MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 6,220
- 3,917
Ni kweli kabisa na wewe ukiwa mwananchi mmojawapo!Nimeamini hii nchi wana nchi wanaongozwa na umbea Wa Dada Mange
Kazi ipo
Ni kweli kabisa na wewe ukiwa mwananchi mmojawapo!Nimeamini hii nchi wana nchi wanaongozwa na umbea Wa Dada Mange
Kazi ipo
Nani kakupa kibali cha kupangia watu cha kuandika?Kama una HAMU naye nenda nyumbani kwake utamkuta,huku JF tuletee mada za maendeleo na ukosoaji wa kuchagiza maendeleo ,sio hoja za kitaarab taarab!
Bavicha huwa wanafurahisha sana.Sina uhakika na nini kinaendelea kuhusu mtulia,lkn napatwa na wasiwasi juu ya UWEZO WA KIFIKRA KWA WAFUASI WA CHADEMA.Juz mbowe kaumwa na cjui anaendelea vipi,kwa siasa za kipuuzi toka kwa bavicha ilitakiwa uvccm nao waanze kutembeza propaganda za ooh albadili mara malipo ni hapahapa,karma nk.Hizi ni AKILI MFU.Wao huamini kila mwanaccm anayepata ttz ni malipo ya Mungu na dhana potofu za ramli ila viongozi wao wakipata mattz ni kutafuta huruma ya Mungu na kutafuta namna nzuri ya kuliongelea.
Chama kikifika kuongozwa na mtu wanayemwona kwenye Instagram tu kupokea maagizo yake, automatically wanachama lzm wawe na AKILI MGANDO.
Acheni uzushi jamani mbona nilikuwa naye Leo?
Sio muda kujibu, haya bosi wenu kakanusha sasa labda ndio mtaamini
Mbunge wa Kinondoni, Mtulia Said akanusha taarifa zinazosambazwa kuwa ni mgonjwa mahututi
Nadhani hii ni suluhisho zuriNi kawaida ya Wapemba. Kuna trafgic mmoja aliikamata gari ya Mpemba yenye samaki. Wakaishikilia mpaka samaki wakaharibika. Mpemba akamwambia traffic police kwamba na yeye atachina kama wale samaki. Jamaa akajibu jeuri.
Kilichofuatia sasa hivi jamaa ni paralysis..
Ushasema una wasiwasi na elimu yangu, we unahisi nina elimu gani? Swali dogo unatolea maelezo kama unaandika insha?Kuna baadhi ya concept ni rahisi na hazihitaji elimu kubwa na kuna baadhi ni elimu kubwa inahitajika.Hoja yangu ilikua simple sana na haikuhitaji degree kuelewa nini naongelea.Sasa kitendo cha kukurupuka tu kisa HISIA zimetawala kichwa chako,napata wasiwasi sana na elimu yako.Elimu yako unaijua wewe.Rudi kwenye comment yangu then soma reply yako je kuna correlation? Kabla hujajibu kitu au kuquote comment ya mtu,jiridhishe umeelewa kabisa sio kuwa mkurupukaji.Wengine hatupendi watu wanaokurupuka hasa kuquote hoja zetu.
Siku hizi unafanya kazi za ulinzi kwenye maduka ya wasauzi? Au ni bodyguard wa mwenye namba ya rais? Hongera zako kwani hata slaa ametokea kuuza biskuti za mhindi kule Canada na sasa ni mlabata kule Sweden sijui atamkumbuka mhindi yule!Mimi mwenyewe nimemuona duka la Edgars hapa johanesburg akifanya manunuzi
Halafu hakuna polisi aliyeadabishwa, Dah nchi hii ya maajabu kweliAlbadir inamtafuna.....
Yeye ndiye "aliyesababisha" kifo cha Akwilina
Bila yeye kujiuzulu na kwenda kumuunga mkono Rais, Akwilina asingekufa
Usicheze na damu ya binti mdogo Akwilina, asiye na hatia aliyeuawa na Polisi siku ile ya tarehe 16/2/2018