo
Hebu sema yuko kijiji gani huko Undengerekoni watu wamfuate kimya kimya.Sorry,
Huyu jamaa ndio yule wanaesema yuko Kijijini kwao huko Undengerekoni anaongea mwenyewe tu, muda wote anataja taja ovyo viungo vya uzazi?
Au nimemfananisha?
damu ya Aquilina IKO JUU YA Mbowe na Halima Mdee watailipa tu, hachomoki mtu! hiyo ni KUVUNA KWA KINYWA CHAKE.Damu ya Aquiline inamtesa hadi amewehuka.
damu ya Aquilina IKO JUU YA Mbowe na Halima Mdee watailipa tu, hachomoki mtu! hiyo ni KUVUNA KWA KINYWA CHAKE.
damu ya Aquilina IKO JUU YA Mbowe na Halima Mdee watailipa tu, hachomoki mtu! hiyo ni KUVUNA KWA KINYWA CHAKE.
Hapo atakuwa kashapona tayariAcheni uzushi huo......
hivi mtajisikiaje siku mkimuona anaapishwa? mtakuja mfute huu uzi? ni vyema mkajikita kwenye hoja lakini sio gossips